smarte_r
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 4,538
- 11,870
Vijana wenzangu wa Afrika Mashariki, najua mnajua ila sio mbaya kuwashirikisha zaidi.
Hivi karibuni kijana mwenzetu paul siniga almaarufu "Rio Paul", amechaguliwa kuwa msemaji rasmi wa Bunge la Vijana la Afrika Mashariki(East African Youth Parliament).
Pongezi kwake ila naomba kufahamu wasifu zaidi wa huyu jamaa. wazee wa kufukunyua ma-file nawategenea katika hili.
Hivi karibuni kijana mwenzetu paul siniga almaarufu "Rio Paul", amechaguliwa kuwa msemaji rasmi wa Bunge la Vijana la Afrika Mashariki(East African Youth Parliament).
Pongezi kwake ila naomba kufahamu wasifu zaidi wa huyu jamaa. wazee wa kufukunyua ma-file nawategenea katika hili.