Chadema ni chama cha kigaidi, kila kitu mnadhani kinapatikana kwa uvamizi wa silaha. Haki nawaambia hakuna mpenda amani atakayechagua chadema.
.".... Mtakoma Mwaka Huu
Chadema ni chama cha kigaidi, kila kitu mnadhani kinapatikana kwa uvamizi wa silaha. Haki nawaambia hakuna mpenda amani atakayechagua chadema.
..!.! Haaaaaah.! Sidhani Kama Hao Ni Wasukuma. Huko Simiyu Wamejaa Waha Wapiganaji.!
.".... Mtakoma Mwaka Huu
Lamadi hakuna wasukuma tu ni makabila mchanganyiko sana wamo wakurya, wazanaki, wangoreme, wakerewe, wajita, waikizu, wajaluo na weeengi wa mbali na hapo ni senta ya biashara.
Na nyie mtapona tu baada ya kuangalia sanduku la kura.