Bustani ya Eden ilikuwa Tanzania?

Bustani ya Eden ilikuwa Tanzania?

Not true.
Kulingana na maandiko na theological history dunia tangu iumbwe ina miaka kama elfu 6 tu mpaka sasa na Adamu/mtu wa kwanza aliishi ndani ya hii miaka 60000. Na kulingana Dr. Leaky ,fuvu la mtu wa kale aliloligundua mtu huyo aliishi miaka karibia 2 milions ago kama sijakosea.
Hivyo basi si busara na hairuhusiwi kuyaunganisha haya mambo mawili kwani yanakinzana.
Wapi na wapi kufananisha jambo ambalo wengine wanalisema kuwa lilitokea miaka milion 2 hivi na lile linalosadikika kutokea miaka elfu 6 iliyopita!!!!!
 
Inamaana hata huangaliagi hata National Geographic Channel? Mbona inafahamika Ngorongoro crater ndiyo Eden yenyewe?

th
th

pic_13.jpg

NgorongoroPanorama.jpg
Safi sana Mkuu kumbe mawazo yangu yako sahihi?
 
Back
Top Bottom