Bundle za 400MB kwa Tsh.2500 umesitishwa?

Bundle za 400MB kwa Tsh.2500 umesitishwa?

leipzig

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
2,766
Reaction score
1,714
Naomba kujua hili kwa vile hadi mwanzoni mwa wiki hii utaratibu wa Vodacom wa 40MB kwa Tsh.2500.00 ulikuwa unaendelea lakini leo nimejaribu ku-recharge na kuomba hiyo huduma ikanigomea,kulikoni?
 
Naomba kujua hili kwa vile
hadi mwanzoni mwa wiki hii utaratibu wa Vodacom wa 40MB kwa Tsh.2500.00
ulikuwa unaendelea lakini leo nimejaribu ku-recharge na kuomba hiyo
huduma ikanigomea,kulikoni?

me sijui ebu jaribu kuwapigia huduma kwa wateja(call100) wao wanaweza wakakujuza vizuri.
 
Naomba kujua hili kwa vile hadi mwanzoni mwa wiki hii utaratibu wa Vodacom wa 40MB kwa Tsh.2500.00 ulikuwa unaendelea lakini leo nimejaribu ku-recharge na kuomba hiyo huduma ikanigomea,kulikoni?

Kwa sisi wa airtell tangu tarehe kumi imebadilika bundle ni 500mb kwa 3500.nafikiri na voda ni hivyo mkuu.
 
Naomba kujua hili kwa vile hadi mwanzoni mwa wiki hii utaratibu wa Vodacom wa 40MB kwa Tsh.2500.00 ulikuwa unaendelea lakini leo nimejaribu ku-recharge na kuomba hiyo huduma ikanigomea,kulikoni?

Zimeshafutwa tangu Februari 10; sasa hivi kutakuwa na MB500 kwa TSH.3,500/= na zitadumu kwa siku 10 tu. Upo hapo mdau?????
 
Zimeshafutwa tangu Februari 10; sasa hivi kutakuwa na MB500 kwa TSH.3,500/= na zitadumu kwa siku 10 tu. Upo hapo mdau?????

Kujiunga unajiunga vipi iyo ya MB500 kwa TSH.3500/= ... Au ni kama ile ile ya 2500/= kwa kutuma internet kwenda 15444?
 
Back
Top Bottom