Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,111
- 2,412
Arusha Express na Capricon naskia zinakimbia balaaKimotco,
Capricon,
Arusha Express,
Hajji's .
Chagua mojawapo hapo ila Bora Capricon
Ndugu vipi upo salama?!Wakuu naomba mwongozo kwa ruti tajwa japo juu.
Nina muda wa miaka kadhaa sijasafiri kutoka Arusha kwenda Mbeya hivyo huenda kuna kampuni zimeshaondoa mabasi yake barabarani na pengine mengine yameongezeka.
Kwa sababu hizo naomba kupewa mwongozo wa bus angalau ninaloweza kusafiria kwa safari za uhakika ukiachana na mambo mengne ya kupangwa na Mungu.
Natanguliza shukrani.
Nipo salama mkuu sikusafiri leo.Ndugu vipi upo salama?!
Mrejesho..Arusha Express na Capricon naskia zinakimbia balaa
Aisee vizuri! Mshukuru Mungu..Nipo salama mkuu sikusafiri leo.