basheer
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 221
- 208
Libya walikuwa na mafuta ndugu yangu. But Burundi kuna vumbi tu pale watafuata nini pale
Pierre Nkurunzinza nahisi atakua ana matatizo ya akili, hivi ameshindwa kuvuta kumbukumbu zake juu ya kichomtokea MUAMMAR GADAFFI wa Libya???
Gadaffi alikua na pesa nyingi, uchumi mzuri, mahusiano mazuri na nchi zote Africa nzima, jeshi kubwa na kali la kisasa (kuliko yeye Nkurunzinza). Ila waliishia kumtoa roho yake mchana kweupe.
Ni heri aanze kutafuta CHAKA mapema la kujificha. Dunia hii siku hizi hakuna mbabe, ukijifanya mbabe unatekenywa na VIKWAZO VITAKATIFU tu, utavua mpaka chupi kumba msamaha.
Russia & North Korea tu ndio mbegu za vidume zilizobakia tu. Japo nao walishakiri kua vikwazo walivyowekewa viliwayumbisha.