Anyone who stops learning is old, whether at twenty or eighty. Anyone who keeps learning stays young.
― Henry Ford
Naona ccm na serikali yake imezeeka vya kutosha. Kuturudisha zama za kale za mawe ni ishara ya woga, kufilisika, kukosa fikra sahihi zinazohitajika katika dunia ya leo. Hawa hawana sababu ya kuendelea kuwapo madarakani. Wanaweweseka, tunahitaji kuona NGUVU YA UMMA sasa.