Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 793
Tundu sheria mpya haizuii vyombo vingine kumshauri Rais please.
Ila inasema waziri yeye kwa upande wake ajiridhishe before advising president.
Ni aibu mnakaa Bungeni hamskilizani who say what?
unfortunately Zitto naye aliingizwa kwenye mtego...
Simply Rais hafungiki kuchukua ushauri kutoka chombo kimoja.
Ila inasema waziri yeye kwa upande wake ajiridhishe before advising president.
Ni aibu mnakaa Bungeni hamskilizani who say what?
unfortunately Zitto naye aliingizwa kwenye mtego...
Simply Rais hafungiki kuchukua ushauri kutoka chombo kimoja.