Bunge letu, Bunge Kibri, Jeuri? Linawezaje kutunga tena Sheria batili? Limeamriwa kuondoa ubatili huo, linapata wapi jeuri ya kuidharau Mahakama?

Bunge letu, Bunge Kibri, Jeuri? Linawezaje kutunga tena Sheria batili? Limeamriwa kuondoa ubatili huo, linapata wapi jeuri ya kuidharau Mahakama?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
57,101
Reaction score
128,716
Wanabodi,
Hii ni Makala Yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo.

Makala Bunge Kibri, Jeuri!.jpg

Angalizo:
Hii Mada ni Swali na Alama ya Kuuliza iko wazi na sio Statement!.
Nimeanza hivyo kwasababu mimi mwenzenu niliwahi kuitwa Bungeni Dodoma kwa kutuhumiwa kulidharau Bunge, kufika kule kule Mbunge aliyenishitaki kwa Spika, hakuiona alama ya kuuliza, Spika hakuiona alama ya kuuliza!, Kamati ya Bunge ilipoiona ile alama, kesi iliishia hapo!.

Hivyo ninapohoji jambo lolote kuhusu mihimili, nakumbushia kabisa kuhusu alama ya kuuliza, ili tusije tena tukaanza kuitana Dodoma!.

Swali ni hili...
Je hili Bunge letu Tukufu, ni Bunge Kibri, na Bunge Jeuri?, Linawezaje Kutunga Tena Sheria Batili Iliyoshabatilishwa na Mahakama Kuu ya Tanzania?!. Likaamriwa na Mahakama ya Rufaa, tena chini ya Jaji Mkuu mwenyewe, akisaidiwa na Majaji Rufani 6, jumla Majaji Rufani 7 (Full Bench), Bunge Limeamriwa Kuuondoa Ubatili Huo!, Bunge hili kibri na jeuri, limegoma mpaka leo!, Naomba Tujadili Bunge letu hili Tukufu, Linapata Wapi Kiburi Hiki na Jeuri Hii ya Kuidharau Mahakama?!.

Tanzania tumerithi mfumo wa uendeshaji wa nchi, kupitia mfumo wa mihimili mitatu rasmi ya Serikali, Bunge na Mahakama kutoka kwa wakoloni Waingereza.

Kila mhimili una kazi yake, Bunge kazi yake ni kutunga sheria na kuisimamia serikali, Mahakama kazi yake ni kutafasiri sheria zilizotungwa na Bunge, na utoaji haki ndani ya Jamhuri ya Muungano, Serikali kazi yake ni kutekeleza sheria kwa kutekeleza huku za mahakama na maelekezo ya Bunge.

Kinadharia, mihimili hii yote mitatu, inapaswa kuwa sawa (equal), na kila mhimili una nguvu zake na mamlaka yake, (powers) ambazo hazipaswi kuingiliana, (separation of powers), na kila mhimili, uhuru wake, (independence) ambao haupaswi kuingiliwa na mihimili mingine, na mihimili yote mitatu inapaswa kufanya kazi kwa kuheshimiana.

Kwa vile vyombo hivi vyote vitatu, vinaongozwa na watu, binadamu, na binadamu sio wakamilifu, vyombo hivi vyote vitatu, vikapewa jukumu la kila kimoja kuwa kiranja wa mwingine, kupitia kanuni inayoitwa “the doctrine of separation of powers, checks and balances”, mtanisamehe majina ya baadhi ya kanuni hizi ni majina ya kizungu, sijui Kiswahili chake.

Kanuni hiyo ya ukiranja, unaipa hii mihimili, mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine, pale unapokiuka mamlaka yake. Mhimili wa Serikali umepewa mamlaka ya udhibiti wa kuuingilia mhimili wa Bunge na Mhimili wa Mahakama usivuke mipaka ya mamlaka yake. Mhimili wa Bunge umepewa mamlaka ya kuudhibiti mhimili wa Mahakama na Mhimili wa serikali usikiuke mamlaka yake, na Mhimili wa Mahakama umepewa mamlaka ya kulidhibiti Bunge na kuidhibiti serikali, inapokiuka mamlaka yake.

Wakuu wa mihimili hii yote mitatu, wakienda kinyume cha majukumu yao, wanaadhibika kwa kuondoshwa madarakani, Ibara ya 46A, Bunge linaweza kumuadhibu rais anapofanya makosa kwa kumuondoa Mkuu wa Mhimili wa Serikali madarakani, Bunge pia kupitia ibara ya 53A, linaweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu na waziri Mkuu akaondolewa madarakani, Bunge pia linaweza kumuondoa Spika madarakani kupitia Ibara ya 87 ya Katiba ya JMT, ya mwaka 1977. Na Mkuu wa Mhimili wa Mahakama, Jaji Mkuu, akifanya makosa, anaweza kuadhibiwa kwa kuondolewa madarakani kwa mujibu wa Ibara ya 110 ya Katiba. Hivyo wakuu wote wa mihimili wasipotimiza wajibu wao, wanaweza kuadhibiwa, kuwajibishwa na kuondolewa madarakani.

Serikali inapofanya makosa ya ukiukaji wa haki za wananchi, inaweza kushitakiwa mahakamani, lakini sio kwa serikali kuwajibishwa, bali kwa serikali kuamriwa na mahakama kutenda haki kwa lazima kupitia amri 6 za kimahakama za certiorari, mandamus, prohibition, (zuio), harbea corpus, quo warranto na procedendo, mtanisamehe amri hizi nyingine zote hazina majina ya Kiswahili wala Kiingereza, bali ni Kilatini.

Lakini Bunge lisipotenda haki, na mahakama isipotenda haki, kwa mujibu wa katiba yetu, bado hakuna utaratibu wowote wa kuishitaki mahakamani popote au kulishitaki Bunge popote!, na ndio maana Bunge letu limekuwa linatunga sheria batili na mahakama inaishia tuu kuzibatilisha, bila Bunge kuwajibishwa!, na sasa Bunge hili, chini ya mwanasheria, nguli, mbobezi na mbobevu, mwalimu wa sheria wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, Dr. Tulia Akson, limetitungia tena sheria batili, ambayo ina kipengele batili kinyume cha katiba ambacho kimeisha batilishwa na Mahakama Kuu, Bunge hili linapata wapi kiburi hiki na jeuri hii ya kututungia tena sheria batili?.

Mfano mzuri ni hii Sheria yetu mpya ya Uchaguzi, ni sheria batili!, muswada ulipotoka tuu, tukasema

Hadi Mama tukamweleza Ombi kwa Rais Samia: Sheria Mpya ya Uchaguzi Bado ina Ubatili. Haki ya Kuchagua na Kuchaguliwa imeporwa! Irejeshwe kwa Mujibu wa Katiba!

Ubatili wa sheria hii, sio ubatili mwingine wowote, zaidi ya ubatili ule ule ninaoupigia kelele humu jukwaani kila uchao, wa serikali yetu kutunga muswada wenye vipengele batili vinavyokwenda kinyume cha katiba ya JMT na Bunge letu Tukufu kuupokea huo muswada batili na ubatili wake na waheshimiwa wabunge wetu makini wakiwemo wanasheria manguli wabobezi na wabebovu kujadili na mwisho kutunga sheria nyingine batili kama mazuzu!
Ubatili huu nimeuzungumza sana humu
Kwa vile Mkuu wa nchi ni rais wa nchi, na mkubwa ni jalala, hivyo likitokea tatizo lolote, analaumiwa mkuu wa nchi, na madudu yote hayo yalitokea kabla Rais Samia hajaingia madarakani, hivyo nimemjengea indemnity Rais Samia asilaumiwe kwa madudu haya Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Kwa maoni yangu, dhulma kuu ya kwanza na ya msingi ni haki ya kupiga kura na haki ya kupigiwa kura, haki hii ilyotolewa na katiba ya JMT ya mwaka 1977, ikaja kuporwa kwa sheria batili ya uchaguzi, Sheria ya Taifa ya Uchaguzi Sura ya 343 ya mwaka 1985 na Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa Sura ya 292 ya Mwaka 1979.

Mchungaji Mtikila akapinga sheria hiyo mahakani, baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kukibatilisha kifungu hicho batili, kwa kwenda kinyume cha katiba, serikali yetu ikafanya jambo moja kubwa la ajabu sana, au kitu cha ajabu sana!, ikapeleka bungeni muswada wa mabadiliko ya katiba kwa hati ya dharura, ikakichomekea kipengele batili ndani ya katiba ya JMT ya mwaka 1977, hivyo ubatili huo ukachomekewa ndani ya katiba!. Kwanini tutunge sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ule ule?. Kwanini tutunge sheria mpya yenye dhulma ile ile ya haki kwa Watanzania?!.

Rais Samia baada ya kuingia madarakani, tumemlilia sana kuhusu ubatili huu

Serikali ikakata rufaa kupinga uamuzi huo, na Mahakama ya Rufani, ikatoa uamuzi kwa kusema “The Court is not the custodian of the will of the people”, ukimaanisha Mahakama sio mlinzi wa katiba ya wananchi!. Mahakama ya Rufani, ikalirudisha jambo hilo kwa Bunge lenyewe ndio lirekebishe!, na matokeo yake mpaka hivi sasa ninapoandika andika makala hii, sheria batili hiyo imetungwa tena, kipengele hicho batili bado kinatumika kuwanyima Watanzania haki ya kuwachagua viongozi wanaowataka, kwa kuwalazimisha Watanzania kuwachagua viongozi waliopitishwa na vyama vya siasa. Pia kunawanyima haki Watanzania kugombea uongozi kwa kuwalazimisha lazima kwanza wajiunge na chama cha siasa!.

Kwa vile hakumu ya Mahakama ya Rufaa, ililiamuru Bunge, kuuondoa ubatili huo, swali la kujiuliza ni kwanini Bunge halijatekeleza huku hii ya mahakama?!. Bunge linapata wapi jeuri ya kutotekeleza hukumu halali ya Mahakama Rufaa?!. Jibu ni moja tuu, Bunge halijatekeleza hukumu hii ya Mahakama ya Rufaa, kwa sababu fulani ambayo niliwahi kuitaja, naomba nisiirudie kuisema, nikaliponza bure gazeti hili kuanza kuitana Dodoma.

