Ubaya ni kuna raia bado wanawasifuKuna kauli za wabunge wa ccm unabaki unashangaa kabisa kuwa hivi hawa wana ubongo au tope? Wanashindwa kuelewa kuwa mahali kama Arusha RAIA wanalipa kodi kubwa na ndio inasaidia kujenga visima huko Kongwa? Sasa wao walipe kodi kisha usimamishe miradi kwao eti kwa vile mbunge hajaridhika na budget uchwara?
Basi tuamue kila eneo wajikusanyie kodi yao na kuitumia kwa maendeleo yao kisha tuone kama huko Kongwa huduma za afya hazijarudi kwa waganga wa jadi