Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,303
Kwa wale wakereketwa wa chama makini cha Chadema tusipoteze muda hapo Dodoma baada ya kufuatilia kwa umakini vikao vya bajeti ya 2011-2012 japokua baadhi ya bajeti zimepitishwa kisanii!
sasa naowaomba tusipoteze muda tuhamie Igunga tukalichukue hili jimbo japoku wao wanapesa! Sisi tuna Mungu! Ninavyopost thread hii ndio niko mbioni kuelekea Igunga asanteni na nawatakia weekend njema hakika tutashinda.
sasa naowaomba tusipoteze muda tuhamie Igunga tukalichukue hili jimbo japoku wao wanapesa! Sisi tuna Mungu! Ninavyopost thread hii ndio niko mbioni kuelekea Igunga asanteni na nawatakia weekend njema hakika tutashinda.