Naliomba Bunge letu tukufu, chini ya Spika, mwalimu wangu wa kwanza wa kipindi changu cha kwanza somo la sheria, chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, Dr. Tulia Akson Mwansasu, awatendee haki Watanzania, kwa kutekeleza amri hii ya mahakama na kutuondolea ubatili huu ndani ya katiba yetu, ndani ya sheria zetu.
Mungu Mbariki Dr. Tulia Aweze

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Rejea za Mtoa Mada Kuhusu Bunge
  1. Wabunge Wetu wa Ajabu!, Wanaachaje Bunge Lijipendekeze Kwa Serikali!, Wanajua Wajibu Wao?. Check 'n' Balance Itoke Wapi?
  2. Sehemu ya Pili: Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali?
  3. Bunge letu ni Bunge la ovyo? Bunge linafanya Uhuni? Wabunge Wetu ni Wahuni? Tumshauri Spika naye aanze kuita Watu kwenye Kamati, au waachwe tu?
  4. Watanzania tutaendelea kusubiri mpaka lini Bunge likitunga Sheria batili na kuuchomekea ubatili huo ndani ya Katiba yetu? Tufanye nini?
  5. Je, wajua kuwa Rais wa JMT ndie Serikali, Bunge na Mahakama? Yuko juu ya Mihimili yote 3. Je, kuna uwezekano Rais wa JMT pia yuko juu Katiba?
  6. Bunge jipya lina hali mbaya! Serikali itafanaje kuliokoa Bunge ili kuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni?
 
Shida ni Katiba ina "Viraka". Viraka vilianza kwenye "Sheria ya vyama vingi" pale pale ndo ilitakiwa ishu ya Mgombea Binafsi iwepo. Ukisema Bunge likubali watu wasidhaminiwe na chama cha siasa maana yake ni kuruhusu ishu ya Mgombea Binafsi.

Sina hakika kwenye Rasimu ya Warioba kama waliruhusu "Mgombea Binafsi" sikumbuki.

KWA UELEWA WA JUMLA: Alichokuwa anakipigania Mtukila (RIP) ni uwepo wa mgombea binafsi, akaangalia mapungufu na udhaifu wa Katiba yetu, akawa Mjanja aka "Challenge" ishu ya "Kudhaminiwa na chama" lakini kimsingi hoja yake ilikuwa ni MGOMBEA BINAFSI. Kwa kushinda kwake ile kesi, maana yake ni kuruhusu Mgombea Binafsi. Kwa iyo Mtikila alishinda kesi ya Kikatiba ya Mgombea binafsi kwa "challenge" hio aliyoeleza Pasco.

UTANI: Pasco tungekuwa na Mgombea Binafsi/ Mgombea kutodhaminiwa na chama cha saisa, usingepata kura moja kwenye maoni ubunge. 😁
 
Wanabodi,
Hii ni Makala Yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo.

View attachment 3288093
Angalizo:
Hii Mada ni Swali na Alama ya Kuuliza iko wazi na sio Statement!.
Nimeanza hivyo kwasababu mimi mwenzenu niliwahi kuitwa Bungeni Dodoma kwa kutuhumiwa kulidharau Bunge, kufika kule kule Mbunge aliyenishitaki kwa Spika, hakuiona alama ya kuuliza, Spika hakuiona alama ya kuuliza!, Kamati ya Bunge ilipoiona ile alama, kesi iliishia hapo!.

Hivyo ninapohoji jambo lolote kuhusu mihimili, nakumbushia kabisa kuhusu alama ya kuuliza, ili tusije tena tukaanza kuitana Dodoma!.

Swali ni hili...
Je hili Bunge letu Tukufu, ni Bunge Kibri, na Bunge Jeuri?, Linawezaje Kutunga Tena Sheria Batili Iliyoshabatilishwa na Mahakama Kuu ya Tanzania?!. Likaamriwa na Mahakama ya Rufaa, tena chini ya Jaji Mkuu mwenyewe, akisaidiwa na Majaji Rufani 6, jumla Majaji Rufani 7 (Full Bench), Bunge Limeamriwa Kuuondoa Ubatili Huo!, Bunge hili kibri na jeuri, limegoma mpaka leo!, Naomba Tujadili Bunge letu hili Tukufu, Linapata Wapi Kiburi Hiki na Jeuri Hii ya Kuidharau Mahakama?!.

Tanzania tumerithi mfumo wa uendeshaji wa nchi, kupitia mfumo wa mihimili mitatu rasmi ya Serikali, Bunge na Mahakama kutoka kwa wakoloni Waingereza.

Kila mhimili una kazi yake, Bunge kazi yake ni kutunga sheria na kuisimamia serikali, Mahakama kazi yake ni kutafasiri sheria zilizotungwa na Bunge, na utoaji haki ndani ya Jamhuri ya Muungano, Serikali kazi yake ni kutekeleza sheria kwa kutekeleza huku za mahakama na maelekezo ya Bunge.

Kinadharia, mihimili hii yote mitatu, inapaswa kuwa sawa (equal), na kila mhimili una nguvu zake na mamlaka yake, (powers) ambazo hazipaswi kuingiliana, (separation of powers), na kila mhimili, uhuru wake, (independence) ambao haupaswi kuingiliwa na mihimili mingine, na mihimili yote mitatu inapaswa kufanya kazi kwa kuheshimiana.

Kwa vile vyombo hivi vyote vitatu, vinaongozwa na watu, binadamu, na binadamu sio wakamilifu, vyombo hivi vyote vitatu, vikapewa jukumu la kila kimoja kuwa kiranja wa mwingine, kupitia kanuni inayoitwa “the doctrine of separation of powers, checks and balances”, mtanisamehe majina ya baadhi ya kanuni hizi ni majina ya kizungu, sijui Kiswahili chake.

Kanuni hiyo ya ukiranja, unaipa hii mihimili, mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine, pale unapokiuka mamlaka yake. Mhimili wa Serikali umepewa mamlaka ya udhibiti wa kuuingilia mhimili wa Bunge na Mhimili wa Mahakama usivuke mipaka ya mamlaka yake. Mhimili wa Bunge umepewa mamlaka ya kuudhibiti mhimili wa Mahakama na Mhimili wa serikali usikiuke mamlaka yake, na Mhimili wa Mahakama umepewa mamlaka ya kulidhibiti Bunge na kuidhibiti serikali, inapokiuka mamlaka yake.

Wakuu wa mihimili hii yote mitatu, wakienda kinyume cha majukumu yao, wanaadhibika kwa kuondoshwa madarakani, Ibara ya 46A, Bunge linaweza kumuadhibu rais anapofanya makosa kwa kumuondoa Mkuu wa Mhimili wa Serikali madarakani, Bunge pia kupitia ibara ya 53A, linaweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu na waziri Mkuu akaondolewa madarakani, Bunge pia linaweza kumuondoa Spika madarakani kupitia Ibara ya 87 ya Katiba ya JMT, ya mwaka 1977. Na Mkuu wa Mhimili wa Mahakama, Jaji Mkuu, akifanya makosa, anaweza kuadhibiwa kwa kuondolewa madarakani kwa mujibu wa Ibara ya 110 ya Katiba. Hivyo wakuu wote wa mihimili wasipotimiza wajibu wao, wanaweza kuadhibiwa, kuwajibishwa na kuondolewa madarakani.

Serikali inapofanya makosa ya ukiukaji wa haki za wananchi, inaweza kushitakiwa mahakamani, lakini sio kwa serikali kuwajibishwa, bali kwa serikali kuamriwa na mahakama kutenda haki kwa lazima kupitia amri 6 za kimahakama za certiorari, mandamus, prohibition, (zuio), harbea corpus, quo warranto na procedendo, mtanisamehe amri hizi nyingine zote hazina majina ya Kiswahili wa Kiingereza ni Kilatini.

Lakini Bunge lisipotenda haki, na mahakama isipotenda haki, kwa mujibu wa katiba yetu, bado hakuna utaratibu wowote wa kuishitaki mahakama popote au kulishitaki Bunge popote!, na ndio maana Bunge letu limekuwa linatunga sheria batili na mahakama kuzibatilisha tuu bila Bunge kuwajibishwa!.

Mfano mzuri ni hii Sheria yetu mpya ya Uchaguzi, una kipengele batili cha kulazimisha wagombea kudhaminiwa na chama cha siasa, Mchungaji Mtikila akafungua Kesi No. 5 ya mwaka 1993 kupinga sheria hiyo, Mahakama Kuu ya Tanzania ikatoa huku kutangaza kipengele hicho ni batili.

Serikali yetu ya wakati huo, ilikata rufaa kupinga uamuzi huo wa Mahakama Kuu kuibatilisha sheria hiyo!. Sheria ikiishatamkwa na mahakama kuwa ni batili kwa kwenda kinyume cha Katiba, ubatili huo unapaswa kubatilika pale pale baada ya tamko la hukumu ya mahakama, kwasababu anayebatilisha sheria batili kwa kwenda kinyume cha katiba, sio mahakama, ni katiba yenyewe!.

Kisha serikali ikapeleka Bungeni kwa hati ya dharura, Sheria No. 34 ya mwaka 1994 na kufanya mabadiliko ya 8 ya katiba ya JMT ya mwaka 1977 kuliomba Bunge, likichomekee kipengele hicho batili ndani ya katiba yetu, na kweli Bunge letu tukufu likauchomekea ubatili huo ndani ya katiba yetu!.

Mchungaji Mtikila (Mungu amuweke mahala pema peponi), hakukubali katiba yetu inajisiwe, akafungua shauri jingine No. 10 la mwaka 1999 kupinga mabadiliko hayo ya 8 ya katiba, na Mahakama Kuu ikampa ushindi na kutamka mabadiliko hayo ya katiba, kuchomekea kipengele batili kilicho kinyume cha katiba, ni batili.

Serikali ikakata rufaa kupinga uamuzi huo, na Mahakama ya Rufani, ikatoa uamuzi kwa kusema “The Court is not the custodian of the will of the people”, ukimaanisha Mahakama sio mlinzi wa katiba ya wananchi!. Mahakama ya Rufani, ikalirudisha jambo hilo kwa Bunge lenyewe ndio lirekebishe!, na matokeo yake mpaka hivi sasa ninapoandika andika makala hii, sheria batili hiyo imetungwa tena, kipengele hicho batili bado kinatumika kuwanyima Watanzania haki ya kuwachagua viongozi wanaowataka, kwa kuwalazimisha Watanzania kuwachagua viongozi waliopitishwa na vyama vya siasa. Pia kunawanyima haki Watanzania kugombea uongozi kwa kuwalazimisha lazima kwanza wajiunge na chama cha siasa!.

Kwa vile hakumu ya Mahakama ya Rufaa, ililiamuru Bunge, kuuondoa ubatili huo, swali la kujiuliza ni kwanini Bunge halijatekeleza huku hii ya mahakama?!. Bunge linapata wapi jeuri ya kutotekeleza hukumu halali ya Mahakama Rufaa?!. Jibu ni moja tuu, Bunge halijatekeleza huku hii ya Mahakama ya Rufaa, kwa sababu fulani ambayo naomba nisiirudie kuisema, nikaliponza bure gazeti hili kuanza kuitana Dodoma.

