bunge halionyeshwi tusikilize hadithi za rais wodini.

bunge halionyeshwi tusikilize hadithi za rais wodini.

plo lumumba jr

Senior Member
Joined
Nov 8, 2014
Posts
111
Reaction score
79
nlimskia spika makinda akiahirisha bunge mpaka saa kumi jioni. sasa professor wetu karudi t.v station zote zimehamia kwake. madudu ya escrow tunafichwa watanzania.
 
Yaani hii nchi haitabiriki sasa rais kuja kueleza mambo yake tezi dume kwenye media yanahusu nini watanzania. wananchi wanataka maendeleo, maji safi, matibabu, barabara na mengine, saivi kuna hili suala la wizi kwanini hakufikia hili kuwafukuza mawaziri wake mafisadi. nchi imelaanika ndio yale alosema mchungaji msigwa jambo dogo mbwembwe nyingi watu wote wakuangalie wewe kwa jambo ata halina maana yeyote
 
Kuna mengi ya kufanya kuliko kusikiliza hekaya, kila mgonjwa aje kutuhadithia maradhi yake?amepona fine, majukumu yaendelee porojo za nini kipindi crucial kama hiki?
 
hawa jamaa wanaboa sana...sa huyu dhaifu anaongea nini? mabusha yake yanamuhusu yeye na familia take bana...
 
Sio tu TV hazioneshi bali hata Radio hazitangazi
 
Jamani ni kweli bunge ni mpaka saa moja,,, tafadhali mwenye taarifa atujuze plz... stor za busha zinaniboaa
 
Habari za busha haziwezi punguza hasira za wananchi tena ndo anazidi kuziongeza tu
 
Acheni roho mbaya nyie wanaharamu. Mnakera sana kuleta mizaha kwenye maradhi.
 
Ni kweli bunge hd saa 1.00 huenda nh. Rais akasaidia kufikia muafaka wa maamuzi ya bunge akitoka hapo.
 
Back
Top Bottom