Kigogo JF-Expert Member Joined Dec 14, 2007 Posts 20,508 Reaction score 6,199 Apr 4, 2014 #21 wameshanichosha sana na hizi sarakasi ....bora nilewe viroba tu kuliko kusikiliza huu ujinga na mazingaombwe ya hili bunge la katiba
wameshanichosha sana na hizi sarakasi ....bora nilewe viroba tu kuliko kusikiliza huu ujinga na mazingaombwe ya hili bunge la katiba
tpaul Platinum Member Joined Feb 3, 2008 Posts 26,025 Reaction score 25,432 Apr 4, 2014 #22 Hawa magamba wanakera sana kwa hulka yao ya kupenda kuchakachua kila kitu!
Abu_yazid JF-Expert Member Joined Mar 28, 2014 Posts 3,435 Reaction score 4,255 Apr 4, 2014 #23 kwani zanzibar wanaing'ang'ania ya nini, watafute chao na c kuivuruga zanzibar ya watu