Bunge laambiwa maana ya SGR kutoka Uvinza - Burundi

Bunge laambiwa maana ya SGR kutoka Uvinza - Burundi

Tanzania Railways Corp

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2018
Posts
274
Reaction score
646
Waziri wa Uchukuzi Mhe. Profesa Makame Mbarawa, ameliarifu Bunge namna serikali inavyonufaika na fursa zake za kijiografia kwa kubuni na kukamilisha miradi mikubwa ya kimkakati ili nchi iweze kunufaika zaidi na fursa hizo.

Waziri wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa, ameliarifu hayo Bunge wakati akiwasilisha bungeni mpango wa makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka wa fedha 2025/26, ambapo amesema mnano Januari 29, 2025 kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC), imesaini mkataba wa ujenzi wa Reli ya SGR kipande cha Uvinza (Kigoma) - Musongati (Burundi) km 240.

Aidha Profesa Mbarawa ameongeza kusema kuwa kusainiwa kwa mkataba huo ni matokeo ya ya ushirikiano kati ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Burundi na kwamba kukamilika kwa kwa Reli hiyo kutaunganisha nchi ya Burundi na Bandari ya Dar es Salaam sambamba na kuifungua Tanzania kikanda kwa kurahisisha ufanyaji biashara kati ya nchi mbili hizo.
 
Vurugu tupu,huku vipande vingine vimesimama kwa ukata vingine vinasainiwa mkataba wa ujenzi.
 
Ya mwanza bado mnakimbilia burundi kesho tutasikia SGR itakwenda mpaka visiwa vya ushelisheli
Mjinga wewe
Tunasaka pesa za kigeni

Hivi hujui kuwa Mwanza kuna kipande cha SGR toka Dodoma Mwanza kwenda Rwanda

Na tatizo lako unakesha Ofisi za CHADEMA kuwinda Tonetone upate hela ya kula
Waulize watu wa Mwanza kama hakuna reli ya SGR iko hatua kubwa kwenye ujenzi mjinga wewe
 
Mjinga wewe
Tunasaka pesa za kigeni

Hivi hujui kuwa Mwanza kuna kipande cha SGR toka Dodoma Mwanza kwenda Rwanda

Na tatizo lako unakesha Ofisi za CHADEMA kuwinda Tonetone upate hela ya kula
Waulize watu wa Mwanza kama hakuna reli ya SGR iko hatua kubwa kwenye ujenzi mjinga wewe
Kidole kimekuingia kwenye kijambio ukaona uje kutoa miguno hapa JF kujibu watu ovyo
 
Kidole kimekuingia kwenye kijambio ukaona uje kutoa miguno hapa JF kujibu watu ovyo
Nenda Mwanza eneo la usagara Reli ya SGR ipo pale jirani tu hatua chache

CHADEMA mshenzi wewe hata hujui maendeleo yanayoendelea kwenye nchi

Unabweka ujinga ooh SGR haijafika Mwanza?

CHADEMA pumbavu zenu
 
Mjinga wewe
Tunasaka pesa za kigeni

Hivi hujui kuwa Mwanza kuna kipande cha SGR toka Dodoma Mwanza kwenda Rwanda

Na tatizo lako unakesha Ofisi za CHADEMA kuwinda Tonetone upate hela ya kula
Waulize watu wa Mwanza kama hakuna reli ya SGR iko hatua kubwa kwenye ujenzi mjinga wewe
Wewe ndiyo mjinga kabisa kipande gani kina endelea na kazi? Kazi ime simama na baadhi ina kwenda kwa kusua sua tu halafu una kuja hapa ume Shiba makande una aanza kutukana watu.
 
Back
Top Bottom