Bundi CHADEMA kapewa kigoda

we mtoa mada unatoka katika chating site ya The grid.

Ndugu yako Eng. Mayeye ameona hapamfai humu kaondoka.

Sasa wewe unataka kusema nini???????
 
we mtoa mada unatoka katika chating site ya The grid.

Ndugu yako Eng. Mayeye ameona hapamfai humu kaondoka.

Sasa wewe unataka kusema nini???????

Tunazungumza suala nyeti hapa mkuu, mimi na mayeye wapi na wapi tena. Lakini Muziki si unausikia. CDM Viongozi ni wasikivu na wao wameishaiona hatari licha ya yule mwendawazimu kutishia ati atamwaga mboga, ishakuwa fashion ukibanwa unatishia kumwaga mboga, lakini kama kweli hiyo mboga ipo aweke hadaharani tujue,

Nareje maneno yangu ya awali katika thread hii, UNAFIKI wa wanasiasa ni hatari sana kwa demokrasia ya kweli, tunataka wazungumze nasi lugha moja.
 
Hiyo ya ku-go out ni ndoto za Alnacha, bado CCM itaendelea kukutawala hata ukiongea kwa jazba. na Rais wa Tanzania mwaka 2015 ni Edward N. Lowasa.


Off course huu ni mtazamo wa jukwaa la kijani, hatuna pingamizi na hilo...itakuwa tu kama hadithi ya GORDON BROWN na TONY BLAIR
 
we mtoa mada unatoka katika chating site ya The grid.Ndugu yako Eng. Mayeye ameona hapamfai humu kaondoka.Sasa wewe unataka kusema nini???????
we the grid mbona mwake huko koleo unaliita koleo ni full freestyle No ban wala nini unasema kitu unachotaka it is free
 

inashangaza sana viongozi kujitapa namna hiyo inamaana hata kwenye vikao cha kukmjadili Shibuda utatumika u dikteta.
hata kauli ya Dr Slaa ya kusema madiwani wa Arusha wamekosea na wanaweza fukuzwa wakati huo huo anaunda tume ni kichekesho. hivi hiyo tume ikisema hawakukosea nini kitatokea? au wanaenda kukusanya data ambazo tayari wanamajibu yake?
 
Mkuu umenena kwa weledi wa hali ya juu. Nilitaka kuacha kuchangia kwenye mjadala huu kwakuwa mtoa mada analazimisha mawazo yake tuyakubali wakati wenye akili tunaona ni upupui tu.Kwenye msafara wa mamba kenge hawakosekani. Na chadema imejiwekea mkakati wake wa kudeal na kenge wanaovamia msafara. Ni ujinga kusema bundi anaunguruma chdm kwa kurefer tukio la Shibuda kupinga posho.Nilitegemea tuelezwe bundi yupo ccm kwa sababu ni wazi kabisa mkakati wa kuvua gamba kama utatekelezwa kama tunavyoaminishwa lazima chama kipasuke lakini sio chadema kwa ishu za posho
 

Bange mbaya sana, hasa kuvutia chooni kama huyu
 

Mzee inaonekana ww unajazba sana punguza jazba alaf inaonekana ww ni ngwin uliyesomea certificate ya politics /journalism/ hoteli management Ilala pale. Huwezi kujifananisha na Daktari wa Muhimbili ata kidogo mkuu. Changia hoja ww acha kashfa, hao madaktari unaowaita wa UPE ndio wanaowatibu dada, kaka, wajomba, shangazi, bibi, babu, mama na baba yako magonjwa ya kuharisha ambayo yamekithiri kwenye familia yenu. Maana uliotoa hapo ni uharo mtupu.
 
Huyo bundi yuko wapi ndege wa Mungu masikini, mbona mie smuoni?
Mie mniambie tu maandamano wapi!!!
 
Umenena mkuu nakubaliana nawe kwa asilimia mia moja hasa kwenye makazi umenikuna yaani nimerialize kumbe naishi na mavi yangu hapa nyumbani!!! Duh haya si maendeleo wenzetu wana sewage na wanarecycle maji taka yanarudi kwa matumizi sisi tunaishi nayo wenyewe!! Kwa kuongezea na Bunge pia lililojaa mipasho kama bendi mbili za taarab enzi zile tot na muungano wabunge hasa wa CCM kusimama na kuikosoa serikali hasa bajeti hadi ukisikiliza ukadhani watakwamisha bajeti isipite na kwa mshangao wa ajabu kama kumuona mbuzi anataga mayai mbunge huyo huyo aliyetumia muda wake kuiponda bajeti anamalizia hotuba yake kwa kusema `mheshimiwa supika baada ya kusema hayo naunga mkono hoja kwa asilimia mia moja' hapa unaweza kujiuliza sasa huyu alisimama kufanya nini kuuza sura!!!!! Mi nikiona mbunge wa ccm anaongea kwakweli huwa nabadili kuangalia chaneli nyingine isiyorusha bunge
 
Tulitoa tahadhari kwenye mchakato wa uchaguzi uliopita kuhusu akina Shibuda-type kuingia Chadema na kupewa uongozi mara moja. Lilikuwa kosa. Hawa hawakuja Chadema kwa sababu ya mapenzi ya chama bali kwa sababu walitemwa huko CCM. Wakipata mwanya watarudi tena kwa mbwembwe za 'nimerudi nyumbani'. Watarudi wakiwa na siri nyingi za chama. Hili ni fundisho kwa siku zijazo. Mamluki ni hatari.
 
