Bunge la Senate Marekani laitaka serikali ya Tanzania kuheshimu mikataba ya kibiashara baina yao

Unaota wewe
Wewe kaa usubiri Tanzania ya vi-wonder. Wenzio hayo mambo waliyafanya miaka ya 1800 huko.

Kuanzia chupi kutoka nje vyote umepewa na Mzungu huna cha kujisifia. Kubali tu kuwa wenzetu walitupita na ujifunze tokea kwao. Wivu hautakusaidia
 
Wanafiki ndivyo walivyo Mkuu, halafu wanafiki hao wanakaa kimya kuhusu ufisadi wa EPA, Dowans/Richmond, Meremeta, Kagoda, Escrow, IPTL, MV ufisadi, ujenzi wa barabara za viwango vya chini sana, upotevu wa mabilioni wizara ya ujenzi etc.

Halafu kuna watu watakuja kukebehi kwamba hatutakuwa affected na chochote na kujifanya hawajali
 
Wewe kaa usubiri Tanzania ya vi-wonder. Wenzio hayo mambo waliyafanya miaka ya 1800 huko.

Kuanzia chupi kutoka nje vyote umepewa na Mzungu huna cha kujisifia. Kubali tu kuwa wenzetu walitupita na ujifunze tokea kwao. Wivu hautakusaidia
Umemaliza kutapika?
 
Unafaidika na biashara gani na marekani zaidi ya unyonyaji...ungekuwa taarifa kidogo usingeshabikia ujinga huu.
Tunajifanya kuwa na kiburi wakati bado tumetundikiwa "DRIP" na tunalishwa kwa "MIRIJA..!"

Wazo la kujitegemea kibiashara ni zuri LAKINI halipaswi kutekelezwa kwa mihemko na kukurupuka kwani serikali za awamu zilizopita zimeifunga nchi kwa "PINGU" za mikataba ya hovyoo.

Sana sana tukijifanya kiburi "tutammalizia huyu mgonjwa tegemezi na mahututi."
 
Hahaa,kuambiwa walipe kodi na mirahaba ipasavyo ndio manyanyaso?
Jaribu kusoma uelewe,alafikiri kabla ya kuandika
Issue hapo juu inahusu zaidi mambo ya ki diplomasia.Kama diplomasia imepotea,tujue vikwazo viko mlangoni nalo ni balaa
 
Look around you alafu tafuta kitu kimoja tu ambacho sio cha Mzungu zaidi ya jiko la mafiga LA kutumia kunu alafu unambie. Ukikipata andika hapa.
Hata ukitiwa kidole na mzungu utakubali tu. (ashakum si matusi). Akili hizi za kitumwa hazitakufikisha mbali. Nyie ndio ambao mngeikabidhi hii nchi kwa wazungu kwa kukosa kujiamini.
 
Kimsingi kinachokusumbua ni wivu tu kwa kuwa wenzio wamepata wewe umekosa. Huwa wanawatia vidole watu wenye wivu kama wewe na Ghadafi waliyemtia majiti
 
Mmmmh haya Tanzania ya viwanda itafanikiwa kweli kwa style hii
Na akili yako unazani viwanda atajenga mmarekani kweli uko nyuma kiongozi. Mmarekani yuko kimaslahi akimaliza anakuacha solemba. Sasa wao inawauma sana kuimarika kwa uhusiano wa China na Tz. Waache walipe kodi kama wanawekeza bongo upuuzi wa kutolipa kodi wapeleke kwao huko.
 
Unafaidika na biashara gani na marekani zaidi ya unyonyaji...ungekuwa taarifa kidogo usingeshabikia ujinga huu.
Kama hatupati faida yoyote kaishauri serikali tufute kabisa kufanya biashara na Marekani na Ulaya. Na uwaambie kabisa kuwa wewe utakuwa unanunua dhahabu yote, almasi yote, na mitambo yote tunayoihitaji ambayo kwa sasa hatuna utakuwa unatengeneza wewe. Uwaambie pia kuwa wewe ndiye utakayerusha satellite angani ili mawasiliano ya simu, internet, fax na mengineyo yaendelee kuwepo. Usisahau pia kuwajulisha kuwa una satellite za kuweza kuhakikisha matangazo ya TV na radio yanaendelea kuwepo.
 
Wewe kaa usubiri Tanzania ya vi-wonder. Wenzio hayo mambo waliyafanya miaka ya 1800 huko.

Kuanzia chupi kutoka nje vyote umepewa na Mzungu huna cha kujisifia. Kubali tu kuwa wenzetu walitupita na ujifunze tokea kwao. Wivu hautakusaidia
Eti mnataka kumkomboa mtz toka kwa "mkoloni mweusi". Ha ha ha. Kwa mawazo kama yako na mshindwe na mlegee kwa jina la Yesu Kristo, amen.
 
Na akili yako unazani viwanda atajenga mmarekani kweli uko nyuma kiongozi. Mmarekani yuko kimaslahi akimaliza anakuacha solemba. Sasa wao inawauma sana kuimarika kwa uhusiano wa China na Tz. Waache walipe kodi kama wanawekeza bongo upuuzi wa kutolipa kodi wapeleke kwao huko.
Uchumi wa China umejengwa na makampuni ya Ulaya na Marekani ila wewe kwa kutojua unaamini Mchina atakujengea uchumi. Wachina waliposalimu amri na kuyakubali makampuni ya mabepari, ndiyo uchumi wao ulianza kukua.
 
Unafaidika na biashara gani na marekani zaidi ya unyonyaji...ungekuwa taarifa kidogo usingeshabikia ujinga huu.
Wanakupa MISAADA, then unawaachia WAFANYE watakavyo!

Kama hutaki WAFANYE watakavyo, kataa MISAADA yao! Period!

[HASHTAG]#Marekani[/HASHTAG] hafanyi biashara isiyomfaidisha yeye ... Kazi kwenu#
 
Uchumi wa China umejengwa na makampuni ya Ulaya na Marekani ila wewe kwa kutojua unaamini Mchina atakujengea uchumi. Wachina waliposalimu amri na kuyakubali makampuni ya mabepari, ndiyo uchumi wao ulianza kukua.
Hivi unajua maana ya investment na foreign policy. Inchi fulani ikitaka kupata access na rasilimali za nchi weak zinafanyaje. Halafu fanya utafiti percentage of American investment in China. Pia fuatilia sera ya investment ya China ipoje halafu uje. Pia usisahau kufuatilia Chinese FDI policy ukija ukija useme. Pia uje ukijua China ni competitive wa marekani ki uchumi ndio maana yeye focus yake ilikuwa kudominate Africa what happen. Halafu fuatilia kwa nini wazungu walibadili sera ya kutumia wafungwa kufanya kazi nje ya inchi yao
Hapo utaelewa.
 
Back
Top Bottom