Kazi ya Meko hiyoUmeweka picha ambacho ni kitu kizuri lakini tunaomba utufafanulie hapo ni wapi, ni Chato au Burigi!?
Nauliza hivi maana kwa uelewa wangu Burigi na Chato ni maeneo mawili tofauti na kuna umbali wa karibia Kilometa 300!
Kuna nchi zinaendeshwa kwa utalii wa Flora & Fauna....just FYINi utalii wa mimea.
Na nyingine kwa utalii wa tiba, kama India.Kuna nchi zinaendeshwa kwa utalii wa Flora & Fauna....just FYI
Serikali ifanye mpango kuhamisha mlima Kilimanjaro uhamie chato
Wazo zuri sana.Serikali ifanye mpango kuhamisha mlima Kilimanjaro uhamie chato
Tunaanza na nyumba kwanza na mlima baadaeView attachment 1276457
We are camping here from today. Hii ni kuwajuza umma kuwa Hifadhi ya Taifa ya #BurigiChato pako tayari kwa utalii - kwa hiyo watanzania wote, wageni kutoka nchi mbalimbali, wahaya wote, waganda Kyaka, wasubi, washubi, wahangaza, wanyambo, wazinza, waganda, wasukuma, wanyarwanda na warundi wanaweza kuja hapa Xmas na Mwaka mpya na kuendelea! #TanzaniaUnforgettable #HK #TwenzetuBurigiChato
View attachment 1274921View attachment 1274922View attachment 1274923View attachment 1274924
Hamishieni mlima Kilimanjaro huko burigi ili panoge zaidiUmeweka picha ambacho ni kitu kizuri lakini tunaomba utufafanulie hapo ni wapi, ni Chato au Burigi!?
Nauliza hivi maana kwa uelewa wangu Burigi na Chato ni maeneo mawili tofauti na kuna umbali wa karibia Kilometa 300!
Nimeitamani tu hiyo peterbilt day cab pekee, hilo jumba kila la kheri Burigi
Next-level arm chair tourism: gazing in the empty wilderness in the comfort of your camping chair.
Nilikuwa naangali clip moja mtanzania anafanya test kwenye freightliner cascadia ili apate licence daaaa! I wish I could be him. Hivi mkuu hakuna uwezekano wa sponsorship kwa ajili ya truck driving courses huko abroad?I love American Trucks kwa kweli
Lakini tatizo hatuna sana nyumbani
Nilikuwa naangali clip moja mtanzania anafanya test kwenye freightliner cascadia ili apate licence daaaa! I wish I could be him. Hivi mkuu hakuna uwezekano wa sponsorship kwa ajili ya truck driving courses huko abroad?

Asante mkuuSidhani kama ipo maana kama ni courses ni kwa ajili ya wenye licence za huku tu
What a coincidence
Hapa nipo nafanya training kwa kupata CPC na leo ni siku yangu ya mwisho
Courses hizi ni mpya na kila dereva wa trucks ni lazima afanye ila gharama kubwa kidogo
Hebu jaribu kuuliza google kama inawezekana
I am not sure![]()