Bunge la Bajeti 2013 Laimaliza CHADEMA

Bunge la Bajeti 2013 Laimaliza CHADEMA

Kikao cha bunge kinachoendelea mjini Dodoma kimekuwa ni sumu kwa CHADEMA kwa vile wananchi wamepata fursa adimu ya kuwaelewa aina ya viongozi na chama kwa ujumla kilivyo. Wabunge wa CHADEMA wamekuwa mashuhuri kwa kuibua hoja zisizo na mshiko kwa wapiga kura na taifa kwa ujumla hivyo wananchi wamepata nafasi ya kuwajua kiundani viongozi wa CHADEMA wasivyo na uelewa na ufahamu wa kuongoza nchi. Mbowe akiwa ni Kiongozi Mkuu wa Upinzani Bungeni amezidi kupoteza umaarufu kutokana na tabia za yake ya kuwaachia wabunge wasio na haiba ya uongozi kama vile Sugu, Wenje na Msigwa kuandaa na kusoma hotuba zisizo na manufaa kwa taifa. Yote kwa yote kikao cha bunge kimekuwa ni KABURI la CHADEMA kwa vile watanzania wamepata nafasi ya kuwachambua viongozi wa CHADEMA.
Nimefanya utafiti mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga nimegundua wananchi kwa kupitia bunge wamejiridhisha kuwa chama cha CHADEMA hakina sifa ya kuongoza nchi kwa sababu viongozi wake ni vinara wa fujo na kuleta uchochezi wenye dalili ya kuharibu AMANI nchi mwetu iliyojengwa kwa zaidi ya miaka 50.
Wanazi wa CHADEMA pokeeni hoja hii pasipo matusi ili chama chenu kibadilike kwa manufaa ya nchi yetu

Yaani elfu saba uliyopewa jumatatu ndo umejitahidi kuilipa kwa post hii? Jitahidi basi kutumia kili usiwe kama kina Ritz, au ndo ile kauli ya akili ndogo inaongozwa na akili kubwa? Hata hivyo hongera maana supervisor wenu wa humu Jamiifoum atapeleka ripoti kuwa hela yao imetumika angalau kidogo.
 
Kikao cha bunge kinachoendelea mjini Dodoma kimekuwa ni sumu kwa CHADEMA kwa vile wananchi wamepata fursa adimu ya kuwaelewa aina ya viongozi na chama kwa ujumla kilivyo. Wabunge wa CHADEMA wamekuwa mashuhuri kwa kuibua hoja zisizo na mshiko kwa wapiga kura na taifa kwa ujumla hivyo wananchi wamepata nafasi ya kuwajua kiundani viongozi wa CHADEMA wasivyo na uelewa na ufahamu wa kuongoza nchi. Mbowe akiwa ni Kiongozi Mkuu wa Upinzani Bungeni amezidi kupoteza umaarufu kutokana na tabia za yake ya kuwaachia wabunge wasio na haiba ya uongozi kama vile Sugu, Wenje na Msigwa kuandaa na kusoma hotuba zisizo na manufaa kwa taifa. Yote kwa yote kikao cha bunge kimekuwa ni KABURI la CHADEMA kwa vile watanzania wamepata nafasi ya kuwachambua viongozi wa CHADEMA.
Nimefanya utafiti mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga nimegundua wananchi kwa kupitia bunge wamejiridhisha kuwa chama cha CHADEMA hakina sifa ya kuongoza nchi kwa sababu viongozi wake ni vinara wa fujo na kuleta uchochezi wenye dalili ya kuharibu AMANI nchi mwetu iliyojengwa kwa zaidi ya miaka 50.
Wanazi wa CHADEMA pokeeni hoja hii pasipo matusi ili chama chenu kibadilike kwa manufaa ya nchi yetu

Mkuu ungeweza kutudanganya kuhusu mikoa hiyo wakati mwingine wowote lakini siyo wakati huu. Mtwaa na Lindi si ndo wanakochoma nyumba za viongozi wa CCM?Je yeye umeshawahi kusikia nyumba ya kiongozi wa CUF au Chadema au Ofisi imechomwa? Tena Tanga ndo wamechoka kabisaa mfano badala ya kuwafufulia Bandari (ambayo inahitaji ukarabati tu) wao wamepeleka 'Bwaga heart' ? Tanga ipi uliyoifanyia utafiti? Ungesema Shinyanga au Mwanza na Simiyu labda ila hapo utafiti wako utakuwa ni zao la wasomi wanaopatikana kwa matokeo ya "kusahihisha upya ili kuondoa ufeli mkubwa" vinginevyo hujafanya utafiti wowote.
 
