Asante mkuu kwa mčhango wako swali ni je kwann Burundi atachapwaBurund atapewa kichapo cha mbwa mwiz...utajir wa nchi ya burund haufikii utajir wa mkoa wa mwanza tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa military strength Rwanda wako vizuri kuliko burundi...Hivi vi nchi ni vidogo ila majina yao duniani yamekuzwa kutokana na migogoro ya ndani sasa swali langu je wakizipiga Leo wao kwa wao bila taifa jingine kuingilia upande mmoja wapo Nani atapewa kipigo cha mbwa coco
Kagame Vs nkurunzinza who would win??
Sitaki povu Kama una povu pita kimyakimya
Sana tuu sema ni nchi ndogoo... wangeweza kumpima nguvu hata Jiwee...kwa military strength Rwanda wako vizuri kuliko burundi...
Duh salute mkuuRwanda kijeshi kajipanga vizur sana kwa nchi kama burundi hata uganda anaiondoa bila wasi katika hizi nchi za east and central tz ndo wapo vizur hakuna congo rwanda zambia burundi kenya tanzania ndo baba yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Msg yako ya kwanza nimefungua uzi unanitukana matako yangu yatashinda mpuuzi wewe bora Mimi nimekuja inbox wewe umenitukana publicly na kwa sheria za jf mambo ya inbox ukiyaexpoz unakula ban so nategemea hatutakuona kwa muda Fulani pili jiheshimu uheshimiwe
nazani ban haini ongezei wala kuni punguzia kitu..Msg yako ya kwanza nimefungua uzi unanitukana matako yangu yatashinda mpuuzi wewe bora Mimi nimekuja inbox wewe umenitukana publicly na kwa sheria za jf mambo ya inbox ukiyaexpoz unakula ban so nategemea hatutakuona kwa muda Fulani pili jiheshimu uheshimiwe
Yangu ya kengerezamsg y
Yako ya kwanza uliyoibandika humu juu yangu publicly umeisoma tena? Nyani haoni kundule wewe unaadabu? Pisha huko
Good night dudeso
So when you insult someone in English is less awkward compared to kiswahili this is what you want to tell us?
Poor thing!!
Tz wapo vizur kwa kuvunja matofari siku za kuazimisha Uhuru?Rwanda kijeshi kajipanga vizur sana kwa nchi kama burundi hata uganda anaiondoa bila wasi katika hizi nchi za east and central tz ndo wapo vizur hakuna congo rwanda zambia burundi kenya tanzania ndo baba yao
Sent using Jamii Forums mobile app