Bustani ya 'Eden' ipo nchi gani?

Bustani ya 'Eden' ipo nchi gani?

JamiiForums imeanza kuboa nowdays
Ni kweli jf imekuwa ya ajabu na maswali fulani hebu umiza kichwa soma genesis 2:10 labda utapata hint
Ila kila mtu anasema lake now days wengine wanakwambia Ilikuwa ngorongoro,wengine olduvai george etc ndomana bakini nkachomekea koromije

Ova
 
Ni kweli jf imekuwa ya ajabu na maswali fulani hebu umiza kichwa soma genesis 2:10 labda utapata hint
Ila kila mtu anasema lake now days wengine wanakwambia Ilikuwa ngorongoro,wengine olduvai george etc ndomana bakini nkachomekea koromije

Ova
Haa haa,wengine wanaweza kusema Chato.
Mbona mambo mengi kuhusu ADAMU na HAWA yamewekwa wazi ila hili la eden linakuwa fumbo?
 
Back
Top Bottom