BUSANDA FOR2015
New Member
- Mar 20, 2011
- 4
- 0
Katika hali isiyo tarajiwa wananchi na wakazi wa BUSANDA wameanza kujuta kwa kumchagua mbunge wa BUSANDA kwa Ticket ya CCM,bi Lolensia Bukwimba. Maana tangu achaguliwe hajakanyanga tena Busanda. Bahati mbaya wengine tulijua maana haiwezekani m2 asiye hata na ndugu achilia mbali makazi jimboni humo akawa mwakilishi bora wa wananchi, bahati mbaya wananchi walihadaiwa na NGEREJA kuwa atawaletea umeme sasa matatizo yao yanazidi kuongezeka na mwakilishi wao tupo nae hapa MIKOCHENI anakula bata tu.......Hongera kwa kwa wakazi wa makao makuu ya Jimbo la Busanda(KATORO) kwa kumyima kura Rais,Mbunge na Diwani wa CCM.
Tafadhari Bukwimba Nenda Busanda wananchi wanakuhitaji,kumbuka miaka mi5 siyo mingi sana
Tafadhari Bukwimba Nenda Busanda wananchi wanakuhitaji,kumbuka miaka mi5 siyo mingi sana