Banda lipi la kuuza kitimoto Oysterbay ya mwaka wa 80 unaijuwa lakini au unaisikia tu? Hebubtueleze hichonkibanda cha kuuza nguruwe Oysterbay mwaka 80 kilikuwa wapi?Miaka ya 80s kitimoto imeuzwa sana , nyumba nyingi Oysterbay walikuwa na mifugo tena Nguruwe walikuwa hawakosekani mabandni, nimeona nguruwe kw ara y kwana sio Kijijini ni Oyesterbay .
Well noted kiongozi... perception ya vitu utotoni ni tofauti kabisa na ukubwani. Uliziona zile burger za kipekee kwa sababu ya umri wako kipindi kile but hazina tofauti na za leo; 40 yrs later.
Zamani utotoni moja ya zawadi za kipekee ambazo nilitamani kupewa na mwenyeji ugenini ni soda iwe Coca au Pepsi; bila hiyo nilijiona kabisa safari yangu haijakamilika. Zamani vyakula kama chapati vilikuwa vya kipekee sana utotoni. Leo hii vyote hivyo ni ubatili!
In summary; age has a significant impact on how human beings perceive things. Simple!
Nacho sema Kitimoto ilikuepo ila sijui wapi iikua ina uzwa , ila nguruwe walikuwa wna fungwa Oysterbay, jirani yetu walikuwa na banda la nguruwe , sasa nyama ili uzwa wapi sijui ila kulikuwa na demand kubwa ya nyama hiyo na usiniambie kwamba walikuwa wana export .Banda lipi la kuuza kitimoto Oysterbay ya mwaka wa 80 unaijuwa lakini au unaisikia tu? Hebubtueleze hichonkibanda cha kuuza nguruwe Oysterbay mwaka 80 kilikuwa wapi?
Labda unambie Oysterbay Hotel kwa siku hizo. Coco beach yenyewe kulikuwa hakupo kama sasa, kulikuwa na vyoo tu vya kuogea maji ya chumvi watu wakitoka kuogelea, ukitoka hivyo vyoo kwa upande wa beach, hakuna jengo wala kibanda kingine mpaka police officers mess.
Wewe Oysterbay ya mwaka 80 huijuwi, labda ulikuwa unapitishwa njia kwenda Oysterbay kuogelea ndiyo kila unapopita unaona ni Oysterbay .
Kwanza post namba moja haikuongelea kabisa Oysterbay.
Hahahah eti oyesterbay siijui, nisiijue wakati nime kulia hapo? Wewe umekulia wapi ?Kama umekulia Obay nitajie mtaa wowote halafu nikuambia miaka ya 80's nani waliishi hapo .Banda lipi la kuuza kitimoto Oysterbay ya mwaka wa 80 unaijuwa lakini au unaisikia tu? Hebubtueleze hichonkibanda cha kuuza nguruwe Oysterbay mwaka 80 kilikuwa wapi?
Labda unambie Oysterbay Hotel kwa siku hizo. Coco beach yenyewe kulikuwa hakupo kama sasa, kulikuwa na vyoo tu vya kuogea maji ya chumvi watu wakitoka kuogelea, ukitoka hivyo vyoo kwa upande wa beach, hakuna jengo wala kibanda kingine mpaka police officers mess.
Wewe Oysterbay ya mwaka 80 huijuwi, labda ulikuwa unapitishwa njia kwenda Oysterbay kuogelea ndiyo kila unapopita unaona ni Oysterbay .
Kwanza post namba moja haikuongelea kabisa Oysterbay.
Wewe sasa unarukia mada nyingine, miakanya 80nhakuna kibanda kilichokuwa kinauza "hamburger" bilicanas. Napajuws mseneo hayo kabla hapajawa bilicanas.Siku hizi nadhani ndio ingekuwa vigumu zaidi kiti moto kuuzwa vibandani kuliko zamani, lakini hivyo sivyo mambo yalivyo mjini bandali salama . Mkuu wa meza anapatikana sana vibandani katikati ya jiji na sio Kigogo !!
Mradi umekiri hapajuwi, siku zingine usikurupuke. Wengine tumezaliwa na kukulia Dar. Dar ya miaka ya 60,70,80 usiisemee uongo wakati tupo jamvini.Nacho sema Kitimoto ilikuepo ila sijui wapi iikua ina uzwa , ila nguruwe walikuwa wna fungwa Oysterbay, jirani yetu walikuwa na banda la nguruwe , sasa nyama ili uzwa wapi sijui ila kulikuwa na demand kubwa ya nyama hiyo na usiniambie kwamba walikuwa wana export .
Tatizo lako wewe na wenzio mnafikiri nyie ndio wenye Dar; hakuna watu wengine ila wewe na wenzio ndio mna hati miliki ya kujua Dar!! Hizo sehemu zote ulizozitaja mimi nazijua including ofisi ya Mzee Sykes hapo oppsite petrol ststion. Siku hizi Abraham mwanae ndio anaendesha ofisi hiyo!Wewe sasa unarukia mada nyingine, miakanya 80nhakuna kibanda kilichokuwa kinauza "hamburger" bilicanas. Napajuws mseneo hayo kabla hapajawa bilicanas.
