Donpela JF-Expert Member Jun 30, 2011 2,040 591 Oct 1, 2011 #1 sorry jaman kwkuwasumbua... Naombeni msaada ntapata wap bureau change ambayo ipo active adi asubuh ninaweza umbuka apa leo
sorry jaman kwkuwasumbua... Naombeni msaada ntapata wap bureau change ambayo ipo active adi asubuh ninaweza umbuka apa leo
T TMK DAR Member Jul 27, 2011 46 11 Oct 1, 2011 #2 Pole kama umeumbuka,kama uko DSM siku nyingine nenda uwanja wa kimataifa,JKNIA. Pole!
C Claxane Senior Member Apr 16, 2011 162 12 Oct 1, 2011 #3 Riki hill hotel dar. Karibu na jengo la ushirika.
Donpela JF-Expert Member Jun 30, 2011 2,040 591 Oct 1, 2011 Thread starter #4 tnx waku nepata ase apa posta nia habib bank cjui
D Dopas JF-Expert Member Aug 14, 2010 1,151 392 Oct 2, 2011 #5 Kwanini utafute ya 24hrs? Huwezi kujipanga ukaenda muda wa kawaida?
Memo JF-Expert Member Jan 17, 2011 2,157 760 Oct 2, 2011 #6 vaikojoel said: tnx waku nepata ase apa posta nia habib bank cjui Click to expand... pole sana mkuu. ukiwa bongo usifanye hayo makosa tena.
vaikojoel said: tnx waku nepata ase apa posta nia habib bank cjui Click to expand... pole sana mkuu. ukiwa bongo usifanye hayo makosa tena.
The Hunter JF-Expert Member Dec 25, 2010 1,049 305 Oct 2, 2011 #7 Pole bana, naona ushazungusha round sasa zimeisha! Usije ukokosa pesa ya kukata tiketi
Wambandwa JF-Expert Member Dec 3, 2006 2,249 830 Oct 2, 2011 #8 Unataka kupanga wizi ww? Bureau karibia zote K'koo ni 24hrs kajaribu bahati yako.
Shomari JF-Expert Member Mar 8, 2008 1,112 241 Oct 2, 2011 #9 Wambandwa said: Unataka kupanga wizi ww? Bureau karibia zote K'koo ni 24hrs kajaribu bahati yako. Click to expand... hata mimi nilianza kupatwa wasiwasi.
Wambandwa said: Unataka kupanga wizi ww? Bureau karibia zote K'koo ni 24hrs kajaribu bahati yako. Click to expand... hata mimi nilianza kupatwa wasiwasi.