Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Wadau Pamoja na kutokuwa na Elimu ya Mambo ya SHERIA Najiuliza kama KATIBA iliyopo inatamka kuwa BUNGE lazima liwe na KAMBI Rasmi ya UPINZANI je kwa kutokuwa na KAMBI RASMI Uhalali wa BUNGE ni Upi?
Tumeshuhudia BUNGE lisilo na MAWAZIRI Vivuli
Tumeshuhudia BUNGE lisilo na BAJETI
za MAWAZIRI Vivuli
Tumeshuhudia BUNGE lisilo na KIINGOZI wa KAMBI Rasmi ya UPINZANI
Tumeshuhudia BUNGE lisilo na HOTUBA ya BAJETI ya KAMBI Rasmi ya UPINZANI je Uhalali wa BUNGE ni Upi?
Mwisho
Tumeshuhudia BUNGE lenye WABUNGE Wasio na CHAMA
Tumeshuhudia BUNGE lisilo na MAWAZIRI Vivuli
Tumeshuhudia BUNGE lisilo na BAJETI
za MAWAZIRI Vivuli
Tumeshuhudia BUNGE lisilo na KIINGOZI wa KAMBI Rasmi ya UPINZANI
Tumeshuhudia BUNGE lisilo na HOTUBA ya BAJETI ya KAMBI Rasmi ya UPINZANI je Uhalali wa BUNGE ni Upi?
Mwisho
Tumeshuhudia BUNGE lenye WABUNGE Wasio na CHAMA