Naliomba Bunge letu tukufu, chini ya Spika, mwalimu wangu wa kwanza wa kipindi changu cha kwanza somo la sheria, chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, Dr. Tulia Akson Mwansasu, awatendee haki Watanzania, kwa kutekeleza amri hii ya mahakama na kutuondolea ubatili huu ndani ya katiba yetu, ndani ya sheria zetu.
Mungu Mbariki Dr. Tulia Aweze

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Gentleman,
ikiwa zipo haki ambazo zinahatarisha amani, umoja na usalama wa Taifa letu, zitaendelea kupuuzwa kutekelezwa na serikali, hata kama mashauri yake yalipelekwa mahakamani na yakaamuliwa in favor of wananchi na mahakama za ndani au nje ya nchi.

Ni muhimu sana kuzingatia usalama wa waTanzania wote, kuliko ubinafsi wa mtu moja na tamaa zake binafsi 🐒
 
UTANI: Pasco tungekuwa na Mgombea Binafsi/ Mgombea kutodhaminiwa na chama cha saisa, usingepata kura moja kwenye maoni ubunge. 😁
Ni kweli kabisa, yule Bwana mdogo, ni mtu wa kuja tuu hapa mujini, by saa 4:00 tuu, watoto wa mjini wangeisha maliza kazi!.
P
 
Wanabodi,
Hii ni Makala Yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo.

View attachment 3288093
Angalizo:
Hii Mada ni Swali na Alama ya Kuuliza iko wazi na sio Statement!.
Nimeanza hivyo kwasababu mimi mwenzenu niliwahi kuitwa Bungeni Dodoma kwa kutuhumiwa kulidharau Bunge, kufika kule kule Mbunge aliyenishitaki kwa Spika, hakuiona alama ya kuuliza, Spika hakuiona alama ya kuuliza!, Kamati ya Bunge ilipoiona ile alama, kesi iliishia hapo!.

Hivyo ninapohoji jambo lolote kuhusu mihimili, nakumbushia kabisa kuhusu alama ya kuuliza, ili tusije tena tukaanza kuitana Dodoma!.

Swali ni hili...
Je hili Bunge letu Tukufu, ni Bunge Kibri, na Bunge Jeuri?, Linawezaje Kutunga Tena Sheria Batili Iliyoshabatilishwa na Mahakama Kuu ya Tanzania?!. Likaamriwa na Mahakama ya Rufaa, tena chini ya Jaji Mkuu mwenyewe, akisaidiwa na Majaji Rufani 6, jumla Majaji Rufani 7 (Full Bench), Bunge Limeamriwa Kuuondoa Ubatili Huo!, Bunge hili kibri na jeuri, limegoma mpaka leo!, Naomba Tujadili Bunge letu hili Tukufu, Linapata Wapi Kiburi Hiki na Jeuri Hii ya Kuidharau Mahakama?!.

Tanzania tumerithi mfumo wa uendeshaji wa nchi, kupitia mfumo wa mihimili mitatu rasmi ya Serikali, Bunge na Mahakama kutoka kwa wakoloni Waingereza.

Kila mhimili una kazi yake, Bunge kazi yake ni kutunga sheria na kuisimamia serikali, Mahakama kazi yake ni kutafasiri sheria zilizotungwa na Bunge, na utoaji haki ndani ya Jamhuri ya Muungano, Serikali kazi yake ni kutekeleza sheria kwa kutekeleza huku za mahakama na maelekezo ya Bunge.

Kinadharia, mihimili hii yote mitatu, inapaswa kuwa sawa (equal), na kila mhimili una nguvu zake na mamlaka yake, (powers) ambazo hazipaswi kuingiliana, (separation of powers), na kila mhimili, uhuru wake, (independence) ambao haupaswi kuingiliwa na mihimili mingine, na mihimili yote mitatu inapaswa kufanya kazi kwa kuheshimiana.

Kwa vile vyombo hivi vyote vitatu, vinaongozwa na watu, binadamu, na binadamu sio wakamilifu, vyombo hivi vyote vitatu, vikapewa jukumu la kila kimoja kuwa kiranja wa mwingine, kupitia kanuni inayoitwa “the doctrine of separation of powers, checks and balances”, mtanisamehe majina ya baadhi ya kanuni hizi ni majina ya kizungu, sijui Kiswahili chake.

Kanuni hiyo ya ukiranja, unaipa hii mihimili, mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine, pale unapokiuka mamlaka yake. Mhimili wa Serikali umepewa mamlaka ya udhibiti wa kuuingilia mhimili wa Bunge na Mhimili wa Mahakama usivuke mipaka ya mamlaka yake. Mhimili wa Bunge umepewa mamlaka ya kuudhibiti mhimili wa Mahakama na Mhimili wa serikali usikiuke mamlaka yake, na Mhimili wa Mahakama umepewa mamlaka ya kulidhibiti Bunge na kuidhibiti serikali, inapokiuka mamlaka yake.

Wakuu wa mihimili hii yote mitatu, wakienda kinyume cha majukumu yao, wanaadhibika kwa kuondoshwa madarakani, Ibara ya 46A, Bunge linaweza kumuadhibu rais anapofanya makosa kwa kumuondoa Mkuu wa Mhimili wa Serikali madarakani, Bunge pia kupitia ibara ya 53A, linaweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu na waziri Mkuu akaondolewa madarakani, Bunge pia linaweza kumuondoa Spika madarakani kupitia Ibara ya 87 ya Katiba ya JMT, ya mwaka 1977. Na Mkuu wa Mhimili wa Mahakama, Jaji Mkuu, akifanya makosa, anaweza kuadhibiwa kwa kuondolewa madarakani kwa mujibu wa Ibara ya 110 ya Katiba. Hivyo wakuu wote wa mihimili wasipotimiza wajibu wao, wanaweza kuadhibiwa, kuwajibishwa na kuondolewa madarakani.

Serikali inapofanya makosa ya ukiukaji wa haki za wananchi, inaweza kushitakiwa mahakamani, lakini sio kwa serikali kuwajibishwa, bali kwa serikali kuamriwa na mahakama kutenda haki kwa lazima kupitia amri 6 za kimahakama za certiorari, mandamus, prohibition, (zuio), harbea corpus, quo warranto na procedendo, mtanisamehe amri hizi nyingine zote hazina majina ya Kiswahili wala Kiingereza, bali ni Kilatini.

Lakini Bunge lisipotenda haki, na mahakama isipotenda haki, kwa mujibu wa katiba yetu, bado hakuna utaratibu wowote wa kuishitaki mahakamani popote au kulishitaki Bunge popote!, na ndio maana Bunge letu limekuwa linatunga sheria batili na mahakama inaishia tuu kuzibatilisha, bila Bunge kuwajibishwa!, na sasa Bunge hili, chini ya mwanasheria, nguli, mbobezi na mbobevu, mwalimu wa sheria wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, Dr. Tulia Akson, limetitungia tena sheria batili, ambayo ina kipengele batili kinyume cha katiba ambacho kimeisha batilishwa na Mahakama Kuu, Bunge hili linapata wapi kiburi hiki na jeuri hii ya kututungia tena sheria batili?.

Mfano mzuri ni hii Sheria yetu mpya ya Uchaguzi, ni sheria batili!, muswada ulipotoka tuu, tukasema

Hadi Mama tukamweleza Ombi kwa Rais Samia: Sheria Mpya ya Uchaguzi Bado ina Ubatili. Haki ya Kuchagua na Kuchaguliwa imeporwa! Irejeshwe kwa Mujibu wa Katiba!

ina kipengele batili cha kulazimisha wagombea kudhaminiwa na chama cha siasa, Mchungaji Mtikila akafungua Kesi No. 5 ya mwaka 1993 kupinga sheria hiyo, Mahakama Kuu ya Tanzania ikatoa huku kutangaza kipengele hicho ni batili.

Serikali yetu ya wakati huo, ilikata rufaa kupinga uamuzi huo wa Mahakama Kuu kuibatilisha sheria hiyo!. Sheria ikiishatamkwa na mahakama kuwa ni batili kwa kwenda kinyume cha Katiba, ubatili huo unapaswa kubatilika pale pale baada ya tamko la hukumu ya mahakama, kwasababu anayebatilisha sheria batili kwa kwenda kinyume cha katiba, sio mahakama, ni katiba yenyewe!.

Kisha serikali ikapeleka Bungeni kwa hati ya dharura, Sheria No. 34 ya mwaka 1994 na kufanya mabadiliko ya 8 ya katiba ya JMT ya mwaka 1977 kuliomba Bunge, likichomekee kipengele hicho batili ndani ya katiba yetu, na kweli Bunge letu tukufu likauchomekea ubatili huo ndani ya katiba yetu!.

Mchungaji Mtikila (Mungu amuweke mahala pema peponi), hakukubali katiba yetu inajisiwe, akafungua shauri jingine No. 10 la mwaka 1999 kupinga mabadiliko hayo ya 8 ya katiba, na Mahakama Kuu ikampa ushindi na kutamka mabadiliko hayo ya katiba, kuchomekea kipengele batili kilicho kinyume cha katiba, ni batili.

Serikali ikakata rufaa kupinga uamuzi huo, na Mahakama ya Rufani, ikatoa uamuzi kwa kusema “The Court is not the custodian of the will of the people”, ukimaanisha Mahakama sio mlinzi wa katiba ya wananchi!. Mahakama ya Rufani, ikalirudisha jambo hilo kwa Bunge lenyewe ndio lirekebishe!, na matokeo yake mpaka hivi sasa ninapoandika andika makala hii, sheria batili hiyo imetungwa tena, kipengele hicho batili bado kinatumika kuwanyima Watanzania haki ya kuwachagua viongozi wanaowataka, kwa kuwalazimisha Watanzania kuwachagua viongozi waliopitishwa na vyama vya siasa. Pia kunawanyima haki Watanzania kugombea uongozi kwa kuwalazimisha lazima kwanza wajiunge na chama cha siasa!.

Kwa vile hakumu ya Mahakama ya Rufaa, ililiamuru Bunge, kuuondoa ubatili huo, swali la kujiuliza ni kwanini Bunge halijatekeleza huku hii ya mahakama?!. Bunge linapata wapi jeuri ya kutotekeleza hukumu halali ya Mahakama Rufaa?!. Jibu ni moja tuu, Bunge halijatekeleza huku hii ya Mahakama ya Rufaa, kwa sababu fulani ambayo naomba nisiirudie kuisema, nikaliponza bure gazeti hili kuanza kuitana Dodoma.