Wacha kubishana kijinga, nimekuelekeza kilipokuwa kibanda kinachouza beefburgers, te kwa kukujuza tu, baadae wakaongeza na "eggburgers".
Dshbunstakankubisha ns mitaa niliyokuliankuanzia utotoni.
Mermaids unapajuwa? Blue fin? Unapajuwa, wimpy unapajuwa?
Cosy cafe unapajuwa? Vizazi na vifo unapajuwa?
Ofisi ya Mzee Alli £ykes unapajuwa? Kwa Raithata unapajuwa?
Kwa Patel Attorneys unapajuwa?
Hizo ndiyo baadhi ya sehemu ilipokuwepo na zinazoizunguka bilicanas.
Dar kwetu, mimi siyo wakuja. wakuja.
Hahaha umekosea, Kearsley Tours haipo opposite na ptrol station, kwa siku hizo za 80, labda iwe imehamia sasa.Tatizo lako wewe na wenzio mnafikiri nyie ndio wenye Dar; hakuna watu wengine ila wewe na wenzio ndio mna hati miliki ya kujua Dar!! Hizo sehemu zote ulizozitaja mimi nazijua including ofisi ya Mzee Sykes hapo oppsite petrol ststion. Siku hizi Abraham mwanae ndio anaendesha ofisi hiyo!
Ngoja nikuulize swali halafu unijibu kwa haki ya Mungu wako kama kweli unaijua Dar!! Umeawahi kumsikia marehemu Harold Mgone? Wakati anachezea mpira moja ya vilabu vikongwe Dar. were ulikuwa wapi?
How old are you granny ???Mradi umekiri hapajuwi, siku zingine usikurupuke. Wengine tumezaliwa na kukulia Dar. Dar ya miaka ya 60,70,80 usiisemee uongo wakati tupo jamvini.
Who cares, age is just a number.How old are you granny ???
Npia usiseme eti Oysterbay siijui na kama unaijua ungesha jua kitimoto kimefugwa sana hapo na je una dhani nyama ayake ili tumika wapi ? Wa Obay upo so usiseme hauijuiMradi umekiri hapajuwi, siku zingine usikurupuke. Wengine tumezaliwa na kukulia Dar. Dar ya miaka ya 60,70,80 usiisemee uongo wakati tupo jamvini.
Kama ipo ni hivi sasa, siyo 80.Npia usiseme eti Oysterbay siijui na kama unaijua ungesha jua kitimoto kimefugwa sana hapo na je una dhani nyama ayake ili tumika wapi ? Wa Obay upo so usiseme hauijui
Ndio nakuambia jiulize ufugaji wa nguruwe in Oysterby zile nyama zili uzwa wapi kipindi hicho kama so hapo hapo DarKama ipo ni hivi sasa, siyo 80.
Potea wewe, hata unachokisoma hukielewi.Ndio nakuambia jiulize ufugaji wa nguruwe in Oysterby zile nyama zili uzwa wapi kipindi hicho kama so hapo hapo Dar
Labda upotee wewePotea wewe, hata unachokisoma hukielewi.
KUna mtu alisha wahi muona huyu Faiza in person? kwa jinsi anavyo cht siamini kama ni mwanamke nahisi huyu ni dume kajificha kujifanya mwanamke .Tatizo lako wewe na wenzio mnafikiri nyie ndio wenye Dar; hakuna watu wengine ila wewe na wenzio ndio mna hati miliki ya kujua Dar!! Hizo sehemu zote ulizozitaja mimi nazijua including ofisi ya Mzee Sykes hapo oppsite petrol ststion. Siku hizi Abraham mwanae ndio anaendesha ofisi hiyo!
Ngoja nikuulize swali halafu unijibu kwa haki ya Mungu wako kama kweli unaijua Dar!! Umeawahi kumsikia marehemu Harold Mgone? Wakati anachezea mpira moja ya vilabu vikongwe Dar. were ulikuwa wapi?
Hata sisi ilikuwa hivyo hivyo , tulipo kuwa tuna wasiki story bibi zetu wakipiga , tuna shangaa miaka yao wskiwa vijana na wewe Muombe Mungu akupe umri mrefu uje pig story kama hizi wajukuu wawe wana kushangaa..Dah watu mmekula Sana Bata just imagine mnapiga story za miaka 80s while wengine wazazi wetu ndo wanazaliwa
Kweli Mkuu, Mungu Aendelee kukupa umri mrefu na wenye Afya pia maana tunajifunza baadhi ya vitu kutoka kwenu vya kujenga Akili zetu na kukuza ufahamu.Hata sisi ilikuwa hivyo hivyo , tulipo kuwa tuna wasiki story bibi zetu wakipiga , tuna shangaa miaka yao wskiwa vijana na wewe Muombe Mungu akupe umri mrefu uje pig story kama hizi wajukuu wawe wana kushangaa..
Nafikiri hamburger na beefburger ni vitu viwili tofauti. Moja katkat Ina ham nyengine Ina beef (I stand to be corrected)Labda ukiwa na maana ya kwamba in the middle ilikuw ni beeef , lakini zote ni Hambergers , yani una we ita Sandwich , burger or hamberger.