Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 42,438
- 104,918
Habari za uhakika kutoka kwa jamaa aliekuwepo kwenye bus la nyehunge lifanyalo safari za Kakola- Mwanza.
Nyehunge limegongana uso kwa uso na lori katika maeneo ya bank kama unaelekea ilogi. Inasemekana watu sita (6) wameumia vibaya na watatu katiyao hawajitambui kabisa.
Nyehunge limegongana uso kwa uso na lori katika maeneo ya bank kama unaelekea ilogi. Inasemekana watu sita (6) wameumia vibaya na watatu katiyao hawajitambui kabisa.