aisee...hapa jirani kabisa?Wengine wanasema Ethiopia ila inasemekana.
Where Was the Garden of Eden Located? | The Institute for Creation Research
Hiyo ni Siri y'all Mungukwahiyo ni changa la macho?
Ni kweli jf imekuwa ya ajabu na maswali fulani hebu umiza kichwa soma genesis 2:10 labda utapata hintJamiiForums imeanza kuboa nowdays
Haa haa,wengine wanaweza kusema Chato.Ni kweli jf imekuwa ya ajabu na maswali fulani hebu umiza kichwa soma genesis 2:10 labda utapata hint
Ila kila mtu anasema lake now days wengine wanakwambia Ilikuwa ngorongoro,wengine olduvai george etc ndomana bakini nkachomekea koromije
Ova
Eneo lipo mpaka sasa lkn bustani iliishaharibiwa na vashilia vya bustan vipoJe,mpaka sasa ipo?..