Bunge la Bajeti 2013 Laimaliza CHADEMA

Bunge la Bajeti 2013 Laimaliza CHADEMA

mods tunaomba mleta uzi atudhibitishie haya aliyoyaandika kwakutuwekea facts hapa,dhumuni la huo utafiti na nani alimtuma na huna faida gani kwa jamii.
Mnageuza jf kijiwe cha kupiga porojo?

acha kuongea kama hujasoma kwani utafiti kufanya mpaka utumwe na mtu unaweza kuwa mwandishi huru na ukafanya utafiti wako.nakushangaa kuanza kulalamika badala ya kumjibu mleta mada.
 
Kwa nini chadema wakiambiwa ukweli huchukia badala ya kujisahihisha.
 
tofautisha kati ya uchunguzi na utafiti

Ila nawaonea huruma sana sasa itawalazimu mdai nyokeza ya posho angalau iwe hivi

  • kuanzisha uzi iwe buku 20,000
  • kuchangia tu iwe 10,000

hapo nadhani mtakuwa makini kuja jf na point za maana kuliko ujinga huu
 
hivi nyie mnaoitete ccm mko timamu kweli? Riz11, January, Fred L, na wangine kama hao, ndio ambao siwashangai wakiendelea kuitetea ccm hadi dakika ya mwisho maana ndio ya kwao na wanaitumia kupaipakua nchi na wananeemeka nayo na kila mtu anaona. Sasa ninapona kapuku mwenye maisha magumu na matatizo chungu nzima anaitetea ccm huwa nashangaa sanaa. Kwanini mnatumika nyie? Ni lini mtafungua macho na kujitambua?
Tupiganieni mabadiliko ili nchi yetu iendelee. CCM ni kansa, hakuna tena kiongozi wa kututoa hapa tulipo ambaye yuko CCM, tusijidanganye jamani. Upeo wao ulishafika mwisho kabisa (ama kwa makusudi ama kwa kutokujua). Hakuna nchi iliyopata maendeleo chini ya chama kinachoongoza tangu uhuru. HAKUNA.

Na usishangae ndugu zao sa hizi wanafata maji kilometa 9,wao wanabanana lumumba,kilichobaki ni "kuliberiwa"
 
Thread za mafilili huwa zinaonesha wazi huyo mtu ni sumu kwa mabadiliko hivyo ni vema kumwepuka.
 
Kila aliyeangalia Bunge amejionea jinsi Mbowe alivyoshindwa kuongoza upinzani Bungeni.

Ungeanza kwanza kudadavua kwa jinsi MAKINDA na mkwe wake NDUGAI wanavyohangaika na kushindwa kuongoza bunge kwa ujumla.
 
174.jpg




























































hebu pitia hili tangazo kwani litakusaidia siku zijazo uwache kutujazia server
 
Kila aliyeangalia Bunge amejionea jinsi Mbowe alivyoshindwa kuongoza upinzani Bungeni.
Mbowe ameonyesha umakini wa hali ya juu katika kuwapatia na kuwaachia wabunge wa chadema watumie fursa waliyopewa na wananchi katika majimbo yao katika kuwatumikia watanzania kwa ujumla.

Ni tofauti na kinachofanywa na wabunge wa ccm, kila inapoibuka issue yenye interests za kitaifa wanaitwa kuelekezwa nini cha kusema na nini cha kuacha kuhoji.aibu kubwa sana mambo ya kitoto namna hii kufanywa katika bunge letu.
 
Nuku saba fc umeshaingiza posho yako ya siku. Naibu spika ndigay mwenyewe amekiri kuwa wabunge wa Chadema ni mashujaa kwa watanzania na kuapa kuwa kamwe hatawagusa.
Sasa wewe kwa akili yako iliyojaa ulevi wa mataputapu unakurupuka na kuandika utumbo.

We unaona ze dentist na vuvuzela wanashindwa kukaa lumumba ofisini kwasababu ya Chadema halafu wewe umejitia upofu kwasababu ya buku saba!
jina lake tu mafilili
 
Umepotea mafilili wote wanaofatilia bunge wanaona chadema walivyo majembe na kutuonyesha wazi kupigania mabadiliko nadhan n wewe tu na kakikundu ka watu wachache ambao bado mmevaa miwani ya mbao hamuoni mbele lakin bado mmegoma kuivua.
 
hangover hizi. ila huo ni mtazamo wako. subir mabadiliko yatakavyofanyika.
 
Maamuzi tenge na rajua tenge za viongozi wetu hufanya taifa na wanataifa kuwa tenge..................kuwa na fikra huru ili uondokane na tatizo ulokuwa nalo.
 
Back
Top Bottom