Kikao cha bunge kinachoendelea mjini Dodoma kimekuwa ni sumu kwa CHADEMA kwa vile wananchi wamepata fursa adimu ya kuwaelewa aina ya viongozi na chama kwa ujumla kilivyo. Wabunge wa CHADEMA wamekuwa mashuhuri kwa kuibua hoja zisizo na mshiko kwa wapiga kura na taifa kwa ujumla hivyo wananchi wamepata nafasi ya kuwajua kiundani viongozi wa CHADEMA wasivyo na uelewa na ufahamu wa kuongoza nchi. Mbowe akiwa ni Kiongozi Mkuu wa Upinzani Bungeni amezidi kupoteza umaarufu kutokana na tabia za yake ya kuwaachia wabunge wasio na haiba ya uongozi kama vile Sugu, Wenje na Msigwa kuandaa na kusoma hotuba zisizo na manufaa kwa taifa. Yote kwa yote kikao cha bunge kimekuwa ni KABURI la CHADEMA kwa vile watanzania wamepata nafasi ya kuwachambua viongozi wa CHADEMA.
Nimefanya utafiti mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga nimegundua wananchi kwa kupitia bunge wamejiridhisha kuwa chama cha CHADEMA hakina sifa ya kuongoza nchi kwa sababu viongozi wake ni vinara wa fujo na kuleta uchochezi wenye dalili ya kuharibu AMANI nchi mwetu iliyojengwa kwa zaidi ya miaka 50.
Wanazi wa CHADEMA pokeeni hoja hii pasipo matusi ili chama chenu kibadilike kwa manufaa ya nchi yetu

fanya utafiti humu, mimi ndio nimezidi kuipenda CHADEMA, kufahamu maovu ya ccm.
 
Buku 7 inakuumiza kichwa pale lumumba kinyesi kweli!....
 
Kweli imedhihirisha CHADEMA ni pumba tu bungeni ingawa wananguvu matusi kwenye mitandao
 
We ni mchumia tumbo....hatushangai. umetumia kigezo gani kuchagua mikoa hiyo uliyo fanyia research? Kwa uelewa wangu mikoa hiyo ni strong hold ya wariberali....lol
 
Kikao cha bunge kinachoendelea mjini Dodoma kimekuwa ni sumu kwa CHADEMA kwa vile wananchi wamepata fursa adimu ya kuwaelewa aina ya viongozi na chama kwa ujumla kilivyo. Wabunge wa CHADEMA wamekuwa mashuhuri kwa kuibua hoja zisizo na mshiko kwa wapiga kura na taifa kwa ujumla hivyo wananchi wamepata nafasi ya kuwajua kiundani viongozi wa CHADEMA wasivyo na uelewa na ufahamu wa kuongoza nchi. Mbowe akiwa ni Kiongozi Mkuu wa Upinzani Bungeni amezidi kupoteza umaarufu kutokana na tabia za yake ya kuwaachia wabunge wasio na haiba ya uongozi kama vile Sugu, Wenje na Msigwa kuandaa na kusoma hotuba zisizo na manufaa kwa taifa. Yote kwa yote kikao cha bunge kimekuwa ni KABURI la CHADEMA kwa vile watanzania wamepata nafasi ya kuwachambua viongozi wa CHADEMA.
Nimefanya utafiti mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga nimegundua wananchi kwa kupitia bunge wamejiridhisha kuwa chama cha CHADEMA hakina sifa ya kuongoza nchi kwa sababu viongozi wake ni vinara wa fujo na kuleta uchochezi wenye dalili ya kuharibu AMANI nchi mwetu iliyojengwa kwa zaidi ya miaka 50.
Wanazi wa CHADEMA pokeeni hoja hii pasipo matusi ili chama chenu kibadilike kwa manufaa ya nchi yetu

Daktari Mtiifu wa kazi yake akiwa ofisini wakati akitimiza wajibu wake HATA KAMA MGONJWA ANAZIDI KUWA NA HALI MBAYA HAIJAWAHI KUTOKEA ATASEMA HUYU ANAKUFA MUDA SI MWINGI na wauguzaji jipangeni kwa mazishi ispokuwa husema mogonjwa anaendelea vizuri na atapona tu.
Lakini katika Saikolojia yao ya kazi inasema Kazi yao sio kuwaponja wanaofikwa na umahututi bali ni kuwapunguzia maumivu ya utokaji wa roho.
Hivyo si vibaja mkiendelea kumpunguzia mgonjwa maumivu ya ukataji wa roho kwa staili hii.
 
