Busara ipi itumike!

yassird200

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2025
Posts
901
Reaction score
1,568
Nipo kwenye mahusiano na dada fulani, tunaweza kusema hii kazi alinipigia promo sana, ni sekta binafsi ila ukweli ni innocent girl (hana makuu).

Tupo taasisi moja ila branches tofauti najua ananipenda ila niko na mahusiano na dada fulani namkubali sana (30+) na ndio type zangu hao ma over.

Shidaa! N jinsi ya kumkataa kiustaraabu maanake ameanza kuingiza inshu za ndoa na nyumbani wamempokea! Na wanamkubali sana.

Ipi ni njia sahihi ya kuachana naye coz amenisaidia vingi ukweli nilijua hatutafika mbali lakini amekomaa sana . Kuna baadhi ya matukio nimempiga ila bado akasamehe hata hili la mahusiano yangu mengine anajua.
 
kuna baadhi ya matukio nimempiga ila bado akasamehe hata hili la mahusiano yangu mengine anajua.
Oa huyo mwanamke wewe fala ukioa hilo kulumbembe lingine kitakachokupata usije ukashangaa oa huyo aliekupiga tag utapigwa kofi utapoteza kila kitu Mbweha wewe wewe unahisi ulivyonavyo ni sababu ya uwezo wako
 
Weka picha zao
 
Ukifanikiwa kumuacha nipasie mimi nina haja nae sitamuaçha. Watu wengine hatuna hata mmoja.
 
Tunda umeliga?
Na je, utamu wa tunda ukoje.

Nijuze.
 
Mkiwa mnaandika muwe mnarudia kusoma, umeelezea kama hao wote ni mtu mmoja. Halafu unaonekana bado una utoto mwingi, kwenye mahusiano kesi yako ni nyepesi sana sio ya kukimbilia kuomba ushauri. Real Men are disappearing at very high speed...
Ee bado mm nimtoto mkuu kwan vp
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…