Naliomba Bunge letu tukufu, chini ya Spika, mwalimu wangu wa kwanza wa kipindi changu cha kwanza somo la sheria, chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, Dr. Tulia Akson Mwansasu, awatendee haki Watanzania, kwa kutekeleza amri hii ya mahakama na kutuondolea ubatili huu ndani ya katiba yetu, ndani ya sheria zetu.
Mungu Mbariki Dr. Tulia Aweze

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
MPAKA IKIFIKA WAKATI AMBAO WATU HAWATAHESHIMU VIONGOZI NA MUUNGANIKO KATI KIONGOZI NA MUONGOZWA UKAKATIKA NDO TUTAJIFUNZA KWAMBA RAIA NDO WENYE MAMLAKA NA SIYO VINGINE.
 
Wanabodi,
Hii ni Makala Yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo.

View attachment 3288093
Angalizo:
Hii Mada ni Swali na Alama ya Kuuliza iko wazi na sio Statement!.
Nimeanza hivyo kwasababu mimi mwenzenu niliwahi kuitwa Bungeni Dodoma kwa kutuhumiwa kulidharau Bunge, kufika kule kule Mbunge aliyenishitaki kwa Spika, hakuiona alama ya kuuliza, Spika hakuiona alama ya kuuliza!, Kamati ya Bunge ilipoiona ile alama, kesi iliishia hapo!.

Hivyo ninapohoji jambo lolote kuhusu mihimili, nakumbushia kabisa kuhusu alama ya kuuliza, ili tusije tena tukaanza kuitana Dodoma!.

Swali ni hili...
Je hili Bunge letu Tukufu, ni Bunge Kibri, na Bunge Jeuri?, Linawezaje Kutunga Tena Sheria Batili Iliyoshabatilishwa na Mahakama Kuu ya Tanzania?!. Likaamriwa na Mahakama ya Rufaa, tena chini ya Jaji Mkuu mwenyewe, akisaidiwa na Majaji Rufani 6, jumla Majaji Rufani 7 (Full Bench), Bunge Limeamriwa Kuuondoa Ubatili Huo!, Bunge hili kibri na jeuri, limegoma mpaka leo!, Naomba Tujadili Bunge letu hili Tukufu, Linapata Wapi Kiburi Hiki na Jeuri Hii ya Kuidharau Mahakama?!.

Tanzania tumerithi mfumo wa uendeshaji wa nchi, kupitia mfumo wa mihimili mitatu rasmi ya Serikali, Bunge na Mahakama kutoka kwa wakoloni Waingereza.

Kila mhimili una kazi yake, Bunge kazi yake ni kutunga sheria na kuisimamia serikali, Mahakama kazi yake ni kutafasiri sheria zilizotungwa na Bunge, na utoaji haki ndani ya Jamhuri ya Muungano, Serikali kazi yake ni kutekeleza sheria kwa kutekeleza huku za mahakama na maelekezo ya Bunge.

Kinadharia, mihimili hii yote mitatu, inapaswa kuwa sawa (equal), na kila mhimili una nguvu zake na mamlaka yake, (powers) ambazo hazipaswi kuingiliana, (separation of powers), na kila mhimili, uhuru wake, (independence) ambao haupaswi kuingiliwa na mihimili mingine, na mihimili yote mitatu inapaswa kufanya kazi kwa kuheshimiana.

Kwa vile vyombo hivi vyote vitatu, vinaongozwa na watu, binadamu, na binadamu sio wakamilifu, vyombo hivi vyote vitatu, vikapewa jukumu la kila kimoja kuwa kiranja wa mwingine, kupitia kanuni inayoitwa “the doctrine of separation of powers, checks and balances”, mtanisamehe majina ya baadhi ya kanuni hizi ni majina ya kizungu, sijui Kiswahili chake.

Kanuni hiyo ya ukiranja, unaipa hii mihimili, mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine, pale unapokiuka mamlaka yake. Mhimili wa Serikali umepewa mamlaka ya udhibiti wa kuuingilia mhimili wa Bunge na Mhimili wa Mahakama usivuke mipaka ya mamlaka yake. Mhimili wa Bunge umepewa mamlaka ya kuudhibiti mhimili wa Mahakama na Mhimili wa serikali usikiuke mamlaka yake, na Mhimili wa Mahakama umepewa mamlaka ya kulidhibiti Bunge na kuidhibiti serikali, inapokiuka mamlaka yake.

Wakuu wa mihimili hii yote mitatu, wakienda kinyume cha majukumu yao, wanaadhibika kwa kuondoshwa madarakani, Ibara ya 46A, Bunge linaweza kumuadhibu rais anapofanya makosa kwa kumuondoa Mkuu wa Mhimili wa Serikali madarakani, Bunge pia kupitia ibara ya 53A, linaweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu na waziri Mkuu akaondolewa madarakani, Bunge pia linaweza kumuondoa Spika madarakani kupitia Ibara ya 87 ya Katiba ya JMT, ya mwaka 1977. Na Mkuu wa Mhimili wa Mahakama, Jaji Mkuu, akifanya makosa, anaweza kuadhibiwa kwa kuondolewa madarakani kwa mujibu wa Ibara ya 110 ya Katiba. Hivyo wakuu wote wa mihimili wasipotimiza wajibu wao, wanaweza kuadhibiwa, kuwajibishwa na kuondolewa madarakani.

Serikali inapofanya makosa ya ukiukaji wa haki za wananchi, inaweza kushitakiwa mahakamani, lakini sio kwa serikali kuwajibishwa, bali kwa serikali kuamriwa na mahakama kutenda haki kwa lazima kupitia amri 6 za kimahakama za certiorari, mandamus, prohibition, (zuio), harbea corpus, quo warranto na procedendo, mtanisamehe amri hizi nyingine zote hazina majina ya Kiswahili wala Kiingereza, bali ni Kilatini.

Lakini Bunge lisipotenda haki, na mahakama isipotenda haki, kwa mujibu wa katiba yetu, bado hakuna utaratibu wowote wa kuishitaki mahakamani popote au kulishitaki Bunge popote!, na ndio maana Bunge letu limekuwa linatunga sheria batili na mahakama inaishia tuu kuzibatilisha, bila Bunge kuwajibishwa!, na sasa Bunge hili, chini ya mwanasheria, nguli, mbobezi na mbobevu, mwalimu wa sheria wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, Dr. Tulia Akson, limetitungia tena sheria batili, ambayo ina kipengele batili kinyume cha katiba ambacho kimeisha batilishwa na Mahakama Kuu, Bunge hili linapata wapi kiburi hiki na jeuri hii ya kututungia tena sheria batili?.

Mfano mzuri ni hii Sheria yetu mpya ya Uchaguzi, ni sheria batili!, muswada ulipotoka tuu, tukasema

Hadi Mama tukamweleza Ombi kwa Rais Samia: Sheria Mpya ya Uchaguzi Bado ina Ubatili. Haki ya Kuchagua na Kuchaguliwa imeporwa! Irejeshwe kwa Mujibu wa Katiba!

ina kipengele batili cha kulazimisha wagombea kudhaminiwa na chama cha siasa, Mchungaji Mtikila akafungua Kesi No. 5 ya mwaka 1993 kupinga sheria hiyo, Mahakama Kuu ya Tanzania ikatoa huku kutangaza kipengele hicho ni batili.

Serikali yetu ya wakati huo, ilikata rufaa kupinga uamuzi huo wa Mahakama Kuu kuibatilisha sheria hiyo!. Sheria ikiishatamkwa na mahakama kuwa ni batili kwa kwenda kinyume cha Katiba, ubatili huo unapaswa kubatilika pale pale baada ya tamko la hukumu ya mahakama, kwasababu anayebatilisha sheria batili kwa kwenda kinyume cha katiba, sio mahakama, ni katiba yenyewe!.

Kisha serikali ikapeleka Bungeni kwa hati ya dharura, Sheria No. 34 ya mwaka 1994 na kufanya mabadiliko ya 8 ya katiba ya JMT ya mwaka 1977 kuliomba Bunge, likichomekee kipengele hicho batili ndani ya katiba yetu, na kweli Bunge letu tukufu likauchomekea ubatili huo ndani ya katiba yetu!.

Mchungaji Mtikila (Mungu amuweke mahala pema peponi), hakukubali katiba yetu inajisiwe, akafungua shauri jingine No. 10 la mwaka 1999 kupinga mabadiliko hayo ya 8 ya katiba, na Mahakama Kuu ikampa ushindi na kutamka mabadiliko hayo ya katiba, kuchomekea kipengele batili kilicho kinyume cha katiba, ni batili.

Serikali ikakata rufaa kupinga uamuzi huo, na Mahakama ya Rufani, ikatoa uamuzi kwa kusema “The Court is not the custodian of the will of the people”, ukimaanisha Mahakama sio mlinzi wa katiba ya wananchi!. Mahakama ya Rufani, ikalirudisha jambo hilo kwa Bunge lenyewe ndio lirekebishe!, na matokeo yake mpaka hivi sasa ninapoandika andika makala hii, sheria batili hiyo imetungwa tena, kipengele hicho batili bado kinatumika kuwanyima Watanzania haki ya kuwachagua viongozi wanaowataka, kwa kuwalazimisha Watanzania kuwachagua viongozi waliopitishwa na vyama vya siasa. Pia kunawanyima haki Watanzania kugombea uongozi kwa kuwalazimisha lazima kwanza wajiunge na chama cha siasa!.

Kwa vile hakumu ya Mahakama ya Rufaa, ililiamuru Bunge, kuuondoa ubatili huo, swali la kujiuliza ni kwanini Bunge halijatekeleza huku hii ya mahakama?!. Bunge linapata wapi jeuri ya kutotekeleza hukumu halali ya Mahakama Rufaa?!. Jibu ni moja tuu, Bunge halijatekeleza huku hii ya Mahakama ya Rufaa, kwa sababu fulani ambayo naomba nisiirudie kuisema, nikaliponza bure gazeti hili kuanza kuitana Dodoma.

Naliomba Bunge letu tukufu, chini ya Spika, mwalimu wangu wa kwanza wa kipindi changu cha kwanza somo la sheria, chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, Dr. Tulia Akson Mwansasu, awatendee haki Watanzania, kwa kutekeleza amri hii ya mahakama na kutuondolea ubatili huu ndani ya katiba yetu, ndani ya sheria zetu.
Mungu Mbariki Dr. Tulia Aweze

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Hamna bunge nyie

Ova
 
Wanabodi,
Hii ni Makala Yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo.

View attachment 3288093
Angalizo:
Hii Mada ni Swali na Alama ya Kuuliza iko wazi na sio Statement!.
Nimeanza hivyo kwasababu mimi mwenzenu niliwahi kuitwa Bungeni Dodoma kwa kutuhumiwa kulidharau Bunge, kufika kule kule Mbunge aliyenishitaki kwa Spika, hakuiona alama ya kuuliza, Spika hakuiona alama ya kuuliza!, Kamati ya Bunge ilipoiona ile alama, kesi iliishia hapo!.

