Bureau de change

RALO

Member
Jan 31, 2012
46
13
Vip wadau,

Naomba mnieleweshe jinsi bureau de change zinavyofanya kazi,kama nikiwa nataka kuchange hela huwa naambiwa natakiwa niwe naangalia rate ila sijui hyo rate maana yake hasa katika mtazamo wa kiuchumi.

Asanteni sana
 
Kwenye bureau de change kuna bei aina mbili kwa maana ask and bid prices eg dola inaweza kuandikwa buy tsh 2150 sell 2200 maana yake ukiwa na dola unataka kuiuza wao (bureau de change) wanainunua kwa sh 2150 ila ukiwa na tsh unataka kununua dola wao (bureau de change) wanakuuzia 2200 na difference btn the two mdo faida yao
 
Kwenye bureau de change kuna bei aina mbili kwa maana ask and bid prices eg dola inaweza kuandikwa buy tsh 2150 sell 2200 maana yake ukiwa na dola unataka kuiuza wao (bureau de change) wanainunua kwa sh 2150 ila ukiwa na tsh unataka kununua dola wao (bureau de change) wanakuuzia 2200 na difference btn the two mdo faida yao

Hii biashara inalipa ama vipi?
 
Back
Top Bottom