Mimi namshangaa sana huyu Mbunge wa Arusha mjini ana mambo ya kitoto sana, eti jana alikuwa ataka milango ya bunge ifungwe ili wapigane, shame on you tumewatuma huko mkapigane? please guys stop this stupidity.
Eee kweli Nchi hii imefikia pabaya sana...Watu mnaakili zenu wasomi na professions zao mnashabikia mambo ya kipumbavu! Lema kubweka kijinga bungeni mnaona kafanya la maana? CDM nawajua sana, Lema na Mbowe nawafahamu sana. Nimetoka jimbo la Hai...kampeni yake nilishiriki lakini wakati huo huo namfahamu Lema personaly. Lakini siungi mkono upupu huo wa Lema maana sio ya kiistaarabu. Tunahitaji mabadiliko ya kweli na hatukubaliani na upindishaji wa kanuni pindishi zinazofanywa na wana ccm lakini pia hatukubaliani na namna CDM inavyowasilisha mambo kwa nguvu badala ya nguvu ya hoja! Ninyi mnaoshabikia mambo haya ya kipuuzi ndio mtakaopelekea nchi yetu tukufu katika machafuko! Tupambane katika kutafuta haki na mabadiliko ya kweli lakini tuongozwe na ustaarabu, hekima na busara...Hakika tutafika na ushindi ni Hakika!
Jana Mh. Godbless Lema alidhihirisha kile watu wengi wanachokihofia kuhusu Chadema, pale alipotaka milango ya bunge ifungwe na badala yake washindane kwa ngumi badala ya hoja!
Kweli Chadema ni hamnazo!
Ukweli Utabaki kuwa kauli zilizotumiwa na waheshimiwa hazi reflect dhamana tuliyowapa wala sifa za kuwa viongozi. Tafakari.
Tena mie natamani spika angewakubalia wakafunga, sahizi watu wangekuwa mazishini. Maana wabunge zaidi ya mia2 kwa wabunge chini ya 50.
Akina lema wangepata kichapo kama walichopata mabaunsa kule tegeta. Cdm wao kama wanavyojidai kuwa wana wabunge wasomi, sidhani kama wananchi wamewachagua kwenda kuomba kuchapana ngumi, hili ni tatizo la kupeleka masela bungeni kuwa eti ndio watetezi. Lema ajiandae kukaa mtaani after 2015 election.
Jana Mh. Godbless Lema alidhihirisha kile watu wengi wanachokihofia kuhusu Chadema, pale alipotaka milango ya bunge ifungwe na badala yake washindane kwa ngumi badala ya hoja!
Kweli Chadema ni hamnazo!
Jana Mh. Godbless Lema alidhihirisha kile watu wengi wanachokihofia kuhusu Chadema, pale alipotaka milango ya bunge ifungwe na badala yake washindane kwa ngumi badala ya hoja!
Kweli Chadema ni hamnazo!
Itakuwa rahisi kuwaeleza watu gani? Machizi ambao hawajui mbunge wa mtera alisema nini mwezi February au? Vipi dvd ya mbunge wa mtera imegoma kutengenezeka au? Endeleeni kuingia choo cha kike mbele ya macho ya wananchi, itaendelea kula kwenu hadi mshangae.Sioni la ajabu Lema anafanana kabisa na chama chake, hii itakuwa rahisi sana kuwaeleza watu kwa mifano hai, DVD inayokuja itakuwa ni yake na matukio yake na haitauzwa bali itagawiwa bure kwa masela wenzake.
Ndugu, kwa kipimo chako hiki hiki bila unafiki, mbunge wa mtera-ccm alichaguliwa na wananchi kwenda bungeni kutishia(siyo kuomba) na kutaka kupigana?Tena mie natamani spika angewakubalia wakafunga, sahizi watu wangekuwa mazishini. Maana wabunge zaidi ya mia2 kwa wabunge chini ya 50.
Akina lema wangepata kichapo kama walichopata mabaunsa kule tegeta. Cdm wao kama wanavyojidai kuwa wana wabunge wasomi, sidhani kama wananchi wamewachagua kwenda kuomba kuchapana ngumi, hili ni tatizo la kupeleka masela bungeni kuwa eti ndio watetezi. Lema ajiandae kukaa mtaani after 2015 election.
Sifa mnazotaka kuwa viongozi wawe nazo ni hizi hapa?Ukweli Utabaki kuwa kauli zilizotumiwa na waheshimiwa hazi reflect dhamana tuliyowapa wala sifa za kuwa viongozi. Tafakari.