Kkimondoa
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 4,453
- 4,933
Ninasema hivyo kwa uhakika kabisa kuwa bunge linawajibika kwa rais
Mf. sheria yeyote ambayo Rais akiitaka ibadilishwe huwa haina kipingamizi ikifika bungeni wabunge hasa wa CCM watapitisha kwa nguvu zote hata kama ni sheria ya kipumbavu na Italitia hasara taifa itapita tu. Na hawana jeuri ya kupinga huu ni ushahidi wa wazi kabisa kwamba bunge linawajibika kwa rais.
WABUNGE WENGI ELIMU KICHWANI HAKUNA HII PIA NI SABABU.
Hili la sheria ya madini hili kwakweli CCM kwa ujinga na elimu ndogo ya wabunge wenu mnalipoteza taifa kabisaa.
CCM Ndio chanzo cha umasikini Tanzania kwa 100% sheria nyingi za hovyo zinapitia mikononi mwao huku wao wakishangilia na kupiga makofi.
HATUNA BUNGE TANZANIA TUNA WALA POSHO.
Mf. sheria yeyote ambayo Rais akiitaka ibadilishwe huwa haina kipingamizi ikifika bungeni wabunge hasa wa CCM watapitisha kwa nguvu zote hata kama ni sheria ya kipumbavu na Italitia hasara taifa itapita tu. Na hawana jeuri ya kupinga huu ni ushahidi wa wazi kabisa kwamba bunge linawajibika kwa rais.
WABUNGE WENGI ELIMU KICHWANI HAKUNA HII PIA NI SABABU.
Hili la sheria ya madini hili kwakweli CCM kwa ujinga na elimu ndogo ya wabunge wenu mnalipoteza taifa kabisaa.
CCM Ndio chanzo cha umasikini Tanzania kwa 100% sheria nyingi za hovyo zinapitia mikononi mwao huku wao wakishangilia na kupiga makofi.
HATUNA BUNGE TANZANIA TUNA WALA POSHO.