Yaani kama Mh. Kikwete Raisi na Mwenyekiti wa CCM ni Dhaifu, Je ni Kweli Wana CCM wote watakuwa ni dhaifu?
Yaani kama Makamba, Mh. speaker, Malechela, Lusinde, Sitta, Ridhawani, Mwenyekiti wa UVCCM, Mwenyekiti wa UWT, Mwenyekiti wa Wazazi?, Yaani hawa wote pia watakuwa ni Dhaifu?
Kwa sababu CCM mkubwa kabisa si ni Mh. Kikwete?
Dah hii itakuwa hatari kama ni Kweli.