Hivyo ninapohoji jambo lolote kuhusu mihimili, nakumbushia kabisa kuhusu alama ya kuuliza, ili tusije tena tukaanza kuitana Dodoma!.

Swali ni hili...
Je hili Bunge letu Tukufu, ni Bunge Kibri, na Bunge Jeuri?, Linawezaje Kutunga Tena Sheria Batili Iliyoshabatilishwa na Mahakama Kuu ya Tanzania?!. Likaamriwa na Mahakama ya Rufaa, tena chini ya Jaji Mkuu mwenyewe, akisaidiwa na Majaji Rufani 6, jumla Majaji Rufani 7 (Full Bench), Bunge Limeamriwa Kuuondoa Ubatili Huo!, Bunge hili kibri na jeuri, limegoma mpaka leo!, Naomba Tujadili Bunge letu hili Tukufu, Linapata Wapi Kiburi Hiki na Jeuri Hii ya Kuidharau Mahakama?!.

Tanzania tumerithi mfumo wa uendeshaji wa nchi, kupitia mfumo wa mihimili mitatu rasmi ya Serikali, Bunge na Mahakama kutoka kwa wakoloni Waingereza.

Kila mhimili una kazi yake, Bunge kazi yake ni kutunga sheria na kuisimamia serikali, Mahakama kazi yake ni kutafasiri sheria zilizotungwa na Bunge, na utoaji haki ndani ya Jamhuri ya Muungano, Serikali kazi yake ni kutekeleza sheria kwa kutekeleza huku za mahakama na maelekezo ya Bunge.

Kinadharia, mihimili hii yote mitatu, inapaswa kuwa sawa (equal), na kila mhimili una nguvu zake na mamlaka yake, (powers) ambazo hazipaswi kuingiliana, (separation of powers), na kila mhimili, uhuru wake, (independence) ambao haupaswi kuingiliwa na mihimili mingine, na mihimili yote mitatu inapaswa kufanya kazi kwa kuheshimiana.

Kwa vile vyombo hivi vyote vitatu, vinaongozwa na watu, binadamu, na binadamu sio wakamilifu, vyombo hivi vyote vitatu, vikapewa jukumu la kila kimoja kuwa kiranja wa mwingine, kupitia kanuni inayoitwa “the doctrine of separation of powers, checks and balances”, mtanisamehe majina ya baadhi ya kanuni hizi ni majina ya kizungu, sijui Kiswahili chake.

Kanuni hiyo ya ukiranja, unaipa hii mihimili, mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine, pale unapokiuka mamlaka yake. Mhimili wa Serikali umepewa mamlaka ya udhibiti wa kuuingilia mhimili wa Bunge na Mhimili wa Mahakama usivuke mipaka ya mamlaka yake. Mhimili wa Bunge umepewa mamlaka ya kuudhibiti mhimili wa Mahakama na Mhimili wa serikali usikiuke mamlaka yake, na Mhimili wa Mahakama umepewa mamlaka ya kulidhibiti Bunge na kuidhibiti serikali, inapokiuka mamlaka yake.

Wakuu wa mihimili hii yote mitatu, wakienda kinyume cha majukumu yao, wanaadhibika kwa kuondoshwa madarakani, Ibara ya 46A, Bunge linaweza kumuadhibu rais anapofanya makosa kwa kumuondoa Mkuu wa Mhimili wa Serikali madarakani, Bunge pia kupitia ibara ya 53A, linaweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu na waziri Mkuu akaondolewa madarakani, Bunge pia linaweza kumuondoa Spika madarakani kupitia Ibara ya 87 ya Katiba ya JMT, ya mwaka 1977. Na Mkuu wa Mhimili wa Mahakama, Jaji Mkuu, akifanya makosa, anaweza kuadhibiwa kwa kuondolewa madarakani kwa mujibu wa Ibara ya 110 ya Katiba. Hivyo wakuu wote wa mihimili wasipotimiza wajibu wao, wanaweza kuadhibiwa, kuwajibishwa na kuondolewa madarakani.

Serikali inapofanya makosa ya ukiukaji wa haki za wananchi, inaweza kushitakiwa mahakamani, lakini sio kwa serikali kuwajibishwa, bali kwa serikali kuamriwa na mahakama kutenda haki kwa lazima kupitia amri 6 za kimahakama za certiorari, mandamus, prohibition, (zuio), harbea corpus, quo warranto na procedendo, mtanisamehe amri hizi nyingine zote hazina majina ya Kiswahili wala Kiingereza, bali ni Kilatini.

Lakini Bunge lisipotenda haki, na mahakama isipotenda haki, kwa mujibu wa katiba yetu, bado hakuna utaratibu wowote wa kuishitaki mahakamani popote au kulishitaki Bunge popote!, na ndio maana Bunge letu limekuwa linatunga sheria batili na mahakama inaishia tuu kuzibatilisha, bila Bunge kuwajibishwa!, na sasa Bunge hili, chini ya mwanasheria, nguli, mbobezi na mbobevu, mwalimu wa sheria wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, Dr. Tulia Akson, limetitungia tena sheria batili, ambayo ina kipengele batili kinyume cha katiba ambacho kimeisha batilishwa na Mahakama Kuu, Bunge hili linapata wapi kiburi hiki na jeuri hii ya kututungia tena sheria batili?.

Mfano mzuri ni hii Sheria yetu mpya ya Uchaguzi, ni sheria batili!, muswada ulipotoka tuu, tukasema

Hadi Mama tukamweleza Ombi kwa Rais Samia: Sheria Mpya ya Uchaguzi Bado ina Ubatili. Haki ya Kuchagua na Kuchaguliwa imeporwa! Irejeshwe kwa Mujibu wa Katiba!

ina kipengele batili cha kulazimisha wagombea kudhaminiwa na chama cha siasa, Mchungaji Mtikila akafungua Kesi No. 5 ya mwaka 1993 kupinga sheria hiyo, Mahakama Kuu ya Tanzania ikatoa huku kutangaza kipengele hicho ni batili.

Serikali yetu ya wakati huo, ilikata rufaa kupinga uamuzi huo wa Mahakama Kuu kuibatilisha sheria hiyo!. Sheria ikiishatamkwa na mahakama kuwa ni batili kwa kwenda kinyume cha Katiba, ubatili huo unapaswa kubatilika pale pale baada ya tamko la hukumu ya mahakama, kwasababu anayebatilisha sheria batili kwa kwenda kinyume cha katiba, sio mahakama, ni katiba yenyewe!.

Kisha serikali ikapeleka Bungeni kwa hati ya dharura, Sheria No. 34 ya mwaka 1994 na kufanya mabadiliko ya 8 ya katiba ya JMT ya mwaka 1977 kuliomba Bunge, likichomekee kipengele hicho batili ndani ya katiba yetu, na kweli Bunge letu tukufu likauchomekea ubatili huo ndani ya katiba yetu!.

Mchungaji Mtikila (Mungu amuweke mahala pema peponi), hakukubali katiba yetu inajisiwe, akafungua shauri jingine No. 10 la mwaka 1999 kupinga mabadiliko hayo ya 8 ya katiba, na Mahakama Kuu ikampa ushindi na kutamka mabadiliko hayo ya katiba, kuchomekea kipengele batili kilicho kinyume cha katiba, ni batili.

Serikali ikakata rufaa kupinga uamuzi huo, na Mahakama ya Rufani, ikatoa uamuzi kwa kusema “The Court is not the custodian of the will of the people”, ukimaanisha Mahakama sio mlinzi wa katiba ya wananchi!. Mahakama ya Rufani, ikalirudisha jambo hilo kwa Bunge lenyewe ndio lirekebishe!, na matokeo yake mpaka hivi sasa ninapoandika andika makala hii, sheria batili hiyo imetungwa tena, kipengele hicho batili bado kinatumika kuwanyima Watanzania haki ya kuwachagua viongozi wanaowataka, kwa kuwalazimisha Watanzania kuwachagua viongozi waliopitishwa na vyama vya siasa. Pia kunawanyima haki Watanzania kugombea uongozi kwa kuwalazimisha lazima kwanza wajiunge na chama cha siasa!.

Kwa vile hakumu ya Mahakama ya Rufaa, ililiamuru Bunge, kuuondoa ubatili huo, swali la kujiuliza ni kwanini Bunge halijatekeleza huku hii ya mahakama?!. Bunge linapata wapi jeuri ya kutotekeleza hukumu halali ya Mahakama Rufaa?!. Jibu ni moja tuu, Bunge halijatekeleza huku hii ya Mahakama ya Rufaa, kwa sababu fulani ambayo naomba nisiirudie kuisema, nikaliponza bure gazeti hili kuanza kuitana Dodoma.

Naliomba Bunge letu tukufu, chini ya Spika, mwalimu wangu wa kwanza wa kipindi changu cha kwanza somo la sheria, chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, Dr. Tulia Akson Mwansasu, awatendee haki Watanzania, kwa kutekeleza amri hii ya mahakama na kutuondolea ubatili huu ndani ya katiba yetu, ndani ya sheria zetu.
Mungu Mbariki Dr. Tulia Aweze

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Mkuu ina maana hujui tumefikaje huku mihimili kutokuheshimiana, na muhimili wa serekali ndio kuamua tu bila kuwajibishwa kokote? Au umeamua kuleta hili bandiko lako kubalance zile shobo zako tukuone uko neutral?
 
Wanabodi,
Hii ni Makala Yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo.

View attachment 3288093
Angalizo:
Hii Mada ni Swali na Alama ya Kuuliza iko wazi na sio Statement!.
Nimeanza hivyo kwasababu mimi mwenzenu niliwahi kuitwa Bungeni Dodoma kwa kutuhumiwa kulidharau Bunge, kufika kule kule Mbunge aliyenishitaki kwa Spika, hakuiona alama ya kuuliza, Spika hakuiona alama ya kuuliza!, Kamati ya Bunge ilipoiona ile alama, kesi iliishia hapo!.

Hivyo ninapohoji jambo lolote kuhusu mihimili, nakumbushia kabisa kuhusu alama ya kuuliza, ili tusije tena tukaanza kuitana Dodoma!.

Swali ni hili...
Je hili Bunge letu Tukufu, ni Bunge Kibri, na Bunge Jeuri?, Linawezaje Kutunga Tena Sheria Batili Iliyoshabatilishwa na Mahakama Kuu ya Tanzania?!. Likaamriwa na Mahakama ya Rufaa, tena chini ya Jaji Mkuu mwenyewe, akisaidiwa na Majaji Rufani 6, jumla Majaji Rufani 7 (Full Bench), Bunge Limeamriwa Kuuondoa Ubatili Huo!, Bunge hili kibri na jeuri, limegoma mpaka leo!, Naomba Tujadili Bunge letu hili Tukufu, Linapata Wapi Kiburi Hiki na Jeuri Hii ya Kuidharau Mahakama?!.

