shetani mweusi
Senior Member
- Jun 30, 2014
- 132
- 116
Ukipiga totoz hapo mbugani safi sanaWe are camping here from today. Hii ni kuwajuza umma kuwa Hifadhi ya Taifa ya #BurigiChato pako tayari kwa utalii - kwa hiyo watanzania wote, wageni kutoka nchi mbalimbali, wahaya wote, waganda Kyaka, wasubi, washubi, wahangaza, wanyambo, wazinza, waganda, wasukuma, wanyarwanda na warundi wanaweza kuja hapa Xmas na Mwaka mpya na kuendelea! #TanzaniaUnforgettable #HK #TwenzetuBurigiChato
View attachment 1274921View attachment 1274922View attachment 1274923View attachment 1274924
Ni utalii wa mimea.Mbona siwaoni simba na swala
Leo ndio nimekufahamuWe are camping here from today. Hii ni kuwajuza umma kuwa Hifadhi ya Taifa ya #BurigiChato pako tayari kwa utalii - kwa hiyo watanzania wote, wageni kutoka nchi mbalimbali, wahaya wote, waganda Kyaka, wasubi, washubi, wahangaza, wanyambo, wazinza, waganda, wasukuma, wanyarwanda na warundi wanaweza kuja hapa Xmas na Mwaka mpya na kuendelea! #TanzaniaUnforgettable #HK #TwenzetuBurigiChato
View attachment 1274921View attachment 1274922View attachment 1274923View attachment 1274924
kweli kumenogaWe are camping here from today. Hii ni kuwajuza umma kuwa Hifadhi ya Taifa ya #BurigiChato pako tayari kwa utalii - kwa hiyo watanzania wote, wageni kutoka nchi mbalimbali, wahaya wote, waganda Kyaka, wasubi, washubi, wahangaza, wanyambo, wazinza, waganda, wasukuma, wanyarwanda na warundi wanaweza kuja hapa Xmas na Mwaka mpya na kuendelea! #TanzaniaUnforgettable #HK #TwenzetuBurigiChato
View attachment 1274921View attachment 1274922View attachment 1274923View attachment 1274924
Nasikia watoto wa faru john wameleta huko na wana fujo ,vipi usalama wa hizo tent