Acha kujidanganya wahi Lumumba ukachukue buku 7 ya night

Hii michongo imekaaje....!? Unaweza kunipa utaratibu unaotumika ili mtu aweze kuingia kwenye kikundi hiki cha kupokea hizo buku 7 ?
 
Zemacopolo hujapata buku 7? Wahi lumumba mhasibu yupo kashatoka kanisani.
 
Bwana MAFILILI, kabla sijakwambia Kikao cha bajeti hakiwezi kuimaliza CHADEMA, NAOMBA utueleze PHILOSOPHICAL REASONS BEHIND YOUR CASE STUDIES???!
Huko ulikoenda walisemaa ni WABUNGE wa chama gani mbadala wa wale wa CHADEMA?
Waliowaona wabunge wa chama gani walioibua HOJA zenye mashiko kwao?? Na ni zipi?
Walikutajia mifano ya hoja zisizo na mashiko zilizoibuliwa na CHADEMA ili tuzipime?Ulikuwa unawauliza swali lipi hadi ukapata confidence level ya 100% kufikia hitimisho lako?!
Kuna-intervening variables zozote ulizozigundua kusababisha "uliowafanyia" utafiti huo kusema walivyosema?!
Kama hakuna, wewe ndiwe ulianzisha utafiti huo au wao ndiwo waliokutafuta uwatafiti?!"
Unaweza kufanya UTAFITI TENA katika mikoa hiyo ili utwambie naman kipatoo chao kilivyopanda ndani ya miaka MINANE inayoishia??
Ukijibu hayo maswali,utanisaidia katika kujua kama kweli huna HIYANA!
 
Kikao cha bunge kinachoendelea mjini Dodoma kimekuwa ni sumu kwa CHADEMA kwa vile wananchi wamepata fursa adimu ya kuwaelewa aina ya viongozi na chama kwa ujumla kilivyo. Wabunge wa CHADEMA wamekuwa mashuhuri kwa kuibua hoja zisizo na mshiko kwa wapiga kura na taifa kwa ujumla hivyo wananchi wamepata nafasi ya kuwajua kiundani viongozi wa CHADEMA wasivyo na uelewa na ufahamu wa kuongoza nchi. Mbowe akiwa ni Kiongozi Mkuu wa Upinzani Bungeni amezidi kupoteza umaarufu kutokana na tabia za yake ya kuwaachia wabunge wasio na haiba ya uongozi kama vile Sugu, Wenje na Msigwa kuandaa na kusoma hotuba zisizo na manufaa kwa taifa. Yote kwa yote kikao cha bunge kimekuwa ni KABURI la CHADEMA kwa vile watanzania wamepata nafasi ya kuwachambua viongozi wa CHADEMA.
Nimefanya utafiti mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga nimegundua wananchi kwa kupitia bunge wamejiridhisha kuwa chama cha CHADEMA hakina sifa ya kuongoza nchi kwa sababu viongozi wake ni vinara wa fujo na kuleta uchochezi wenye dalili ya kuharibu AMANI nchi mwetu iliyojengwa kwa zaidi ya miaka 50.
Wanazi wa CHADEMA pokeeni hoja hii pasipo matusi ili chama chenu kibadilike kwa manufaa ya nchi yetu

Ni nchi hii peke yake ambapo ukiwa mpumbavu unakuwa shujaa. Ni ukweli usiopingika ni kazi ya upinzani kutoa mawazo mbadala namna ya kuendesha serikali. Lakini sasa badala ya kuyachukua CCM ambacho ni chama tawala mmekuwa mabingwa wa kupinga kila kinachosemwa na upinzani. Kiufupi CCM ni "chama cha upinzani wa wapinzani" na bila aibu mwenyekiti wa CCM alimsifia na kumpandisha cheo Mh MWIGULU kwa kuchana bajeti ya upinzani. Mko very busy kukosoa yanayofanywa na upinzani badala ya kuelekeza nguvu zenu kwenye kuelezea malengo yenu, ilani yenu na kuchapa kazi. Mmejisahau kuwa nyie ni chama tawala na mna wajibu mkubwa wa kuonyesha njia na upinzani upo kwa ajili ya kuwakosoa pale mnapokosea.
Kila mmoja ana wajibu wake na ndio maana mnakula kodi zetu na hatutegemei kuwa na mpinzani ambaye ana kaa tuu na kusema sawa mzee, huyo hile ni jasho letu na tunafurahi pale mnaposhikana mashati kutetea ya kwetu. na hii ndio mfumo wa vyama vingi.
CCM mna ndoto za chama kushika hatamu na mnatamani sana mbaki wenyewe bila ya upinzaini. HIZI NDOTO NI ZA ALINACHA.. UPINZANI IS THERE TO STAY... SUCK IT.

