Richard irakunda
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 3,659
- 4,387
anataka apate huruma ya umoja wa mataifa ili vita vikizuka asiwe mtuhumiwa namba mojaWe unahisi nini kinaendelea mpaka nkurinzinza anajitokeza tena kulalama
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app