Mimi nadhani mkuu amenena mema tena kwa weledi mkubwa sana tatizo lililopo humu jf ni kuwa watu hawataki kusikia habari za tahadhari kuhusu chadema huu ni upumbavu mkubwa sana aliwahi kunena Mh Benjamin Mkapa kuwa 'mtu kama hataki kuumiza mbongo yake basi ni bora angepewa uti wa mgongo kuliko ubongo.

Tatizo CHADEMA halipo kwa Shibuda tatizo lipo mbali zaidi kwa mfano Zitto Zuberi Kabwe ameshasema ya kuwa yeye ndie atakuwa mgombea Urais 2015 kupitia CHADEMA siyo mbaya but hebu fikiria ikitokea akapigwa chini kama ilivyotokea wakati alipotaka kugombea uenyekiti itakuwaje?

Ikumbukwe kuwa watanzania kwa mara ya kwanza walionyesha hamasa kubwa sana kwa Dr Slaa so kama ikipendekezwa Slaa agombee tena Zitto atafanyaje?

Coz kiukweli zitto anawafuasi wengi na mpaka sasa haeleweki vizuri ijapokuwa wajinga wamesha amini kuwa ni kiongozi bora.Lakini pia hapa arusha napo si shwari hata kidogo.

Nionavyo mimi kuwa chadema inatakiwa ijitazame upya, hawa wabunge maarufu wenye itikadi zisizo eleweka watakuja kiharibu chama chetu.
 

Kwa nini nijilinganishe na madaktari wa Muhimbili? ili iweje? Sawa mimi pamoja na watanzania wengi bado tuna ugua magonjwa ya umasikini kama ya kuhara kwa sababu hakuna huduma za afya wala mikakati ya serkali kuendeleza wananchi wake. Baba yangu alifariki mikononi mwa hao madaktari wako wa muhimbili na sidhani kama ni mimi tu ambaye nimeathirika na uvundo wa muhimbili na madaktari wake. Siku watanzania tutakapo jua haki zetu na kupata serkali makini, tutaanza kuwafungulia kesi hao madaktari kwa kusababisha vifo ambavyo vingeweza kuzuilika kwa familia zetu.
Huna sababu ya kubisha fanya utafiti juu ya ubora wa huduma za afya Tanzania unaweza kupata habari hata kwenye google juu ya training na ubora wa madaktari wa Tanzania, uwiano wa madaktari na population ya tanzania, infant mortality rate, maternal mortality rate nk nk halafu linganisha na nchi zingine.

Nakushauri pia uache kukashifu fani za watu wengine, journalism, hotel management nk. Kuwa daktari hakukufanyi wewe uwe tofauti na hotel manager, sana sana kimapato hotel manager anaweza kumshinda daktari...... lol!!
 

Mheshimiwa unajua jambo usilolijua ni kama usiku wa giza, kuna mambo mengi tu sisi watanzania hatuyajui na watawala wetu wanatumia ujinga wetu kama mtaji wao. Safari bado ni ndefu, God willing ipo siku watanzania finally tutafika.
 
Chadema mpka sasa unaona wamekufanyia nini? Angalia sehemu zote cdm wanazoongoza maendeleo yalivyo duni! mifano halisi unayo, angalia Karatu na Kigoma kulivyo na maendeleo duni!

Nilidhani binadamu wote vichwa vyao vinafanya kazi ..... kumbe wapi!.
Wengine vimejaa maji tupu!
 


MK sina la kuongeza umenisemea vyema sana .Na wakumbuke Chadema wako Duniani so haya yanatokea kwa kila aliieyko Duniani .CCM wao walidhani na bado wanadhani Dunia tofaui ndiyo maana wanaishia kukataa n kupanga mbinu chafu na hawakubali hali halisi ya karne ya 21.Thanks Mzito Kabwela
 

Muhimbili hakuna wataalam bwana kuna waganga tu .Mimi nina ushahidi wa yaliyo nikuta a very senior Dr na wa kuaminika Tanzania nzia hakujua ninaumwa nini .Yeye alikazana na matokeo ya MRI scanning , akasema nipelekwee Moi nipasuliwe uti wa mgongo .Nikamuuliza unataka kupasua ili iweje ? Yes disc zimesagik lakini nini chanzo ? Naumwa nini ? Hakujua hata leo.Wote mnajua hapa miliniombea sana muda huo .Kwenda ulaya wana angalia damu na dktari wa kike anasema naumwa kitu fulani na hakuna operation wala nini leo natembea nimetoka Tanzania niko kwenye wheelchair .Thanks Paka Jimmy alinisaidia hata kuingia kwenye ndege nikiwa hoi ila naukumbuka utu wake .

Leo nieongea na mtaalam mmoja amekiri kwamba pamoja na yeye kuwa doc lakini Muhimbili wanawapa watu wengi ushauri wa kijinga nakuwapeleka India wakiwa na ugonjwa tofauti na muhimbili waio usema .So nasema muhimbili bora liende kwa kweli .
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…