Pole nyingi Kwa familia ya Mr F SANGA,Tutakukumbuka milele milele yote, hakikanulikuwa mtu mwema na mwalimumwema.
Daima ulituonya, kutukanya na kutuasa.
JamiiForums watakukumbuka kwa ucheshi na vibweka vyako. Uliniasa nisi disclose ID yako na iendelee kubaki kificho.
Hi-Lo tumelitenda kwa nguvu ya Mungu atupaye Leo na kesho.
Lala kwa amani Ninja
R.i.pHapa ndipo alipohifadhiwa ,ukurasa wake umefungwa rasmi.
ndo yule wa miaka yote ulokua unamwita Sayakiki?? tall?MC, poetry, Lyricist, actor, revolutionary, rapper, singer and dentist
Yesndo yule wa miaka yote ulokua unamwita Sayakiki?? tall?
uwiiiiiii...uwiii....nn kimemsibu? jamani aliwahi nitxt...aise kweli kifo ni fumbo ..nimeumia mno mno..rip Mshikaji
Alikuwa anamhudumia mgonjwa, akasema hajisikii vizuri anaenda wodini kupumzika. Alipofika wodini, akakipanda kitandani cha wodini, hakuamka tena.uwiiiiiii...uwiii....nn kimemsibu? jamani aliwahi nitxt...aise kweli kifo ni fumbo ..nimeumia mno mno..rip Mshikaji
pole sana jamani...dah..those days chuo chetu pendwa😭Alikuwa anamhudumia mgonjwa, akasema hajisikii vizuri anaenda wodini kupumzika. Alipofika wodini, akakipanda kitandani cha wodini, hakuamka tena.
Nilikujulisha msiba kwenye Ile inayoishia 080, hivi bado iko mahewa?pole sana jamani...dah..those days chuo chetu pendwa😭
oopss...haipo hewani..ntakutxt .pole sana .ntakuja kuhani aiseNilikujulisha msiba kwenye Ile inayoishia 080, hivi bado iko mahewa?
Karibu sanaoopss...haipo hewani..ntakutxt .pole sana .ntakuja kuhani aise
Alijua anakaribia kufa?Uliniasa nisi disclose ID yako na iendelee kubaki kificho. Hi-Lo tumelitenda kwa nguvu ya Mungu atupaye Leo na kesho.
Jamaaa alikiwa na stress kaliShinikizo la juu la damu inabidi uwe mtu wa kupuuza mambo mengi mno vinginevyo itakuwia vigumu.
Rip dokta.
Miaka 2 imekata kama utani ..ila mshikaji na mahusiano yake yalichangia sana kwa kiasi kikubwa akawa mraibu wa pombe kupita kiasi ,nakumbuka alikua anasemaga "sifanyi kipimo chochote kikubwa najua siku nitakayofanya ndo siku nitakayokufa kwa presha".Jamaaa alikiwa na stress kali
Yule mama mkwe wake alikuwa anamroga sana mshikaji, na akahakikisha anamtenga G na ndugu zake wote, ili asiweze kusaidiwaMiaka 2 imekata kama utani ..ila mshikaji na mahusiano yake yalichangia sana kwa kiasi kikubwa akawa mraibu wa pombe kupita kiasi ,nakumbuka alikua anasemaga "sifanyi kipimo chochote kikubwa najua siku nitakayofanya ndo siku nitakayokufa kwa presha".
Rest well Dr
Duh kumbeYule mama mkwe wake alikuwa anamroga sana mshikaji, na akahakikisha anamtenga G na ndugu zake wote, ili asiweze kusaidiwa
Yaani mshikaji alikuwa anaishi kwenye makaa ya moto, kila siku amlipie Mama Witi, yule mama mwenye pub ya Kingale, na mama yake Hawa sh. 40,000 rejesho, yaani hiyo ni daily.Duh kumbe