Bungeni: Serukamba aomba radhi

Bungeni: Serukamba aomba radhi

Ktk kikao cha bunge cha jioni hii mbunge peter serukamba aomba radhi kwa tusi alilolitoa bungeni mchana,kuwa lilimtoka kwa bahati mbaya!
 
Source au ndio wewe serukamba unaomba sasa? mpuuzi kama huyo hafai hata kusamehewa
 
mh bahati mbaya wapi mtu akishazoea matusi hutukana ovyoovyo
lakini ustaarabu ukiwa nao kamwe huwezi kutukana kwa bahati mbaya kwa sababu hata tusi kuelea kichwani kwako haiwezekani.
 
Huyu nawe ni impotent tu
hakujua kama anatukana?anatakiwa akaombe ndani bungeni tusikie kama
alivyofanya wakati anatukana

Ameomba Bungeni, Naibu Spika alitaka kumaliza. Wenje kamshikilia kwamba maelekezo ya Spika hayakuwa kwamba ukiomba msamaha ndo unaachwa. Amemtaka Naibu Spika aite polisi mara moja ili Serukamba atolewe. Atatoa majibu baadae
 
Aibu, duh. Ila kichaa hata akiwa uchi hawezi kuona aibu, mtaona aibu nyie wenye akili timamu na kuanza kutafuta nguo za kumsitiri.
 
Kuna tofauti kubwa kati ya wabunge wa kuchaguliwa na wananchi, wabunge waliyoiba kura, wabunge wa kuteuliwa na wale nenda ugombee.
 
spika awajibike kwa kashfa hii.haiwezekani kabisaaaaaaa
 
Back
Top Bottom