mohamedidrisa789
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 5,613
- 23,745
ndo maan tunasem maraisi ambao watakumbukw africa nzima ni nelson mandela na nyerere pekee,waliobaki ni kichefuchef viongozi wamejawa na tamaa ya madaraka awana hata roho ya huruma.ivi hata imani ya Mungu hauna,yani mtu ufikilii kuw kuny'any'ania kwako madarak kumesababish roho za watu wengi kuondok