Bunge: Tundu Lissu is misleading

Bunge: Tundu Lissu is misleading

huyu jamaa anapenda umaarufu saana nimemuona bungeni anataka awe sub ya zitto awe makini atajipotezea umaarufu kwa cc watu makini

Na wewe unajiita mtu makini? jitazame upya.Hata wewe unatafuta umaarufu kujiita mtu makini wakati mburula tu.
 
Mbona JK kazidiwa na wengi tu elimu lakini ni kiranja mkuu wa nchi na chama cha umbijani?

Hoja yako haina mashiko...

Hiyo ndo athari ya akili ndogo kuongoza akili kubwa... we mtu ana masters ya sheria lakini anaongozwa na mtu wa form iv (vi zero) kwanini asiwe muanga kwa kuambukizwa na mwenyekiti wake?
 
tundu lisu yuko katika anguko lake, graph ya umaarufu wake inateremka kwa kasi
 
Sijamuelewa huyu jamaa anamaana gani na alitaka kuongelea sheria ipi inaonekana kama yeye kakurupuka sio lisu ukisoma na kuijua sheria ungeelewa alichokuwa anamaanisha lisu.
 
Anayedhani Tundulisu anatafuta au anashuka umaarufu anajidanganya.Yule ndiye mwanasheria mkuu anayetegemewa mle mjengoni,ukibisha mtafute speaker mama makinda atakueleza.Wanasheria wote mle ndani,tundu akisimama wanatepeta.Rejea maamuzi ya bunge kuhusu Escrow.
 
Back
Top Bottom