Bus la Nyehunge lapata ajali

Bus la Nyehunge lapata ajali

Ushimen

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
42,438
Reaction score
104,918
Habari za uhakika kutoka kwa jamaa aliekuwepo kwenye bus la nyehunge lifanyalo safari za Kakola- Mwanza.
Nyehunge limegongana uso kwa uso na lori katika maeneo ya bank kama unaelekea ilogi. Inasemekana watu sita (6) wameumia vibaya na watatu katiyao hawajitambui kabisa.
 
Back
Top Bottom