PostGE2025 Buruhani: Ushawishi wa CCM sasa ni mkubwa kuliko wakati wowote, Samia alishinda kwa 97%

PostGE2025 Buruhani: Ushawishi wa CCM sasa ni mkubwa kuliko wakati wowote, Samia alishinda kwa 97%

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,498
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Kagera, Faris Buruhani, amesema hayo Februari 14, 2026, wakati akihojiwa na Chief Odemba kupitia kipindi cha Medani Kuu.

"Ushawishi wa CCM kwasasa ni mkubwa kuliko wakati wowote, Samia alishinda kwa 97%, pia idadi ya watu waliotoka kwenda kupiga kura ya mwaka 2025 ukilingalisha na ya miaka iliyopita iko tofauti kabisa"

 
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Kagera, Faris Buruhani, amesema hayo Februari 14, 2026, wakati akihojiwa na Chief Odemba kupitia kipindi cha Medani Kuu.

"Ushawishi wa CCM kwasasa ni mkubwa kuliko wakati wowote, Samia alishinda kwa 97%, pia idadi ya watu waliotoka kwenda kupiga kura ya mwaka 2025 ukilingalisha na ya miaka iliyopita iko tofauti kabisa"

Viazi huwa wanapenda kujisikia wakijamba!!!
 
Wanajitekenya wenyewe, wanajitia dole wenyewe, wananusa wwnyeww kisa wanacheka wenyewe.

Ccm inakubalika sana sasa hivi mpaka ICC inawakubali inawaalika kufanya nao vikao.
 
Back
Top Bottom