Ushirombo
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 3,557
- 2,694
Usidanganye watu mkuu labda kwa wale ambao hawaijui siasa lakini kwa wale tunaofuatia bunge huwezi kumdanganya mtu,hakuna mbunge mwenye hoja kama mwigulu,mwingine ni zito lakini akina lisu ni kelele tu hamna hija.
Wewe ndo unadanganya umma, mwigulu ana hoja gani ya muhimu ? Lissu bana kwanza katoa facts za uchakachuaji wa mabaraza ya katiba au we hujaona?