Nimemaliza kuangalia bunge lililoisha jioni hii. Bunge lililokuwa likijadili bajeti ya ofisi ya raisi menejenti na utumishi wa umma. Bsjeti ambayo tayari imepitishwa. Kilichonishitua ni idadi ya wabunge wabunge waliopitisha bajeti hiyo. Idadi yake ilikuwa ndogo mno sidhani kama hata walikuwa wakifika sitini. Sijajua ni wabunge wangapi wanatosha kuipitisha bsjeti ya wizara.
Kinachoonekana kwa sasa wengine wa bunge wapo majimboni kutengeneza mazingira kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwezi octoba
Watoto wa Lumumba bhana akili ziko Nyuma ndo maana tunasema mmechoka na kwl mmechoka kila mahal habar nyingine Lema na habar hii wap na wap? Au ndo umemzimikia ili upewe tam tam maana huuish kumtaja Lema, nikwambie tu hatutak magosho sisi.
Kikao cha leo nimeona wabunge watano wa Ukawa na maccm 33 plus mwenyekiti na makatibu na walinzi bungeni kulkuwana watu wasiopungua 45. inamaana vilaza 33 na wabunge watano.
mi sijui mbunge wangu prf tiba yuko wapi make hta jimbon hayupo cjui kwa kuwa anajua harudi tena mjengon? muleba kusin yetu awamu hii ni UKAWA TU kwa maana hamna namna lazima maccm yapigwe chini