pmwasyoke
JF-Expert Member
- May 27, 2010
- 4,594
- 2,981
Pole - maana yaelekea wataungana na TOL na Nicol kuwazingua wanahisa wao.nilinunua hisa precision, sijui km tutapata gawio lolote huko
Pole - maana yaelekea wataungana na TOL na Nicol kuwazingua wanahisa wao.nilinunua hisa precision, sijui km tutapata gawio lolote huko
Mpe Sauda nafasi ya kufanya kazi, ungekuwa unajua Janga aliloliacha pale Kioko usingemshambulia huyu dada namna hii, japo analazimika kurekebisha haraka hayo matatizo madogo lakini ya msingi kwenye service industry.
Kwa taarifa tu Kioko alikuwa anaajiri maconcubine wake,He never even cared kama kampuni inahitaji kuajiri kweli au la, akivuliwa chupi tu anaandika na offer letter. you can imagine what kind of staffing he has left behind suppose you know what staffing is for in the service industry.
Ngojeni ATC irudi muone!
Dangote, Mwanza ni one hour Journey? again, air transport is leisure,you got to be ready to pay for it, ila kama wameondoa bia na kuanza kutoa pipi watakuwa wanafanya mchezo wa kijinga sana, drinking beer in the air is just an interesting experience.
Yeah ni one hour na dakika 15 kama unasafiri na boeing ile ya precision ila wameiondoa ukitumia zile zingine ni masaa mawili na nusu,sikiliza kwa flight za ndani tuache kufikiria usafiri wa ndege as leisure uwe tu usafiri wa haraka na affordable sasa ww unalipishwa elfu 65 zaidi ili upewe bia jiulize ndani ya hayo masaa mawili utakunywa ngapi na je its worthy elfu 65 kumbuka lengo ni kusafiri na sio kustarehe mbona hapa dar watu wanaganda kwenye foleni posta -tegeta hayo masaa mawili ya daladala na huitaji bia kama unataka leisure panda emirates first class nenda dubai humu ndani tunataka cheap fares maisha yaende!