Nikupe siri tu, pale DSE kuna biashara ya kununua na kuuza HISA. Hii ni msaada sana kwa mtu mwenye pesa na hajajipanga afanye nini (hajui cha kuzifanyia). tumia akili kidogo tu kusoma mwenendo wa hisa utajua kampuni gani imesimama vizuri...nunua hisa na uwe na katabia cha kupitapita hapo siku utakuta hisa ulizonunua wewe zinauzwa bei ya juu zaidi nawe unauza zako hapohapo unakula faida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.