Bunge la Jamuhuri la Muungano wa Tanzania limevunjwa rasmi leo kama maelezo ya Rais

Bunge la Jamuhuri la Muungano wa Tanzania limevunjwa rasmi leo kama maelezo ya Rais

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
79,084
Reaction score
84,977
My Take
Maisha bila Chadema yanaendelea na maandalizi ya Uchaguzi yamepamba moto.

Ukisusia wanakula.
==============
Bunge la 12 la Tanzania limevunjwa rasmi leo kufuatia maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyoyatoa Juni 27, 2025 wakati akihitimisha shughuli za bunge hilo jijini Dodoma.

Kuvunjwa kwa bunge hilo ni sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025.
 
Ukosefu wenu wa akili unakujaga kuhusisha kila anaepinga utopolo wwnu na chadema
 
My Take
Maisha bila Chadema yanaendelea na maandalizi ya Uchaguzi yamepamba moto.

Ukisusia wanakula.
==============
Bunge la 12 la Tanzania limevunjwa rasmi leo kufuatia maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyoyatoa Juni 27, 2025 wakati akihitimisha shughuli za bunge hilo jijini Dodoma.

Kuvunjwa kwa bunge hilo ni sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025.
Yaani huo uchaguzi fanyeni kiroho safi, lakini cdm haishiriki huo upuuzi. Cdm watakuwa wajinga kushiriki huo uchaguzi kama fashion, wakati matokeo yameshapangwa. Shirikini na vyama vinavyohitaji hisani ya ccm kufanya siasas. Cdm ni NRNE.
 
My Take
Maisha bila Chadema yanaendelea na maandalizi ya Uchaguzi yamepamba moto.

Ukisusia wanakula.
==============
Bunge la 12 la Tanzania limevunjwa rasmi leo kufuatia maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyoyatoa Juni 27, 2025 wakati akihitimisha shughuli za bunge hilo jijini Dodoma.

Kuvunjwa kwa bunge hilo ni sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025.
Uchaguzi au kujichagua?
 
Back
Top Bottom