Burudani ndani ya mabasi ya mikoani.

Burudani ndani ya mabasi ya mikoani.

Hili ni janga kubwa sana.

Wamiliki wa haya mabasi ya mikoani hawatoi kipaumbele kwenye suala la burudani ndani ya bus.
Kuna mabasi hawa-update burudani zinazotolewa ndani ya bus. Ukisafiri mara kwa mara na bus moja unakuta playlist haibadiliki. Inaweza fika miezi 6 wanaweka playlist ileile.

Wengine wanaweka nyimbo za dini mwanzo mwisho, wakidhani wasafiri wote ni dini ile. Kwanini kusiwe na balance?

Juzi nimepanda Shabiby, wakaweza filamu zile zinazotafsiriwa kwa kiswahili. Nilikuwa disapointed sana, kampuni kubwa vile wanashindwa vipi kuweka movie za kijanja? Movie za kutafsiriwa zimekaa kitapeli sana.

Wakati mwingine bora ulale tu.

Ni hayo kwa leo.

Unaweza ongeza na wewe.
Bahati mbaya bus sio kama ndege kwamba kila kiti kina entertainment system yake ambapo ungeweza kuchagua. Ni vigumu sana kuchagua kitu kitakachomfurahisha kila mtu, ni bora ukijua unapanda bus ujiandae. Chukua headphones zako ingia youtube sikiliza,angalia upendacho vya kwenye bus achana navyo.
 
Hio ya nyimbo za dini ndo huwa inanikera balaa kudadek majitu cjui hayafikiriagi hivi kweli unaweka nyimbo za dini yako tu hujiulizi kuwa kuna watu wengine pia??? Wanakaa kwenye basi huku mtu anatamani hata kushuka na hawezi kwasababu ndo ashatoa hela yake Kudadek

Sent using Jamii Forums mobile app
Hio ipo sana Mbeya kwenda S/wanga....utajuta kupanda hayo magari yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hio ya nyimbo za dini ndo huwa inanikera balaa kudadek majitu cjui hayafikiriagi hivi kweli unaweka nyimbo za dini yako tu hujiulizi kuwa kuna watu wengine pia??? Wanakaa kwenye basi huku mtu anatamani hata kushuka na hawezi kwasababu ndo ashatoa hela yake Kudadek

Sent using Jamii Forums mobile app


Ni kama ile ya kuchinja ilivyotaka kutugawa
 
Bahati mbaya bus sio kama ndege kwamba kila kiti kina entertainment system yake ambapo ungeweza kuchagua. Ni vigumu sana kuchagua kitu kitakachomfurahisha kila mtu, ni bora ukijua unapanda bus ujiandae. Chukua headphones zako ingia youtube sikiliza,angalia upendacho vya kwenye bus achana navyo.


Mkuu hao wahudumu wa mabasi si wanaokotwaokotwa tu hata mafunzo hakuna, mtu anaweza kuwa na biashara ya uhakika lakini ifikapo kwenye creativity ni 0, nilitegemea watoa huduma wawe wanakusanya maoni ya wateja, lakini sehemu kubwa ya wahudumu ndiyo chanzo cha kero
 
Mkuu hao wahudumu wa mabasi si wanaokotwaokotwa tu hata mafunzo hakuna, mtu anaweza kuwa na biashara ya uhakika lakini ifikapo kwenye creativity ni 0, nilitegemea watoa huduma wawe wanakusanya maoni ya wateja, lakini sehemu kubwa ya wahudumu ndiyo chanzo cha kero
abiria 65 tv moja. Ni kweli mnaweza kuridhika na kinachooneshwa? Kuna watu wanapenda kwaya wengine kaswida, wengine bongo movie ndio ugonjwa wao wengine bongo movie kichefuchefu. Sio rahisi kumridhisha kila mtu. Nishasafiri na bus Dar-Mtwara niliangalia movie za Majuto(rip) mwanzo hadi mwisho kitu ambacho nyumbani kwangu siwezi kufanya, siku hio ndio nikajua King Majuto anachekesha.
 
Hili ni janga kubwa sana.

Wamiliki wa haya mabasi ya mikoani hawatoi kipaumbele kwenye suala la burudani ndani ya bus.
Kuna mabasi hawa-update burudani zinazotolewa ndani ya bus. Ukisafiri mara kwa mara na bus moja unakuta playlist haibadiliki. Inaweza fika miezi 6 wanaweka playlist ileile.

Wengine wanaweka nyimbo za dini mwanzo mwisho, wakidhani wasafiri wote ni dini ile. Kwanini kusiwe na balance?

Juzi nimepanda Shabiby, wakaweza filamu zile zinazotafsiriwa kwa kiswahili. Nilikuwa disapointed sana, kampuni kubwa vile wanashindwa vipi kuweka movie za kijanja? Movie za kutafsiriwa zimekaa kitapeli sana.

Wakati mwingine bora ulale tu.

Ni hayo kwa leo.

Unaweza ongeza na wewe.

Chukua Boeing 737 achana na basi.
 
Bahati mbaya bus sio kama ndege kwamba kila kiti kina entertainment system yake ambapo ungeweza kuchagua. Ni vigumu sana kuchagua kitu kitakachomfurahisha kila mtu, ni bora ukijua unapanda bus ujiandae. Chukua headphones zako ingia youtube sikiliza,angalia upendacho vya kwenye bus achana navyo.

Hizi ATR zetu hazina mfumo huo
 
Nunua za kwenu, mkita mpande msipotaka muache... Natania[emoji23]

wakati ukuta.
 
Unajua kwenye mabasi burudani zenyewe haziendani na umri,itikadi na misingi ya uwiano..sasa unakuta nyimbo zile za mahaba na ngono kama za wasafi zinapigwa hadi unajiuliza mbona watu washageuka masanamu..Vumilia tu ifike salama
 
Kila siku zinatoka movie za hatari wao wapo na kina mzee majuto kila siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni fursa ambayo vijana huko Tanzania hamuitambui

Sababu hilo ni tatizo Common kwa mabasi mengi anatakiwa mbunifu mmoja mwenye laptop yenye hard disk kubwa afungashe movies na play lists tofauti current anazunguka kwenye zile office za tickets pale ubungo anawauzia kwenye Flashdisc zao, wanachagua wenyewe unawatumia ila wengi hawaoni kama ni fursa hiyo.
 
Back
Top Bottom