KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 865
Ni kweli Kikwete hana Mamlaka hayo ndo maana naye alikatwa 1995Naomba utambue kuwa Kikwete kama Mwenyekiti wa CCM hana mamlaka ya kusema nani akose wala nani apate, na mbaya zaidi CCM haiongozwi na maamuzi ya mtu mmoja mmoja bali vikao vya chama.
Halafu Membe ni zaidi.ya fisadi asiyetakiwa katika nchi hii, mfano mzuri ni pale anaposhutumiwa na Waislamu wenzake kula fedha zao,
Na uelewe pia kuwa LOWASSA ni mtu asiyefananishwa na mgombea yeyote ndani na nje ya CCM
Lowasa hafanani na hao Wagombea kwa kuwa ni Mwizi na amewazidi wenzake kuiba ijapo wote ni wezi