figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,676
- 59,172
Rais Jakaya Kikwete akipongezwa leo na Rais Mstaafu wa Marekani Mh George W. Bush
kuna mtu aliwahikusema kusema kuwa huyu jamaa ana kichwa cha nazi, ni sahihi kabisa. Dharau za namna hii ndo nyerere alizikataa kama cjasahu aliwahi kusalimia malkia wa uk kwa kutumia kifimbo chake baada ya malkia kumsalimia akiwa kava gloves. Huyu kweli hamnazo kabisaaaaaaa.
Ya kigamboni siyajui, ila kuna kafununu ka mambo ya madini mikoa ya kati. Niliwahi kupewaga DVD fulani hivi ya investigative journalist fulani anaefuatilia biashara za familia hii, akaitaja na Tanzania pia.Huyu Bush hii mara ya pili sasa anatimba Tz vip alikuja kufatilia mali zake nini kule Kigamboni mana hawa watu hawaji bure hapa tunaibiwa bila kutaka:spy::A S embarassed::lol::A S-coffee: