Burundi calls for special summit over Rwanda row

Burundi calls for special summit over Rwanda row

Ili kuepusha gharama Na maafa ikitokea nchi zinataka kupigana ingekua inatayarishwa sparing kwenye neutral ground halafu marais ndio wanapigana mshindi anatawala kote Ingekua safi
Nina Hakika asingekuwepo mchokozi
Haaa haaa yaani zipigwe mtu mbili..!!


We jamaa unafaa kuwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa!!..korea kaskazini na marekani wakizinguana ,haya trump na bonge zipangwe mtu mbili hapo..
 
hyoS-200 itamsaidia nn atakapokuwa anapigana na nchi ya EA ?

kuna vita yoyote ile ambayo ndege ndio zilizoteka eneo?

kwa africa silaha ya kuogopwa ni ant tank

Sent using Jamii Forums mobile app
So mkuu kuna uwezekano wewe umeshapigana vita nyingi/una uzoefu wa kuelewa mazingira ya kivita Ya Rwanda/Burundi kuliko Kagame sio mkuu?
 
ndio nimepigana liberia,chad,bulgaria,niger, na kwingineko

unajua kwann tz wamewekeza saana kwenye jeshi la aridhi na sio anga?

uganda ina ndege bora zaid ya kenya lkn why kenya ipo juu kijeshi kuliko uganda?

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa angu tangu siku 1 nimeona umemjibu jamaa mmoja kwamba kwamba wewe unapendaga kubishana tu ilimradi ubishe tu,hata muda wa kukubishia nakosaga aisee.
 
Haaa haaa yaani zipigwe mtu mbili..!!


We jamaa unafaa kuwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa!!..korea kaskazini na marekani wakizinguana ,haya trump na bonge zipangwe mtu mbili hapo..
Kabisa Yaani ukichapa mtu adabu inarudi haraka sana
 
Hivi katika karne hii bado kuna watu humu wanashabikia nchi ziingie vitani?...Migogoro kwenye mipaka ipo tu daima, haipaswi kutatua ugomvi wa watu wa mipakani kwa kutumia vifaru na risasi.. Ni sawa na kupeleka jeshi kwenye ugomvi ulioko kwenye kinywaji au Bar.
 
Ili kuepusha gharama Na maafa ikitokea nchi zinataka kupigana ingekua inatayarishwa sparing kwenye neutral ground halafu marais ndio wanapigana mshindi anatawala kote Ingekua safi
Nina Hakika asingekuwepo mchokozi
Hahahaaaa .. hii safi Sana ingeepusha maafa kwa raia na rasilimali zao ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm ninakwambia kitanuka tu and Mr. Slim should play this game nicely..........kuna mtego mkubwa sana kwake hapa na kama sio msoma nyakati hili dimbwi havuki

Sent using Jamii Forums mobile app
Daahh kumbe wanamvizia ... inaweza ikawa wamemtuma nkirunziza aanzishe choko choko ili wamdunde mande ..kimya kimya kwa kum-fund burundi silaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nkuru yuko smart; aliyeanzisha chokovhoko ni PAKA
 
Back
Top Bottom