loose Nut
JF-Expert Member
- Dec 6, 2025
- 768
- 1,729
- Thread starter
- #41
Sasa yeye kanunua hiyo hiyo kwasababu hilo buti brand yake ni china hamna sehemu nyingine. Ingekuwa Nike ama Adidas etc hapo sawa ila ni changdao.Mchina ana copy ya vitu vingi sana mazee hii uliyotuletea ni copy angalia jina wenyewe wanauza ngapi.