Kwenye bureau de change kuna bei aina mbili kwa maana ask and bid prices eg dola inaweza kuandikwa buy tsh 2150 sell 2200 maana yake ukiwa na dola unataka kuiuza wao (bureau de change) wanainunua kwa sh 2150 ila ukiwa na tsh unataka kununua dola wao (bureau de change) wanakuuzia 2200 na difference btn the two mdo faida yao
saaaanahii biashara inalipa ama vipi?
saaaana
Na taarifa zao za mabadiliko wanazitoa BOT ama mitandao huwa inatosha kuwa-update