Wanawake hatupendani daima dumu.
kwahiyo kama ni mwanamke kaongea upumbavu nimsapot sababu ni mwanamke? Never siwezi kuwa kilaza wa kusapoti ujinga
Mbunge huyu alipokuwa anachangia hoja kuhusiana na sheria juu ya haki za wasanii na kazi zao. Alsema maeneo aliyokuwa anaish marehemu kanumba ni uswahilin hatari kwa Jk pamoja na Pm na wengneo.
Aidha aliongeza kuwa msanii huyo alpaswa kua na bodgad wa kumlnda.
Huyu Mbunge sijawahi kumsikia akiongea la maana, Ona leo tena ameropoka..
Kuna uhusiano gani kati ya kifo cha kanumba na kuishi uswahilini na kutokuwa na Bodigadi?
Ina maana yeye aligombea ubunge ili ajiwezeshe na asiishi uswahilini?
Je hawa wengine wanaoishi uswahilini hawana haki ya kuishi pengine?
Kwamba Kanumba alitakiwa asiishi uswahilini na awe na Bodigadi, kwa hiyo nini kifanyike?
kwamba tumfufue ili tumuondoe uswahilini kisha tumpatie mabodigadi? Halafu?
Hiki Kibibi sijui niaje aisee!! Yaani hapa kina entertain matabaka wazi wazi!!
Danm!!!
Umesikia mchango wake wote aliochangia
unajua alikuwa anamaanisha nini kusema alichosema?
Na kama mwanamke unaweza kuelewa ugumu na changamoto wanazopitia mpaka wanafika hapo bungeni,na kiukweli hamna pumba yoyote aliyeongea Martha Mlata na mbona hata Sugu ameongea mambo ambayo
almost yanafanana mbona yeye mnaona yuko sahihi?
sijui inakuwaje mbunge mzima anaamua asichambe kinywa!
Mbunge huyu alipokuwa anachangia hoja kuhusiana na sheria juu ya haki za wasanii na kazi zao. Alsema maeneo aliyokuwa anaish marehemu kanumba ni uswahilin hatari kwa Jk pamoja na Pm na wengneo.
Aidha aliongeza kuwa msanii huyo alpaswa kua na bodgad wa kumlnda.
ndio uwezo wake wa kufikiri ulipoishi
Anatafuta umaarufu kupitia kanumba
mmh,jamani kwani rais au pm wapo kwa kuwatembelea watu wanaoishi masaki peke yao? Basi kama hvyo tunaoishi kwa mtogole sisi sio binadamu wa kukutana na rais..ikumbukwe rais,pm hata huyowapo hapo kwaajili ya wananchi wote na si kwaajili ya watu wa masaki au watu wenye hadhi fulani.martha anapaswa kujua kwamba kanumba japokuwa alikuwa na fans wengi na maarufu sana lakini alijaribu kujishusha na kuishi na jamii ya kawaida sana hakuangalia usupastaa wake,hii inaonesha kwa kiasi gani wabunge wetu wanavyopenda kuishi masaki,oysterbay n.k badala ya kuishi karibu na wananchi waliowachagua huko uswahilini..kumbe mnaogopa hadhi zenu zitashuks.?.mwanmke mwenzetu kateleza
...
Mbunge huyu alipokuwa anachangia hoja kuhusiana na sheria juu ya haki za wasanii na kazi zao. Alsema maeneo aliyokuwa anaish marehemu kanumba ni uswahilin hatari kwa Jk pamoja na Pm na wengneo.
Aidha aliongeza kuwa msanii huyo alpaswa kua na bodgad wa kumlnda.