Tanzania tumerithi mfumo wa uendeshaji wa nchi, kupitia mfumo wa mihimili mitatu rasmi ya Serikali, Bunge na Mahakama kutoka kwa wakoloni Waingereza.

Kila mhimili una kazi yake, Bunge kazi yake ni kutunga sheria na kuisimamia serikali, Mahakama kazi yake ni kutafasiri sheria zilizotungwa na Bunge, na utoaji haki ndani ya Jamhuri ya Muungano, Serikali kazi yake ni kutekeleza sheria kwa kutekeleza huku za mahakama na maelekezo ya Bunge.

Kinadharia, mihimili hii yote mitatu, inapaswa kuwa sawa (equal), na kila mhimili una nguvu zake na mamlaka yake, (powers) ambazo hazipaswi kuingiliana, (separation of powers), na kila mhimili, uhuru wake, (independence) ambao haupaswi kuingiliwa na mihimili mingine, na mihimili yote mitatu inapaswa kufanya kazi kwa kuheshimiana.

Kwa vile vyombo hivi vyote vitatu, vinaongozwa na watu, binadamu, na binadamu sio wakamilifu, vyombo hivi vyote vitatu, vikapewa jukumu la kila kimoja kuwa kiranja wa mwingine, kupitia kanuni inayoitwa “the doctrine of separation of powers, checks and balances”, mtanisamehe majina ya baadhi ya kanuni hizi ni majina ya kizungu, sijui Kiswahili chake.

Kanuni hiyo ya ukiranja, unaipa hii mihimili, mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine, pale unapokiuka mamlaka yake. Mhimili wa Serikali umepewa mamlaka ya udhibiti wa kuuingilia mhimili wa Bunge na Mhimili wa Mahakama usivuke mipaka ya mamlaka yake. Mhimili wa Bunge umepewa mamlaka ya kuudhibiti mhimili wa Mahakama na Mhimili wa serikali usikiuke mamlaka yake, na Mhimili wa Mahakama umepewa mamlaka ya kulidhibiti Bunge na kuidhibiti serikali, inapokiuka mamlaka yake.

Wakuu wa mihimili hii yote mitatu, wakienda kinyume cha majukumu yao, wanaadhibika kwa kuondoshwa madarakani, Ibara ya 46A, Bunge linaweza kumuadhibu rais anapofanya makosa kwa kumuondoa Mkuu wa Mhimili wa Serikali madarakani, Bunge pia kupitia ibara ya 53A, linaweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu na waziri Mkuu akaondolewa madarakani, Bunge pia linaweza kumuondoa Spika madarakani kupitia Ibara ya 87 ya Katiba ya JMT, ya mwaka 1977. Na Mkuu wa Mhimili wa Mahakama, Jaji Mkuu, akifanya makosa, anaweza kuadhibiwa kwa kuondolewa madarakani kwa mujibu wa Ibara ya 110 ya Katiba. Hivyo wakuu wote wa mihimili wasipotimiza wajibu wao, wanaweza kuadhibiwa, kuwajibishwa na kuondolewa madarakani.

Serikali inapofanya makosa ya ukiukaji wa haki za wananchi, inaweza kushitakiwa mahakamani, lakini sio kwa serikali kuwajibishwa, bali kwa serikali kuamriwa na mahakama kutenda haki kwa lazima kupitia amri 6 za kimahakama za certiorari, mandamus, prohibition, (zuio), harbea corpus, quo warranto na procedendo, mtanisamehe amri hizi nyingine zote hazina majina ya Kiswahili wala Kiingereza, bali ni Kilatini.

Lakini Bunge lisipotenda haki, na mahakama isipotenda haki, kwa mujibu wa katiba yetu, bado hakuna utaratibu wowote wa kuishitaki mahakamani popote au kulishitaki Bunge popote!, na ndio maana Bunge letu limekuwa linatunga sheria batili na mahakama inaishia tuu kuzibatilisha, bila Bunge kuwajibishwa!, na sasa Bunge hili, chini ya mwanasheria, nguli, mbobezi na mbobevu, mwalimu wa sheria wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, Dr. Tulia Akson, limetitungia tena sheria batili, ambayo ina kipengele batili kinyume cha katiba ambacho kimeisha batilishwa na Mahakama Kuu, Bunge hili linapata wapi kiburi hiki na jeuri hii ya kututungia tena sheria batili?.

Mfano mzuri ni hii Sheria yetu mpya ya Uchaguzi, ni sheria batili!, muswada ulipotoka tuu, tukasema

Hadi Mama tukamweleza Ombi kwa Rais Samia: Sheria Mpya ya Uchaguzi Bado ina Ubatili. Haki ya Kuchagua na Kuchaguliwa imeporwa! Irejeshwe kwa Mujibu wa Katiba!

Ubatili wa sheria hii, sio ubatili mwingine wowote, zaidi ya ubatili ule ule ninaoupigia kelele humu jukwaani kila uchao, wa serikali yetu kutunga muswada wenye vipengele batili vinavyokwenda kinyume cha katiba ya JMT na Bunge letu Tukufu kuupokea huo muswada batili na ubatili wake na waheshimiwa wabunge wetu makini wakiwemo wanasheria manguli wabobezi na wabebovu kujadili na mwisho kutunga sheria nyingine batili kama mazuzu!
Ubatili huu nimeuzungumza sana humu

Kwa vile Mkuu wa nchi ni rais wa nchi, na mkubwa ni jalala, hivyo likitokea tatizo lolote, analaumiwa mkuu wa nchi, na madudu yote hayo yalitokea kabla Rais Samia hajaingia madarakani, hivyo nimemjengea indemnity Rais Samia asilaumiwe kwa madudu haya Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Kwa maoni yangu, dhulma kuu ya kwanza na ya msingi ni haki ya kupiga kura na haki ya kupigiwa kura, haki hii ilyotolewa na katiba ya JMT ya mwaka 1977, ikaja kuporwa kwa sheria batili ya uchaguzi, Sheria ya Taifa ya Uchaguzi Sura ya 343 ya mwaka 1985 na Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa Sura ya 292 ya Mwaka 1979.

Mchungaji Mtikila akapinga sheria hiyo mahakani, baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kukibatilisha kifungu hicho batili, kwa kwenda kinyume cha katiba, serikali yetu ikafanya jambo moja kubwa la ajabu sana, au kitu cha ajabu sana!, ikapeleka bungeni muswada wa mabadiliko ya katiba kwa hati ya dharura, ikakichomekea kipengele batili ndani ya katiba ya JMT ya mwaka 1977, hivyo ubatili huo ukachomekewa ndani ya katiba!. Kwanini tutunge sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ule ule?. Kwanini tutunge sheria mpya yenye dhulma ile ile ya haki kwa Watanzania?!.

Rais Samia baada ya kuingia madarakani, tumemlilia sana kuhusu ubatili huu


Serikali ikakata rufaa kupinga uamuzi huo, na Mahakama ya Rufani, ikatoa uamuzi kwa kusema “The Court is not the custodian of the will of the people”, ukimaanisha Mahakama sio mlinzi wa katiba ya wananchi!. Mahakama ya Rufani, ikalirudisha jambo hilo kwa Bunge lenyewe ndio lirekebishe!, na matokeo yake mpaka hivi sasa ninapoandika andika makala hii, sheria batili hiyo imetungwa tena, kipengele hicho batili bado kinatumika kuwanyima Watanzania haki ya kuwachagua viongozi wanaowataka, kwa kuwalazimisha Watanzania kuwachagua viongozi waliopitishwa na vyama vya siasa. Pia kunawanyima haki Watanzania kugombea uongozi kwa kuwalazimisha lazima kwanza wajiunge na chama cha siasa!.

Kwa vile hakumu ya Mahakama ya Rufaa, ililiamuru Bunge, kuuondoa ubatili huo, swali la kujiuliza ni kwanini Bunge halijatekeleza huku hii ya mahakama?!. Bunge linapata wapi jeuri ya kutotekeleza hukumu halali ya Mahakama Rufaa?!. Jibu ni moja tuu, Bunge halijatekeleza hukumu hii ya Mahakama ya Rufaa, kwa sababu fulani ambayo niliwahi kuitaja, naomba nisiirudie kuisema, nikaliponza bure gazeti hili kuanza kuitana Dodoma.

Naliomba Bunge letu tukufu, chini ya Spika, mwalimu wangu wa kwanza wa kipindi changu cha kwanza somo la sheria, chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, Dr. Tulia Akson Mwansasu, awatendee haki Watanzania, kwa kutekeleza amri hii ya mahakama na kutuondolea ubatili huu ndani ya katiba yetu, ndani ya sheria zetu.
Mungu Mbariki Dr. Tulia Aweze

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Unauma sasa. Baadaye unapuliza. Ndumilakuwili katika ubora wako.
 
Wanabodi,
Hii ni Makala Yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo.

View attachment 3288093
Angalizo:
Hii Mada ni Swali na Alama ya Kuuliza iko wazi na sio Statement!.
Nimeanza hivyo kwasababu mimi mwenzenu niliwahi kuitwa Bungeni Dodoma kwa kutuhumiwa kulidharau Bunge, kufika kule kule Mbunge aliyenishitaki kwa Spika, hakuiona alama ya kuuliza, Spika hakuiona alama ya kuuliza!, Kamati ya Bunge ilipoiona ile alama, kesi iliishia hapo!.

Hivyo ninapohoji jambo lolote kuhusu mihimili, nakumbushia kabisa kuhusu alama ya kuuliza, ili tusije tena tukaanza kuitana Dodoma!.

Swali ni hili...
Je hili Bunge letu Tukufu, ni Bunge Kibri, na Bunge Jeuri?, Linawezaje Kutunga Tena Sheria Batili Iliyoshabatilishwa na Mahakama Kuu ya Tanzania?!. Likaamriwa na Mahakama ya Rufaa, tena chini ya Jaji Mkuu mwenyewe, akisaidiwa na Majaji Rufani 6, jumla Majaji Rufani 7 (Full Bench), Bunge Limeamriwa Kuuondoa Ubatili Huo!, Bunge hili kibri na jeuri, limegoma mpaka leo!, Naomba Tujadili Bunge letu hili Tukufu, Linapata Wapi Kiburi Hiki na Jeuri Hii ya Kuidharau Mahakama?!.

Tanzania tumerithi mfumo wa uendeshaji wa nchi, kupitia mfumo wa mihimili mitatu rasmi ya Serikali, Bunge na Mahakama kutoka kwa wakoloni Waingereza.