Mabunge ya wenzetu wanfikia hadi kuzichapa live, sisi bado tunaremba sanaaa.. KWA TANZANIA YA SASA HAKUNA MWANANCHI MLALA HOI ASIYEJUA MAANA YA KUWA NA MFUMO IMARA WA VYAMA VINGI.. NA WENGI WETU TUKA DETERMINE KUHAKIKISHA UCHAGUZI UJAO TUNAKUWA NA WABUNGE WANGI WA UPINZANI ILI DHARAU NA KEJELI NA KUPITISHA MAAMUZI KWA KURA ZA NDIOOOOOO IWE NDIO MWISHO WAKE. WAPO WABUNGE WENGI WA CCM WASIOPENDEZWA NA JINSI BUNGE LINAVYOENDESHWA.. NA WANAWASAIDIA SANAA HAO CHADEMA KUPATA UMAARUFU.. NDIO MAANA KILA KUKICHA HATA HUMU jf WANACCM MKO BUSY KUANZISHA THREAD ZA KUIDIDIMIZA CDM BADALA YA KUANZISHA THREAD ZA KUIINUA CCM.

Mnachosahau hata dada yako ukimkataza sana na kumwambia usiongea na yule mwanaume ni malaya, mhuni, mvuta bangi, mfanya fujo... mwisho wa siku utastaajabu pale utakapogundua jamaa anamega tunda kiulaini.
USHAURI- ANDIKENI MAKALA NYINGI ZA KUINYANYUA CCM ZAIDI, NA POTEZENI MUDA WENU MWINGI KUONGELEA CCM. CHA AJABU HATA VIONGOZI WA KITAIFA MIDOMONI IMEWAJAA CDM ZAIDI YA CCM. NYIMBO ZAO ZOTE NI CHADEMA, CHADEMA, CHADEMA, CHADEMA, CHADEMA, CHADEMA, CHADEMA....
 
Kikao cha bunge kinachoendelea mjini Dodoma kimekuwa ni sumu kwa CHADEMA kwa vile wananchi wamepata fursa adimu ya kuwaelewa aina ya viongozi na chama kwa ujumla kilivyo. Wabunge wa CHADEMA wamekuwa mashuhuri kwa kuibua hoja zisizo na mshiko kwa wapiga kura na taifa kwa ujumla hivyo wananchi wamepata nafasi ya kuwajua kiundani viongozi wa CHADEMA wasivyo na uelewa na ufahamu wa kuongoza nchi. Mbowe akiwa ni Kiongozi Mkuu wa Upinzani Bungeni amezidi kupoteza umaarufu kutokana na tabia za yake ya kuwaachia wabunge wasio na haiba ya uongozi kama vile Sugu, Wenje na Msigwa kuandaa na kusoma hotuba zisizo na manufaa kwa taifa. Yote kwa yote kikao cha bunge kimekuwa ni KABURI la CHADEMA kwa vile watanzania wamepata nafasi ya kuwachambua viongozi wa CHADEMA.
Nimefanya utafiti mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga nimegundua wananchi kwa kupitia bunge wamejiridhisha kuwa chama cha CHADEMA hakina sifa ya kuongoza nchi kwa sababu viongozi wake ni vinara wa fujo na kuleta uchochezi wenye dalili ya kuharibu AMANI nchi mwetu iliyojengwa kwa zaidi ya miaka 50.
Wanazi wa CHADEMA pokeeni hoja hii pasipo matusi ili chama chenu kibadilike kwa manufaa ya nchi yetu
Khaa!!! F.Y.E only https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/461344-bunge-la-bageti-laiua-kabisa-ccm.html#post6488902
Sasa niamini ipi?? :shock:
 
Unachoongea ni pumba tupu huyo mtanzania wa sasa hv wa kuanzia miaka 35 kuja chini anaeipenda ccm sidhani kama atakuwa yuko sawa kwenye ubongo wake. La sivyo atakuwa anatoka kwenye familia ya magamba
 
Naona utafiti wako umeufanya ukanda wa Uraniamu tu. Eti Pwani, Mtwara, Lindi na Tanga. Umetumwa na liPumba nini?
 
Chama cha kishetani wacha kifilie mbali
 
Back
Top Bottom