Burudani Katika Historia ya Africa

TUJITEGEMEE

Platinum Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
27,525
Reaction score
28,480
Uzi huu ni maalum kwa ajiri/li ( Faiza Foxy nisaidie usahihi wa hilo neno) ya nyimbo, muziki,ngonjera,mashairi, filamu, hotuba zinazochangamsha wasikilizaji na kila jambo linalohusu burudani juu ya historia ya Afrika.

Kwa leo Naanza na ngoma ya kutoka Ukerewe. Ngoma inaelezea Uhuru wa Zimbabwe.


Karibu

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…