Kila mhimili una kazi yake, Bunge kazi yake ni kutunga sheria na kuisimamia serikali, Mahakama kazi yake ni kutafasiri sheria zilizotungwa na Bunge, na utoaji haki ndani ya Jamhuri ya Muungano, Serikali kazi yake ni kutekeleza sheria kwa kutekeleza huku za mahakama na maelekezo ya Bunge.

Kinadharia, mihimili hii yote mitatu, inapaswa kuwa sawa (equal), na kila mhimili una nguvu zake na mamlaka yake, (powers) ambazo hazipaswi kuingiliana, (separation of powers), na kila mhimili, uhuru wake, (independence) ambao haupaswi kuingiliwa na mihimili mingine, na mihimili yote mitatu inapaswa kufanya kazi kwa kuheshimiana.

Kwa vile vyombo hivi vyote vitatu, vinaongozwa na watu, binadamu, na binadamu sio wakamilifu, vyombo hivi vyote vitatu, vikapewa jukumu la kila kimoja kuwa kiranja wa mwingine, kupitia kanuni inayoitwa “the doctrine of separation of powers, checks and balances”, mtanisamehe majina ya baadhi ya kanuni hizi ni majina ya kizungu, sijui Kiswahili chake.

Kanuni hiyo ya ukiranja, unaipa hii mihimili, mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine, pale unapokiuka mamlaka yake. Mhimili wa Serikali umepewa mamlaka ya udhibiti wa kuuingilia mhimili wa Bunge na Mhimili wa Mahakama usivuke mipaka ya mamlaka yake. Mhimili wa Bunge umepewa mamlaka ya kuudhibiti mhimili wa Mahakama na Mhimili wa serikali usikiuke mamlaka yake, na Mhimili wa Mahakama umepewa mamlaka ya kulidhibiti Bunge na kuidhibiti serikali, inapokiuka mamlaka yake.

Wakuu wa mihimili hii yote mitatu, wakienda kinyume cha majukumu yao, wanaadhibika kwa kuondoshwa madarakani, Ibara ya 46A, Bunge linaweza kumuadhibu rais anapofanya makosa kwa kumuondoa Mkuu wa Mhimili wa Serikali madarakani, Bunge pia kupitia ibara ya 53A, linaweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu na waziri Mkuu akaondolewa madarakani, Bunge pia linaweza kumuondoa Spika madarakani kupitia Ibara ya 87 ya Katiba ya JMT, ya mwaka 1977. Na Mkuu wa Mhimili wa Mahakama, Jaji Mkuu, akifanya makosa, anaweza kuadhibiwa kwa kuondolewa madarakani kwa mujibu wa Ibara ya 110 ya Katiba. Hivyo wakuu wote wa mihimili wasipotimiza wajibu wao, wanaweza kuadhibiwa, kuwajibishwa na kuondolewa madarakani.

Serikali inapofanya makosa ya ukiukaji wa haki za wananchi, inaweza kushitakiwa mahakamani, lakini sio kwa serikali kuwajibishwa, bali kwa serikali kuamriwa na mahakama kutenda haki kwa lazima kupitia amri 6 za kimahakama za certiorari, mandamus, prohibition, (zuio), harbea corpus, quo warranto na procedendo, mtanisamehe amri hizi nyingine zote hazina majina ya Kiswahili wa Kiingereza ni Kilatini.

Lakini Bunge lisipotenda haki, na mahakama isipotenda haki, kwa mujibu wa katiba yetu, bado hakuna utaratibu wowote wa kuishitaki mahakama popote au kulishitaki Bunge popote!, na ndio maana Bunge letu limekuwa linatunga sheria batili na mahakama kuzibatilisha tuu bila Bunge kuwajibishwa!.

Mfano mzuri ni hii Sheria yetu mpya ya Uchaguzi, una kipengele batili cha kulazimisha wagombea kudhaminiwa na chama cha siasa, Mchungaji Mtikila akafungua Kesi No. 5 ya mwaka 1993 kupinga sheria hiyo, Mahakama Kuu ya Tanzania ikatoa huku kutangaza kipengele hicho ni batili.

Serikali yetu ya wakati huo, ilikata rufaa kupinga uamuzi huo wa Mahakama Kuu kuibatilisha sheria hiyo!. Sheria ikiishatamkwa na mahakama kuwa ni batili kwa kwenda kinyume cha Katiba, ubatili huo unapaswa kubatilika pale pale baada ya tamko la hukumu ya mahakama, kwasababu anayebatilisha sheria batili kwa kwenda kinyume cha katiba, sio mahakama, ni katiba yenyewe!.

Kisha serikali ikapeleka Bungeni kwa hati ya dharura, Sheria No. 34 ya mwaka 1994 na kufanya mabadiliko ya 8 ya katiba ya JMT ya mwaka 1977 kuliomba Bunge, likichomekee kipengele hicho batili ndani ya katiba yetu, na kweli Bunge letu tukufu likauchomekea ubatili huo ndani ya katiba yetu!.

Mchungaji Mtikila (Mungu amuweke mahala pema peponi), hakukubali katiba yetu inajisiwe, akafungua shauri jingine No. 10 la mwaka 1999 kupinga mabadiliko hayo ya 8 ya katiba, na Mahakama Kuu ikampa ushindi na kutamka mabadiliko hayo ya katiba, kuchomekea kipengele batili kilicho kinyume cha katiba, ni batili.

Serikali ikakata rufaa kupinga uamuzi huo, na Mahakama ya Rufani, ikatoa uamuzi kwa kusema “The Court is not the custodian of the will of the people”, ukimaanisha Mahakama sio mlinzi wa katiba ya wananchi!. Mahakama ya Rufani, ikalirudisha jambo hilo kwa Bunge lenyewe ndio lirekebishe!, na matokeo yake mpaka hivi sasa ninapoandika andika makala hii, sheria batili hiyo imetungwa tena, kipengele hicho batili bado kinatumika kuwanyima Watanzania haki ya kuwachagua viongozi wanaowataka, kwa kuwalazimisha Watanzania kuwachagua viongozi waliopitishwa na vyama vya siasa. Pia kunawanyima haki Watanzania kugombea uongozi kwa kuwalazimisha lazima kwanza wajiunge na chama cha siasa!.

Kwa vile hakumu ya Mahakama ya Rufaa, ililiamuru Bunge, kuuondoa ubatili huo, swali la kujiuliza ni kwanini Bunge halijatekeleza huku hii ya mahakama?!. Bunge linapata wapi jeuri ya kutotekeleza hukumu halali ya Mahakama Rufaa?!. Jibu ni moja tuu, Bunge halijatekeleza huku hii ya Mahakama ya Rufaa, kwa sababu fulani ambayo naomba nisiirudie kuisema, nikaliponza bure gazeti hili kuanza kuitana Dodoma.

Naliomba Bunge letu tukufu, chini ya Spika, mwalimu wangu wa kwanza wa kipindi changu cha kwanza somo la sheria, chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, Dr. Tulia Akson Mwansasu, awatendee haki Watanzania, kwa kutekeleza amri hii ya mahakama na kutuondolea ubatili huu ndani ya katiba yetu, ndani ya sheria zetu.
Mungu Mbariki Dr. Tulia Aweze

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Mkuu Mayala,
Mara kadhaa umeongelea hili suala na mengine yanayofanana na hili...yaani kuhusu bunge kutochukua hatua za UWAJIBIKAJI pale linapohitajika lifanye hivyo kwa nafasi yake kikatiba.

Kimsingi uzito huo wa kuchukua hatua kwa bunge lunatokana na sababu moja tu ,ambayo ni PYRAMID MODE OF LEADERSHIP ya Tanzania.
Muundo huu wa kiutawala wa Pyramid hautoi nafasi kwa madaraka kuwa decentralized kwa mihimili mingine ya kiutawala hata kama katiba inataja hivyo kwa sababu kupitia muundo huu kila maamuzi huanzia juu kabisa na kushuka chini....,anachoamua rais hata kama kitatakiwa kithibitishwe na mihimili mingine kwanza, mwisho wa siku huwa hicho. Tumeona majuzi hapa bunge likipitisha kihuni masuala ya DP world kuwekeza bandarini ili kukamilisha hitaji la serikali. Na uliona pia mhimili wa mahakama ulivyojichekesha na kutoa maamuzi ya luhuni pia katika suala hilo la DP world.
Kiujumla,bunge limekuwa kama rubber stamp ya kupitisha masuala ya kihuni ya serikali badala yavkuwa mkosoaji wake namba moja.

Katiba mpya ni mwarobaini wa yote hayo katika mantiki ya kupunguza absolute power ya rais.

N.B. Nafikiri unafahamu kama siyo kulazimishwa na wahisani tusingemsikia mkaguzi mkuu wa serikali akitoa ripoti zake.....,kimsingi kila anayekuwepo juu kabisa ya ncha ya pyramid hamtaki CAG na ripoti zake.
 
Mada ina kitu kizito, nimepitia majibu yote mpaka hapa, alieipinga jibu lake hajakidhi vigezo. Eti jambo likataliwe kwa maslahi ya wengi! Wengi akina nani, katiba ivunjwe kwa maslahi ya wananchi. Hii kitu haiingi akilini. Kuna kitu kibaya kinafichwa kwa kutumia neno wananchi au maslahi ya wengi.
 
Mkuu Mayala,
Kiujumla, Bunge limekuwa kama rubber stamp ya kupitisha masuala ya kihuni ya serikali badala ya kuwa mkosoaji wake namba moja.
Hili la Bunge letu kuwa a rubber stamp niliwahi kulisema humu mara 4,
  1. Baadhi ya Wabunge ni Stupid!, Tanzania haina Demokrasia!, Bunge ni Rubber Stamp!- TBC, Watch Now!
  2. Bunge Letu Kibri na Jeuri ni Bunge Kweli la Kutunga Sheria au ni Bunge Ruber Stemp ya Serikali? Kwanini Linaogopwa Hivi na Mhimili wa Mahakama?
  3. Je, Bunge Litimize Wajibu Wake KikamiliIfu Ikiwemo Kutunga Sheria, Au Liendelee Kuwa "Rubber Stamp" ya Kupitishia Miswada ya Serikali Bila Kuhoji?
  4. na hapa nilishauri "IGA ya DPW imetusaidia sana kujitambua. Tuna wanasheria wa Aina Gani!, Bunge na Serikali yetu, Ilipitishaje IGA Hii?. Nilisema
Wanabodi,
  1. Bunge letu libadilike, liache kuwa ni Bunge rubber stamp la kupitisha tuu kitutusa kila kinacholetwa na serikali yetu mbele yake!. Sometimes serikali yetu inafanya madudu ! sasa Bunge linapoletewa madudu kama hili dubwana, au dubwasha na kulipitisha kitutusa, Bunge letu litakuwa na tofauti gani na Sultan Mangungo wa Msovero?.
  2. Bunge letu liache kuwa ni Bunge kibogoyo lisilo na meno!. Maadam sheria imelipa Bunge the power to review, then Bunge litimize wajibu wake kikamilifu!.
Paskali.
P
 
Wanabodi,
Hii ni Makala Yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo.

View attachment 3288093
Angalizo:
Hii Mada ni Swali na Alama ya Kuuliza iko wazi na sio Statement!.
Nimeanza hivyo kwasababu mimi mwenzenu niliwahi kuitwa Bungeni Dodoma kwa kutuhumiwa kulidharau Bunge, kufika kule kule Mbunge aliyenishitaki kwa Spika, hakuiona alama ya kuuliza, Spika hakuiona alama ya kuuliza!, Kamati ya Bunge ilipoiona ile alama, kesi iliishia hapo!.

Hivyo ninapohoji jambo lolote kuhusu mihimili, nakumbushia kabisa kuhusu alama ya kuuliza, ili tusije tena tukaanza kuitana Dodoma!.

Swali ni hili...
Je hili Bunge letu Tukufu, ni Bunge Kibri, na Bunge Jeuri?, Linawezaje Kutunga Tena Sheria Batili Iliyoshabatilishwa na Mahakama Kuu ya Tanzania?!. Likaamriwa na Mahakama ya Rufaa, tena chini ya Jaji Mkuu mwenyewe, akisaidiwa na Majaji Rufani 6, jumla Majaji Rufani 7 (Full Bench), Bunge Limeamriwa Kuuondoa Ubatili Huo!, Bunge hili kibri na jeuri, limegoma mpaka leo!, Naomba Tujadili Bunge letu hili Tukufu, Linapata Wapi Kiburi Hiki na Jeuri Hii ya Kuidharau Mahakama?!.

Tanzania tumerithi mfumo wa uendeshaji wa nchi, kupitia mfumo wa mihimili mitatu rasmi ya Serikali, Bunge na Mahakama kutoka kwa wakoloni Waingereza.

Kila mhimili una kazi yake, Bunge kazi yake ni kutunga sheria na kuisimamia serikali, Mahakama kazi yake ni kutafasiri sheria zilizotungwa na Bunge, na utoaji haki ndani ya Jamhuri ya Muungano, Serikali kazi yake ni kutekeleza sheria kwa kutekeleza huku za mahakama na maelekezo ya Bunge.

Kinadharia, mihimili hii yote mitatu, inapaswa kuwa sawa (equal), na kila mhimili una nguvu zake na mamlaka yake, (powers) ambazo hazipaswi kuingiliana, (separation of powers), na kila mhimili, uhuru wake, (independence) ambao haupaswi kuingiliwa na mihimili mingine, na mihimili yote mitatu inapaswa kufanya kazi kwa kuheshimiana.

Kwa vile vyombo hivi vyote vitatu, vinaongozwa na watu, binadamu, na binadamu sio wakamilifu, vyombo hivi vyote vitatu, vikapewa jukumu la kila kimoja kuwa kiranja wa mwingine, kupitia kanuni inayoitwa “the doctrine of separation of powers, checks and balances”, mtanisamehe majina ya baadhi ya kanuni hizi ni majina ya kizungu, sijui Kiswahili chake.

Kanuni hiyo ya ukiranja, unaipa hii mihimili, mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine, pale unapokiuka mamlaka yake. Mhimili wa Serikali umepewa mamlaka ya udhibiti wa kuuingilia mhimili wa Bunge na Mhimili wa Mahakama usivuke mipaka ya mamlaka yake. Mhimili wa Bunge umepewa mamlaka ya kuudhibiti mhimili wa Mahakama na Mhimili wa serikali usikiuke mamlaka yake, na Mhimili wa Mahakama umepewa mamlaka ya kulidhibiti Bunge na kuidhibiti serikali, inapokiuka mamlaka yake.

Wakuu wa mihimili hii yote mitatu, wakienda kinyume cha majukumu yao, wanaadhibika kwa kuondoshwa madarakani, Ibara ya 46A, Bunge linaweza kumuadhibu rais anapofanya makosa kwa kumuondoa Mkuu wa Mhimili wa Serikali madarakani, Bunge pia kupitia ibara ya 53A, linaweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu na waziri Mkuu akaondolewa madarakani, Bunge pia linaweza kumuondoa Spika madarakani kupitia Ibara ya 87 ya Katiba ya JMT, ya mwaka 1977. Na Mkuu wa Mhimili wa Mahakama, Jaji Mkuu, akifanya makosa, anaweza kuadhibiwa kwa kuondolewa madarakani kwa mujibu wa Ibara ya 110 ya Katiba. Hivyo wakuu wote wa mihimili wasipotimiza wajibu wao, wanaweza kuadhibiwa, kuwajibishwa na kuondolewa madarakani.

Serikali inapofanya makosa ya ukiukaji wa haki za wananchi, inaweza kushitakiwa mahakamani, lakini sio kwa serikali kuwajibishwa, bali kwa serikali kuamriwa na mahakama kutenda haki kwa lazima kupitia amri 6 za kimahakama za certiorari, mandamus, prohibition, (zuio), harbea corpus, quo warranto na procedendo, mtanisamehe amri hizi nyingine zote hazina majina ya Kiswahili wala Kiingereza, bali ni Kilatini.

Lakini Bunge lisipotenda haki, na mahakama isipotenda haki, kwa mujibu wa katiba yetu, bado hakuna utaratibu wowote wa kuishitaki mahakamani popote au kulishitaki Bunge popote!, na ndio maana Bunge letu limekuwa linatunga sheria batili na mahakama inaishia tuu kuzibatilisha, bila Bunge kuwajibishwa!, na sasa Bunge hili, chini ya mwanasheria, nguli, mbobezi na mbobevu, mwalimu wa sheria wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, Dr. Tulia Akson, limetitungia tena sheria batili, ambayo ina kipengele batili kinyume cha katiba ambacho kimeisha batilishwa na Mahakama Kuu, Bunge hili linapata wapi kiburi hiki na jeuri hii ya kututungia tena sheria batili?.

Mfano mzuri ni hii Sheria yetu mpya ya Uchaguzi, ni sheria batili!, muswada ulipotoka tuu, tukasema

Hadi Mama tukamweleza Ombi kwa Rais Samia: Sheria Mpya ya Uchaguzi Bado ina Ubatili. Haki ya Kuchagua na Kuchaguliwa imeporwa! Irejeshwe kwa Mujibu wa Katiba!

Ubatili wa sheria hii, sio ubatili mwingine wowote, zaidi ya ubatili ule ule ninaoupigia kelele humu jukwaani kila uchao, wa serikali yetu kutunga muswada wenye vipengele batili vinavyokwenda kinyume cha katiba ya JMT na Bunge letu Tukufu kuupokea huo muswada batili na ubatili wake na waheshimiwa wabunge wetu makini wakiwemo wanasheria manguli wabobezi na wabebovu kujadili na mwisho kutunga sheria nyingine batili kama mazuzu!
Ubatili huu nimeuzungumza sana humu

Kwa vile Mkuu wa nchi ni rais wa nchi, na mkubwa ni jalala, hivyo likitokea tatizo lolote, analaumiwa mkuu wa nchi, na madudu yote hayo yalitokea kabla Rais Samia hajaingia madarakani, hivyo nimemjengea indemnity Rais Samia asilaumiwe kwa madudu haya Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Kwa maoni yangu, dhulma kuu ya kwanza na ya msingi ni haki ya kupiga kura na haki ya kupigiwa kura, haki hii ilyotolewa na katiba ya JMT ya mwaka 1977, ikaja kuporwa kwa sheria batili ya uchaguzi, Sheria ya Taifa ya Uchaguzi Sura ya 343 ya mwaka 1985 na Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa Sura ya 292 ya Mwaka 1979.

Mchungaji Mtikila akapinga sheria hiyo mahakani, baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kukibatilisha kifungu hicho batili, kwa kwenda kinyume cha katiba, serikali yetu ikafanya jambo moja kubwa la ajabu sana, au kitu cha ajabu sana!, ikapeleka bungeni muswada wa mabadiliko ya katiba kwa hati ya dharura, ikakichomekea kipengele batili ndani ya katiba ya JMT ya mwaka 1977, hivyo ubatili huo ukachomekewa ndani ya katiba!. Kwanini tutunge sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ule ule?. Kwanini tutunge sheria mpya yenye dhulma ile ile ya haki kwa Watanzania?!.

Rais Samia baada ya kuingia madarakani, tumemlilia sana kuhusu ubatili huu


Serikali ikakata rufaa kupinga uamuzi huo, na Mahakama ya Rufani, ikatoa uamuzi kwa kusema “The Court is not the custodian of the will of the people”, ukimaanisha Mahakama sio mlinzi wa katiba ya wananchi!. Mahakama ya Rufani, ikalirudisha jambo hilo kwa Bunge lenyewe ndio lirekebishe!, na matokeo yake mpaka hivi sasa ninapoandika andika makala hii, sheria batili hiyo imetungwa tena, kipengele hicho batili bado kinatumika kuwanyima Watanzania haki ya kuwachagua viongozi wanaowataka, kwa kuwalazimisha Watanzania kuwachagua viongozi waliopitishwa na vyama vya siasa. Pia kunawanyima haki Watanzania kugombea uongozi kwa kuwalazimisha lazima kwanza wajiunge na chama cha siasa!.

Kwa vile hakumu ya Mahakama ya Rufaa, ililiamuru Bunge, kuuondoa ubatili huo, swali la kujiuliza ni kwanini Bunge halijatekeleza huku hii ya mahakama?!. Bunge linapata wapi jeuri ya kutotekeleza hukumu halali ya Mahakama Rufaa?!. Jibu ni moja tuu, Bunge halijatekeleza hukumu hii ya Mahakama ya Rufaa, kwa sababu fulani ambayo niliwahi kuitaja, naomba nisiirudie kuisema, nikaliponza bure gazeti hili kuanza kuitana Dodoma.

Naliomba Bunge letu tukufu, chini ya Spika, mwalimu wangu wa kwanza wa kipindi changu cha kwanza somo la sheria, chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, Dr. Tulia Akson Mwansasu, awatendee haki Watanzania, kwa kutekeleza amri hii ya mahakama na kutuondolea ubatili huu ndani ya katiba yetu, ndani ya sheria zetu.
Mungu Mbariki Dr. Tulia Aweze

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Je ni Maelekezo kutoka muhimili uliojichimbia zaidi ina upa mhimili isio imara kibri na jeuri?
 
Back
Top Bottom